Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ikulu haijakamilika ujenzi unaendelea,this time around ni Samia Complex ===== Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma leo amesema baada ya...
7 Reactions
99 Replies
10K Views
Nimefatilia jana uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma naona hayati Magufuli hakutendewa haki. Mimi ni miongoni mwa watu ambao sio waumuni wa Magufuli hata kidogo sikufurahishwa na utendaji wake...
14 Reactions
56 Replies
4K Views
Ukweli huo unaweza kupuuzwa tu na mtu mwenye kufikiria leo. Lakini kwa mwenye maono na afya ya akili, katiba iliyopo inatokana na msingi wa sheria za kikoloni na baadae kuendelea kufanyiwa...
2 Reactions
1 Replies
577 Views
Wakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi? Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo...
10 Reactions
85 Replies
12K Views
Mbunge wa Jimbo la Songwe Mhe. Philip Mulugo akichangia kwenye makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2023/2924 iliyosomwa Bungeni na Mhe...
0 Reactions
6 Replies
780 Views
Mh Rais nakupongeza Kwa kulifungua jengo kubwa la ikulu mpya. Mh Rais' naomba jumapili ya Leo uungane na Mimi na Taifa Kwa ujumla kumwombea Mh Rais' Dr John Joseph Magufuli Mwenyezi Mungu akapate...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Watu walikuwa wamechoka kupoteza ndugu na mali zao kwa kutekwa na kuporwa. Watu walikuwa wamechoka kwa ubaguzi wa kisiasa. Kulikuwa na kauli za kijinga kama "mkimchagua mpizani sileti maji ama...
20 Reactions
63 Replies
3K Views
Gharama yake Sh280milioni, asema nchi yetu ni masikini WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameonyesha kwa vitendo kuwa yeye ni mtoto wa mkulima baada ya kukataa gari jipya ka kifahari alilonunuliwa na...
2 Reactions
377 Replies
40K Views
Ni kwa nia njema tu katika kulinda haki za watoto. Kwenye picha za mikutano ya chadema utaona idadi kubwa ya watoto pengine kuliko hata watu wazima. Hii si sawa. Akili ya watoto haina uwezo wa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Sina sababu ya kutaja Miradi mikubwa mikubwa iliyofunguliwa na serikali chini ya Ilani ya CCM maana ni mingi mno Kadhalika kwa upande wa Uzinduzi wa Operesheni mbalimbali Chadema ndio Mabingwa...
0 Reactions
21 Replies
917 Views
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi...
3 Reactions
521 Replies
19K Views
Hivi karibuni tu waliibuka na kihoja cha kulinganisha misiba ya wana CCM wenzao. Wakidai msiba huu haukuwa mzito kuliko ule mwingine jinga mmoja likasema eti kwanza hata watu hawakuzimia. Ooh huyu...
19 Reactions
83 Replies
5K Views
Rais wa Marekani, Joe Biden amejaribu kuwahakikishia Viongozi wa Ulimwengu kuwa Marekani haitoshindwa kulipa deni lake licha ya kiwingu kinachogubika mazungumzo ya kuongeza ukomo wa Serikali yake...
2 Reactions
6 Replies
568 Views
Miaka 62 ya utawala wa CCM, ndo wameweza kujenga Ikulu moja tu. Sina kumbukumbu kama Kuna ofisi ya Mwenyekiti wa CCM wa Kijiji au mjumbe kumi waliwahi Jenga ofisi. Nijuavyo Mimi ofisi nyigi ni...
1 Reactions
3 Replies
551 Views
Ni nadra sana kuwakuta Watanzania wakijadiko Mafanikio Kwa perspective ya huduma au percentage wise ila wao wanataka vitu vya kuona Kwa macho kama structures mbalimbali. Si ajabu mtu anakwambia...
2 Reactions
15 Replies
730 Views
HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKUMBUKWA KWENYE UZINDUZI WA IKULU MPYA DODOMA. Leo 10:15hrs 21/05/2023 Hayati Rais John Pombe Magufuli alituonyesha na kutufundisha ya kwamba,kuwa Rais na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Watanzania, Kuna nguvu kubwa imetumika kuhakikisha Rais Magufuli hatajwi kwenye UJENZI WA ikulu ya CHAMWINO. Jamaa wameziba kuanzia TBC Hadi kwa muandaaji wa makala yule mama wa BBC. Hivi...
39 Reactions
93 Replies
6K Views
Igunga, Tabora Habari Picha: Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa akisalimiana na Wakazi wa Kitongoji cha Mhama Mmoja Kijiji cha Itumba akiwa siku ya Pili ya Ziara ya Kikazi...
0 Reactions
7 Replies
949 Views
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Sengerema katika serikali ya awamu ya nne mheshimiwa WILLIAM NGELEJA huenda akachanga karata zake za ubunge katika jimbo hilo kwani viongozi wake wamerudi na wanalamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Amos Makalla ni shahidi mwaminifu kwenye hilo. Kaskazini mwanzo mzuri. Hakuna kurudi nyuma. Na mkikaza inavyopaswa, pana watu vibarua vitaota nyasi...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom