Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kutunukiwa Shahada ya udaktari wa Falsafa ikisema hatua hiyo inadhihirisha na kusadifu kazi kubwa na anayoitekeleza...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimesikia habari za ndani kwamba kwa makusudi mafisadi na watu wenye nia mbaya wanataka kumweza Raisi na ratiba zake nje ya ofisi ili asigindue ufisadi unao endelea. Hii ni kuanzia malalamiko ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tundu Antipas Mugwai Lissu, akichangia mada huko space Twitter, alieleza kwamba aliwahi kufanya kazi katika kampuni hiyo akiwa kama mshauri wa masuala ya ardhi. Kauli hii inaleta ukakasi kidogo...
9 Reactions
142 Replies
9K Views
Nimeona mahali mtu aliyetambulishwa kama Katibu wa CHADEMA Handeni, Kombo Matulu akihimiza wananchi wakampigie kura mgombea wa CUF. Inaelekea CHADEMA wamebadilisha msimamo wao kuhusu kutoshiriki...
3 Reactions
54 Replies
2K Views
Kwanza nampongeza mh Zitto Kabwe kwa jitihada zake za kuitetea Katiba ya JMT. Awali nilidhani Rais wa JMT hawezi kushtakiwa kumbe siyo Sasa naomba kuelimishwa hili Suala la DC Simon kudaiwa...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Viongozi wetu ki ukweli mnajua kutuaibisha saaana yaani! SGR ya Wakenya tulikuwa tukishinda hapa kuwacheka na kuwalingishia ya kwetu kwamba, lao linatembea mwendo wa kinyonga, na ya kwetu itakuwa...
1 Reactions
3 Replies
610 Views
Serikali imetangaza mwenendo wa ugonjwa wa Uviko-19 nchini kwa kipindi cha Oktoba 29 hadi Desemba 2 huku takwimu zikionyesha wanaougua wakiongezeka. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
==== Uamuzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku shahada ya udaktari wa heshima Rais Samia Suluhu Hassan ni uamuzi sahihi sana kwa vigezo vingi pamoja na kwamba umekuja kwa kuchelewa...
15 Reactions
111 Replies
6K Views
Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used” Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi...
11 Reactions
105 Replies
15K Views
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa...
84 Reactions
367 Replies
30K Views
Habari zenu ndugu zangu. Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA. Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo...
13 Reactions
72 Replies
7K Views
Hellow, Hakuna chama cha upizani kina nguvu kama CHADEMA na kina watu wengi sana kuliko vingine vyama vya upinzani. Lakini pia kina watu makini sana ambao watu hao wamejawa na tamaa, yaani ni...
0 Reactions
5 Replies
470 Views
Kutimuliwa kwa Prof.Assad Kinyume na Katiba ilikuwa Ni njama za Majizi ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake kupoteza ushahidi na kulinda wapigaji wa Tril.1.2.. Prof. Assad apewe ulinzi maana ni...
0 Reactions
7 Replies
895 Views
Mimi kama mwananchi mwenye uhuru wa kutoa maoni nchi hii, naomba niseme kama kweli CCM mko serious kwaajili ya maendeleo ya wananchi tafadhali tunaomba mtuangalizie mtu atakaetufaa 2025 au basi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma. Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kufupisha Uzi nitatoa mfano! Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea! Kama huwezi kumsema vibaya...
16 Reactions
33 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Katibu mkuu ofisi ya rais, menejimenti ya utumishi wa umma, Dk Laurean Ndumbaro amewataka Watanzania kumpuuza aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa...
4 Reactions
128 Replies
13K Views
Hapa nataka kuandika something like an imaginary speech kuwaalika wajumbe. Kama anavyofanya Xi Jin Ping. Wengine labda watataka kuiendeleza. Karibuni Dodoma wajumbe wote. Tunakutana katika...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mahafali ya 52 Duru ya 5 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Leo Novemba 30, 2022 kwenye ukumbi wa Mlimani City Mahafali ya...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Back
Top Bottom