Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kufuatia sakata kushikiliwa kwa Ndege aina ya Airbus A220 ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Nchini Uholanzi, Wakili Harold Sungusia amesema kichoendelea kinatokana na Serikali kujenga mifumo...
16 Reactions
20 Replies
2K Views
Tazameni matendo ya hovyo kwenye chaguzi zinazo endelea ndani ya uvccm. Hii ni aibu kubwa sana kwa taifa la watu waliostaarabika. Takukuru fanyeni kazi yenu bila kuangaliana itikadi.
4 Reactions
52 Replies
4K Views
Gazeti la Nipashe kesho tarehe November 03, linareport kulipwa wenye vyeti feki. Ahukumiwa jela kwa kutumia cheti cha mtu mwingine kujiunga chuo. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Elina...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga Mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo...
9 Reactions
159 Replies
15K Views
Kufuatia kwa ndege yetu kukamatwa, tutambue kwamba hizo pesa zitatoka mfukoni mwetu badala ya fedha kuwekwa kwenye miundo mbinu ya umeme, maji n.k, tujiandae kulipa. Sasa hivi wale vijana wa CCM...
4 Reactions
8 Replies
545 Views
Nianze kwa kunukuu maneno ya Nabii na Mtume Josefat Mwingira. " He is a victor' you can not conquer a Victor" Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata...
33 Reactions
74 Replies
5K Views
Wanawake wa Kata ya Mnazi Mmoja mkoani Lindi, wakigalagala chini ikiwa ni ishara ya upendo wao kwa Rais Dkt @samia_suluhu_hassan na kwamba wamefurahishwa na kitendo cha yeye kuitembelea Kata...
10 Reactions
85 Replies
4K Views
Hizi ni kama salamu kwa Ndugai na wale wengine wenye nia ya kubadilisha Katiba ili kuongeza muda wa Rais kukaa madarakani. Leo jijini Dodoma katika sherehe za uzinduzi wa wa barabara katika mji...
13 Reactions
169 Replies
16K Views
Tanga. Watu wasiojulikana wamevunja mlango wa ofisi ya Kamanda wa Takukuru wilayani Handeni na kuiba bastola mbili zilizokuwa na jumla ya risasi 21. Habari zilizolifikia Mwananchi jana na...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Ule mkakati unaoratibiwa na John Heche wa kushawishi CHADEMA wasishiriki katika chaguzi pamoja na kujiweka upande wa Magufuli zoezi lililoanzia katika ziara ya Heche Kusini linaelekea kutopata...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi. Kuna...
3 Reactions
15 Replies
989 Views
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora baada ya kutembelea barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Kwanza kabisa napenda kusema mimi sina Chama ila kama Mtanzania mpenda Haki. Penye walakini napenda kupasema..., hapo kabla lilitoka tamko kwamba Kampeni zisimame tufanye kazi , ' Hapa Kazi...
7 Reactions
68 Replies
7K Views
Rais Samia mpe Profesa kabudi Wizara ya Mambo ya Nje ana uwezo mkubwa sana wa kuwatikisa mabeberu Usifikirie kuwa wazungu wanatipenda hapana sio kweli pamoja na kuifungua nchi tumeishia kuaibika...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Huwa nashangaa sana watu wanaposema nchi yetu ni tajiri wakati tunajionea wazi kabis jinsi wageni hata majirani wakenya walivyotuzidi akili (inauma kukiri ukweli) kwenye kuzifaidi mali za nchi...
14 Reactions
29 Replies
2K Views
NATO ina kipengele kwamba nchi mwanachama ikivamiwa lazima nchi zote za NATO wampige adui kwa pamoja Kwenye EAC, tungeweka kipengele kwamba : ikiwa nchi mwanachama itavamia nchi yoyote ndani...
4 Reactions
4 Replies
644 Views
Huyu mzee Fumba Macho mzaliwa wa Mwanza Magu amelifimbua macho taifa ktk hotuba yake aliyoitoa kwenye jukwaa la Club House. Mchungaji huyo amemtaja Prof Assad kuwa ni Mwislam mcha Mungu sana...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Changamoto za Upungufu wa umeme Kupatiwa Ufumbuzi Mkurugenzi mkuu wa TANESCO Bw. Maharage Chande akizungumza na waandishi wa habari leo December 2, 2022 kuhusu hatua za muda mfupi na muda mrefu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya...
32 Reactions
204 Replies
25K Views
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam. Tukio hili ni la...
5 Reactions
11 Replies
992 Views
Back
Top Bottom