Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jaji Tiganga alisikiliza ushahidi wa Jamhuri na kupima kwa weledi kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Hii ilionyesha kuwa kulikuwa na harufu ya hati. Mbowe na wenzake walitakiwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa. Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni...
9 Reactions
89 Replies
5K Views
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla kumzungumzia Mgombea wa Urais wa CCM, Dkt. Magufuli badala ya kuendelea na malumbano yake...
27 Reactions
275 Replies
29K Views
Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu. Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi...
8 Reactions
244 Replies
35K Views
Wasalaam JF, Hoja thabiti za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Zacharia Kafulila zimeendelea kugonga Vichwa vya wale wote wanaotamani kusikia na kuona Rais Samia Suluhu Hassan kashindwa...
11 Reactions
121 Replies
5K Views
CCM oyee! Zidumu fikra za mwenyekiti Magufuli Bashiru Ally aliteuliwa na mwenyekiti wa CCM, Rais Magufuli, hamkupiga ktk kikao chochote zaidi ya kumpongeza huku KIgwangalah ukijua kuwa Bashiru ni...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa Sasa Hali ya umeme inarejea katika Hali yake ya kawaida,kwa Sasa shughuli za kiuchumi zinazotegemea umeme zinakwenda vyema, Mioyo ya wananchi wajasiriamali na wafanyabiashara...
1 Reactions
130 Replies
4K Views
Mbowe kasema ukweli. Je tufanyaje ili kuwa na viongozi watendaji, wabunifu na wasio wala rushwa. Pamoja na katiba mpya tujiulize je utamaduni ni tatizo, je elimu yetu ni tatizo. Kwanini makabila...
3 Reactions
5 Replies
724 Views
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa. Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo...
9 Reactions
193 Replies
8K Views
SALAMU ZA POLE NA RAMBI RAMBI KUFUATIA KIFO CHA JIANG ZEMIN RAIS WA ZAMANI WA JAMHURI YA WATU WA CHINA.
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Tetesi kutoka ndani ya familia ya Nape na mfadhili wake atakaye msomesha nchini marekani kwa miaka kadhaa hapo mwaka 2021 amethibitisha kwamba Nape kwa kinywa chake kasema kwamba ataachana na...
16 Reactions
93 Replies
13K Views
Ushauri wangu kwa Serikali pelekeni haraka sana mchakato wa kubinafsisha Bandari pamoja na mradi wa mwendokasi. Hali ni mbaya sana, Serikali inagawana mapato na wafanyakazi pasu kwa pasu tena...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwa mfano Katiba ndio inaruhusu Watendaji wakuu wa Tume ya Uchaguzi wateuliwe na Rais Katiba ndio inaruhusu Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi Katiba ndio inaruhusu "...
0 Reactions
5 Replies
491 Views
Kuna taarifa naiona kwamba IPTL imewasha mitambo na ishazalisha umeme na kuingiza TANESCO, huu ndiyo uhaba uliyokuwa unatengenezwa watu wapige pesa. Hii migao ni ya kutengeneza watu wapige pesa...
11 Reactions
62 Replies
4K Views
Jaman daaah Tuacheni utani , huyu jamaa amechakaa sana anatia huruma. Basi tu Video sekunde 16
6 Reactions
186 Replies
18K Views
Wakuu, Huenda Kabendera akawa huru leo baada ya Hati ya Mashtaka kufanyiwa marekebisho. Baada ya Erick Kabendera kukubali makosa, Upande wa Serikali wamemsomea Mashtaka Rasmi. Mashtaka hayo ni...
18 Reactions
568 Replies
59K Views
Mara baada ya kuachiwa huru kutoka jela mwandishi wa habari za uchunguzi Eric Kabendera baada ya kulipa faini na fidia ya jumla ya Shs 273 milioni, Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za...
29 Reactions
145 Replies
11K Views
Mama tokea tarehe 28.11 haujapata hata lepe la usingizi mpaka leo. Moja ya 'wisemen' wa rais alimtonya mama akamwambia, "hivi mama unajua kuwa hilo daraja la Kibiti ungeamua kujenga madarasa basi...
29 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari za Jumapili wananchi wenzangu, nimekuwa nikijiuliza maana halisi ya uzalendo. Tumekuwa tukisikia viongozi mbalimbali wakisisitiza wananchi kuwa wazalendo, na wakati mwingine wakilalamikia...
5 Reactions
92 Replies
5K Views
Back
Top Bottom