Field Marshall ES
R I P
- Apr 27, 2006
- 12,622
- 1,235
Halakini wabunge wamemuomba awaachie hii ishu kwa sababu akifika mahakamani jaji atazuia kumtesa tena na maneno kama wanavyofanya sasa hivi, kabla ya kumfikisha huko,
According to the dataz ni kwamba Mtikila amekubali ujumbe huo wa wabunge, Mods mnaweza kuiunganisha ikibidi,
later wakuu, niko safarini nilisimama kidogo tu baada ya kupata dataz!
According to the dataz ni kwamba Mtikila amekubali ujumbe huo wa wabunge, Mods mnaweza kuiunganisha ikibidi,
later wakuu, niko safarini nilisimama kidogo tu baada ya kupata dataz!