Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973.
Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini...
Ndugu zangu watanzania,
Vijana wa Boda Boda wameonekana wakihamasishana na kupishana milangoni katika ofisi za CCM Kutaka Kupewa Kadi za Uanachama,vijana hao wamekuwa wakizungumza waziwazi kuwa...
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check...
MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa...
Wale wapenzi/wacheza Soka wanajua umuhimu wa "assists" kwenye mpira wa miguu!
Ni wazi kuwa ushindi wa CCM mwaka 2025 unategemea sana miradi ya kimkakati ambayo inaendelea kwa sasa Nchini!Mradi wa...
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza mchakato mzima wa kuhamishia makao makuu ya nchi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma pamoja na mchakato wa ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma wakati wa uzinduzi wa...
Samahani Mimi binafsi naamini hii idea ya chadema ni nzuri katika kukimbiza maendeleo ya Tanzania.
Japo wanaccm ni kama wanaipinga Kwa nguvu sana .
Embu naomba tujadiri Kwa kina faida na madhara...
Ameandika haya Rais samia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter.
Uzinduzi rasmi wa Ikulu yetu ni tukio kubwa la historia kwa Taifa letu. Tuungane sote kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa...
Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya...
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameitaka serikali kuwalipa Vijana waliojenga Ikulu ya Chamwino Dodoma
Katika ukurasa wake wa twitter Godbless Lema ameweka clip ya...
Binafsi, kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila...
Kuliko kuongeza Idadi ya Majimbo ya Ubunge kama yanavyoombwa na wabunge wa CCM ni heri kabisa ile Sera ya Chadema ya Serikali za Majimbo
Kama uliliona Jimbo ni kubwa na Uwezo wako ni mdogo...
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma...
Baada Ya Safari Ndefu Ya Milima na Mabonde, Leo Ikulu Imezinduliwa Dodoma.
Kwasababu sijaweza kwenda Dodoma, Nimekuwa nikifuatilia hili Jambo Kupitia Mitandao ya Kijamii na Blogs Mbalimbali...
Wazee kwa vijana wamekubaliana kwa pamoja kuhusu Umuhimu na ulazima wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.
Ushahidi wa Jambo hili ulitbibishwa Jana Jioni huko Kibondo.
Sent from my SM-J500H...
Ni wazi Mbowe ameishiwa na hana cha kuongea. Anazungumzia sana jinsi ambavyo asubuhi alikuwa mfungwa jioni akawa ana kula kuku Ikulu. Na anashukuru sana. Yaani amesahau hata ni nani alimkamata na...
Hii ni mara ya pili hawaonekani hadharani kulikoni?
Mara ya kwanza ni kuagwa kwa mwili wa kachero mmbobezi Bearnad Kamilius Membe,huyo alikuwa ni swahiba wao mkubwa sana wa wazuri hawafi,nilijua...
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja
Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.