Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kutunukiwa Shahada ya udaktari wa Falsafa ikisema hatua hiyo inadhihirisha na kusadifu kazi kubwa na anayoitekeleza...
Nimesikia habari za ndani kwamba kwa makusudi mafisadi na watu wenye nia mbaya wanataka kumweza Raisi na ratiba zake nje ya ofisi ili asigindue ufisadi unao endelea.
Hii ni kuanzia malalamiko ya...
Tundu Antipas Mugwai Lissu, akichangia mada huko space Twitter, alieleza kwamba aliwahi kufanya kazi katika kampuni hiyo akiwa kama mshauri wa masuala ya ardhi.
Kauli hii inaleta ukakasi kidogo...
Nimeona mahali mtu aliyetambulishwa kama Katibu wa CHADEMA Handeni, Kombo Matulu akihimiza wananchi wakampigie kura mgombea wa CUF.
Inaelekea CHADEMA wamebadilisha msimamo wao kuhusu kutoshiriki...
Kwanza nampongeza mh Zitto Kabwe kwa jitihada zake za kuitetea Katiba ya JMT. Awali nilidhani Rais wa JMT hawezi kushtakiwa kumbe siyo
Sasa naomba kuelimishwa hili Suala la DC Simon kudaiwa...
Viongozi wetu ki ukweli mnajua kutuaibisha saaana yaani!
SGR ya Wakenya tulikuwa tukishinda hapa kuwacheka na kuwalingishia ya kwetu kwamba, lao linatembea mwendo wa kinyonga, na ya kwetu itakuwa...
Serikali imetangaza mwenendo wa ugonjwa wa Uviko-19 nchini kwa kipindi cha Oktoba 29 hadi Desemba 2 huku takwimu zikionyesha wanaougua wakiongezeka.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba...
====
Uamuzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kumtunuku shahada ya udaktari wa heshima Rais Samia Suluhu Hassan ni uamuzi sahihi sana kwa vigezo vingi pamoja na kwamba umekuja kwa kuchelewa...
Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”
Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi...
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa...
Habari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo...
Hellow,
Hakuna chama cha upizani kina nguvu kama CHADEMA na kina watu wengi sana kuliko vingine vyama vya upinzani.
Lakini pia kina watu makini sana ambao watu hao wamejawa na tamaa, yaani ni...
Kutimuliwa kwa Prof.Assad Kinyume na Katiba ilikuwa Ni njama za Majizi ya awamu ya 5 chini ya Mwendazake kupoteza ushahidi na kulinda wapigaji wa Tril.1.2..
Prof. Assad apewe ulinzi maana ni...
Mimi kama mwananchi mwenye uhuru wa kutoa maoni nchi hii, naomba niseme kama kweli CCM mko serious kwaajili ya maendeleo ya wananchi tafadhali tunaomba mtuangalizie mtu atakaetufaa 2025
au basi...
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma.
Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya...
Kufupisha Uzi nitatoa mfano!
Chukulia ukiwa na njaa Kali, umepigika, jua kali halafu ukapewa lifti ya gari na dreva ambaye katika safari yenu kuna sehemu akakosea!
Kama huwezi kumsema vibaya...
Dar es Salaam. Katibu mkuu ofisi ya rais, menejimenti ya utumishi wa umma, Dk Laurean Ndumbaro amewataka Watanzania kumpuuza aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa...
Hapa nataka kuandika something like an imaginary speech kuwaalika wajumbe. Kama anavyofanya Xi Jin Ping. Wengine labda watataka kuiendeleza.
Karibuni Dodoma wajumbe wote. Tunakutana katika...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mahafali ya 52 Duru ya 5 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Leo Novemba 30, 2022 kwenye ukumbi wa Mlimani City
Mahafali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.