wachuuziJee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Hao wamelipwa hela ndefu kufanya hilo igizo,Mwigulu anapenda sana siasa za maigizo,kumbuka yale maandishi yake nchi nzima hii kuwa Mwigulu Rais 2015 bado hajayafuta. Anamtishia nyau Rais Samia.Jee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Unajua watanzania unafiki utatua!! sawa tu wabunge, wanajifanya kuibananisha serikali, mwisho wa siku unasikia (naunga hoja mkono) tendo Cha wafanyabiashara kukimbilia kipiga picha na mwingulu, kinafuta matamushi yao juu ya Mwingulu..Jee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Hapana hakuna shida kabisa.pale walimkosoa na kumsema kutokana na kushindwa kazi yake kama waziri wa fedha. Kupiga nae selfie mwishoni haimaanishi kuwa wamemaliza kero zao kwakeHao wamelipwa hela ndefu kufanya hilo igizo,Mwigulu anapenda sana siasa za maigizo,kumbuka yale maandishi yake nchi nzima hii kuwa Mwigulu Rais 2015 bado hajayafuta. Anamtishia nyau Rais Samia.
Una hakika waliomnanga waziwazi ndio waliopiga naye picha?Jee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Mkuu umenifungua macho. Hao kweli hao wamelipwa kabisa kupozi naye ili ionyeshe kuwa hakuna lolote baya alilofanyaHao wamelipwa hela ndefu kufanya hilo igizo,Mwigulu anapenda sana siasa za maigizo,kumbuka yale maandishi yake nchi nzima hii kuwa Mwigulu Rais 2015 bado hajayafuta. Anamtishia nyau Rais Samia.
Hata kama siyo waliomnanga, lakini wafanyabiashara wote ni wahanga wa Mwigulu Nchemba. Wale waliongea wanawakilisha mawazo ya wote. Kitendo cha kum hug na kupiga naye selfie kina dilute yote yale waliyoongeaUna hakika waliomnanga waziwazi ndio waliopiga naye picha?
Kwanini usiseme ni wahanga wa rais Samia mteua MwiguluHata kama siyo waliomnanga, lakini wafanyabiashara wote ni wahanga wa Mwigulu Nchemba. Wale waliongea wanawakilisha mawazo ya wote. Kitendo cha kum hug na kupiga naye selfie kina dilute yote yale waliyoongea
Ujinga tu!..Hao wamelipwa hela ndefu kufanya hilo igizo,Mwigulu anapenda sana siasa za maigizo,kumbuka yale maandishi yake nchi nzima hii kuwa Mwigulu Rais 2015 bado hajayafuta. Anamtishia nyau Rais Samia.
Una roho mbaya.Hebu jiulize vizuri hapo mjinga ni nani?
Kwangu mjinga ni yule aliyeenda kutafuta selfie kwa watu akakimbia vikao vya bunge, anafanya hivyo ili kuwa "prove wrong" wale waliotoa shutuma dhidi yake kwamba yeye ni tatizo, nami naamini ni tatizo kweli, amejaa jeuri, kiburi, na dharau.
Kwa akili zake fupi anadhani kujipeleka kupiga picha na hao aliowaokota ndio kutafuta tuhuma dhidi yake, kumbe ndio kwanza amezidi kujionesha alivyo "bongo movie" asiyefaa kuwa kiongozi, anayetafuta sifa za kijinga ili kuwadanganya wajinga wenzie.
Ashukuru Mungu mamlaka ya uteuzi imezubaa ipo kama haipo, vinginevyo hakutakiwa kabisa kuwepo ofisini tangu wakati ule alipotuambia tuhamie Burundi kwa kupinga tozo, ambazo mpaka leo hatuambiwi zinakusanywa ngapi kwa mwezi, wala matumizi yake yanapelekwa wapi, wizi mtupu.
Huyu Mwigulu ana pesa ndefu sana. Anahusishwa kuwa ni mmiliki wa mabasi ya Esther, mmiliki wa Singida Big Stars. Vile vile ni mfadhili wa Yanga kwa kuwalipia gharama ndogo ndogo kama mishahara ya Feisal au Mbrazil Gomez ambaye anamhamisha kutoka Singida Big Stars kwenda Yanga.Leo pesa ila.inaitwa Hela achana nayo...kila kitu Hela.....pia ilimsaliti yesu
Hakuna seriousness. Nyerere aliacha ameloga mijitu hii na haitakuja kuwa na akili katuJee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Mkuu unahojaUna hakika waliomnanga waziwazi ndio waliopiga naye picha?