Kufuatia sakata kushikiliwa kwa Ndege aina ya Airbus A220 ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Nchini Uholanzi, Wakili Harold Sungusia amesema kichoendelea kinatokana na Serikali kujenga mifumo...
Tazameni matendo ya hovyo kwenye chaguzi zinazo endelea ndani ya uvccm.
Hii ni aibu kubwa sana kwa taifa la watu waliostaarabika.
Takukuru fanyeni kazi yenu bila kuangaliana itikadi.
Gazeti la Nipashe kesho tarehe November 03, linareport kulipwa wenye vyeti feki.
Ahukumiwa jela kwa kutumia cheti cha mtu mwingine kujiunga chuo.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Elina...
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga Mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo...
Kufuatia kwa ndege yetu kukamatwa, tutambue kwamba hizo pesa zitatoka mfukoni mwetu badala ya fedha kuwekwa kwenye miundo mbinu ya umeme, maji n.k, tujiandae kulipa.
Sasa hivi wale vijana wa CCM...
Nianze kwa kunukuu maneno ya Nabii na Mtume Josefat Mwingira.
" He is a victor' you can not conquer a Victor"
Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata...
Wanawake wa Kata ya Mnazi Mmoja mkoani Lindi, wakigalagala chini ikiwa ni ishara ya upendo wao kwa Rais Dkt @samia_suluhu_hassan na kwamba wamefurahishwa na kitendo cha yeye kuitembelea Kata...
Hizi ni kama salamu kwa Ndugai na wale wengine wenye nia ya kubadilisha Katiba ili kuongeza muda wa Rais kukaa madarakani.
Leo jijini Dodoma katika sherehe za uzinduzi wa wa barabara katika mji...
Tanga. Watu wasiojulikana wamevunja mlango wa ofisi ya Kamanda wa Takukuru wilayani Handeni na kuiba bastola mbili zilizokuwa na jumla ya risasi 21.
Habari zilizolifikia Mwananchi jana na...
Ule mkakati unaoratibiwa na John Heche wa kushawishi CHADEMA wasishiriki katika chaguzi pamoja na kujiweka upande wa Magufuli zoezi lililoanzia katika ziara ya Heche Kusini linaelekea kutopata...
Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi.
Kuna...
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora baada ya kutembelea barabara ya...
Kwanza kabisa napenda kusema mimi sina Chama ila kama Mtanzania mpenda Haki.
Penye walakini napenda kupasema..., hapo kabla lilitoka tamko kwamba Kampeni zisimame tufanye kazi , ' Hapa Kazi...
Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu
Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika...
Huwa nashangaa sana watu wanaposema nchi yetu ni tajiri wakati tunajionea wazi kabis jinsi wageni hata majirani wakenya walivyotuzidi akili (inauma kukiri ukweli) kwenye kuzifaidi mali za nchi...
NATO ina kipengele kwamba nchi mwanachama ikivamiwa lazima nchi zote za NATO wampige adui kwa pamoja
Kwenye EAC, tungeweka kipengele kwamba : ikiwa nchi mwanachama itavamia nchi yoyote ndani...
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House.
Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana...
Changamoto za Upungufu wa umeme Kupatiwa Ufumbuzi
Mkurugenzi mkuu wa TANESCO Bw. Maharage Chande akizungumza na waandishi wa habari leo December 2, 2022 kuhusu hatua za muda mfupi na muda mrefu...
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya...
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam.
Tukio hili ni la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.