Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MBUNGE KWAGILWA REUBEN NHAMANILO AZUNGUMZIA UPOTEVU WA FEDHA ZA MADAWA MSD NA WASHITIRI Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
MBUNGE BENAYA KAPINGA ASISITIZA DAWA NA VIFAA TIBA VIPELEKWE KWA WAKATI SEHEMU ZA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma Mhe. Benaya Liuka Kapinga akichangia...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Salaam Ndugu zanu, Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea. Kwamba Spika anashindwa kutazama...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Amekuwa kimya sana kiasi cha kusahaulika kwenye pilikapilika na siasa za Tanzania. Sina kumbukumbu kama alirudi CCM na kusamehewa makosa. Lakini matukio kibao yametokea hapa katikati na amekuwa...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
MAISHA ya William Malecela yanaakisi tafsiri ya binadamu mwenye sifa nyingi ndani ya mwili mmoja. Msomi na kichwa ngumu. Mtu wa misingi na ndimilakuwili. Mpambanaji na mtoto wa baba. Hustler na...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo leo tarehe 15 Mei, 2023 amewasili wilayani Bukombe mkoa wa Geita kwa ziara ya siku moja na kuzindua majengo mbalimbali ya Chama Cha...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Wakati Tunaomboleza Msiba wa Membe bado kuna mambo mengine yanaendelea nchini mwetu . Huko Makete Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaendelea kutoa elimu kuhusu Katiba Mpya na Tume huru ya...
2 Reactions
8 Replies
645 Views
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa; 1. Uharibifu wa Mazingira 2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa...
5 Reactions
73 Replies
3K Views
Tawire tawire wanazengo, nataka nitoe ramli chonganishi (natania ila nina facts). Pale Ufipa wadau kuna moshi mdogo sana unafuka, kama hamjui hata kama hamuoni basi tuwasaidie kidogo wanazengo...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ubinafsi wa vyama vya Siasa umebainika leo wakati Zitto Kabwe alipotumia Muda wa salamu za vyama vya Upinzani kwa family ya Membe kutoa salam zake Binafsi na kuwafanya Godbless Lema wa Chadema na...
8 Reactions
44 Replies
3K Views
Zitto amechanganyikiwa? Aliyoyaongea kwenye msiba wa mpendwa wetu mh Membe, yanasidifu hiki ninachosema! Aliwahi kusema kipindi cha Kifo cha Magufuli kwamba, walioumizwa sana na kifo hicho...
35 Reactions
108 Replies
8K Views
Sina kumbukumbu sahihi kuwa ni lini wafanyabiashara wa Kariakoo wamewahi kugoma kwasasabu yoyote. Kariakoo ndiyo Dubai ya nchi yetu, ina wafanyabiashara wa kila aina, wakiwemo wenye mitaji...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili AFRIKA kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini. Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye...
12 Reactions
93 Replies
7K Views
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameonyesha kutoridhishwa na wasifu wa Bernard Kamillius Membe (69) kutogusia uwepo wake ndani ya chama hicho cha siasa. Membe ambaye alikuwa Waziri wa Mambo...
5 Reactions
89 Replies
6K Views
Katika dharura hutafutwa Watu Wenye ushawishi Ili kusaidia kuleta suluhisho Kwa kuwa hawa Wafanyabiashara hapa Kariakoo wanakutaja sana Makonda na wamekumbuka MNO na maduka hayajafunguliwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
- Wakuu uchaguzi mkuu wa taifa uko kwenye kona, Mzee Mandela aliwahi kusema kwamba kwenye ishu muhimu za taifa kama hizi kuwa kimyaa au kuwa neutral ni dalili za kuwa coward. - Kwa wale tulio na...
1 Reactions
340 Replies
31K Views
Magufuli hakika uliifanyia mema Tanzania kwa niaba ya Watanzania Wazalendo na sio Kwa ajili ya Wapiga dili na Wauza nchi mchana kweupe. Your life was a blessing, your memory a treasure🙏
27 Reactions
134 Replies
5K Views
Tangu lile genge lilipoipindua CCM halali, likafanya kampeni nje ya utaratibu wa CCM na kutwaa madaraka, hakuna siku waliwahi kuomba na kutubu kwa kitendo chao cha kuipindua CCM na kutuaminisha...
0 Reactions
4 Replies
497 Views
Ninadhani kuna watu wanabeba ajenda na matamanio ya wananchi na malalamiko ya wananchi kama ni harakati za wafuasi wa Magufuli. Hali ambayo Mh.Rais na baadhi ha viongozi wenzie wanaziba masikio...
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Tamisemi kuna matatizo mengi sana hasa ulaji wa fedha za miradi..waziri na timu yake bado ajafungua macho kuwaziba midomo wezi. Kwenye biashara napo kugumu wafanyabiashara wameanza kuona giza...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Back
Top Bottom