Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973. Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Vijana wa Boda Boda wameonekana wakihamasishana na kupishana milangoni katika ofisi za CCM Kutaka Kupewa Kadi za Uanachama,vijana hao wamekuwa wakizungumza waziwazi kuwa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani. Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA. Na Elius Ndabila 0768239284 Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Wale wapenzi/wacheza Soka wanajua umuhimu wa "assists" kwenye mpira wa miguu! Ni wazi kuwa ushindi wa CCM mwaka 2025 unategemea sana miradi ya kimkakati ambayo inaendelea kwa sasa Nchini!Mradi wa...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza mchakato mzima wa kuhamishia makao makuu ya nchi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma pamoja na mchakato wa ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma wakati wa uzinduzi wa...
1 Reactions
2 Replies
719 Views
Samahani Mimi binafsi naamini hii idea ya chadema ni nzuri katika kukimbiza maendeleo ya Tanzania. Japo wanaccm ni kama wanaipinga Kwa nguvu sana . Embu naomba tujadiri Kwa kina faida na madhara...
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Ameandika haya Rais samia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter. Uzinduzi rasmi wa Ikulu yetu ni tukio kubwa la historia kwa Taifa letu. Tuungane sote kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya...
12 Reactions
99 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameitaka serikali kuwalipa Vijana waliojenga Ikulu ya Chamwino Dodoma Katika ukurasa wake wa twitter Godbless Lema ameweka clip ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Binafsi, kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuliko kuongeza Idadi ya Majimbo ya Ubunge kama yanavyoombwa na wabunge wa CCM ni heri kabisa ile Sera ya Chadema ya Serikali za Majimbo Kama uliliona Jimbo ni kubwa na Uwezo wako ni mdogo...
1 Reactions
4 Replies
813 Views
Leo nimefuatilia katika matangazo yenu kuhusu ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Kwa asilimia kubwa mnajitahidi sana kutomtaja John Pombe Magufuli katika ujenzi huo wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma...
28 Reactions
85 Replies
5K Views
Baada Ya Safari Ndefu Ya Milima na Mabonde, Leo Ikulu Imezinduliwa Dodoma. Kwasababu sijaweza kwenda Dodoma, Nimekuwa nikifuatilia hili Jambo Kupitia Mitandao ya Kijamii na Blogs Mbalimbali...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wazee kwa vijana wamekubaliana kwa pamoja kuhusu Umuhimu na ulazima wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Ushahidi wa Jambo hili ulitbibishwa Jana Jioni huko Kibondo. Sent from my SM-J500H...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni wazi Mbowe ameishiwa na hana cha kuongea. Anazungumzia sana jinsi ambavyo asubuhi alikuwa mfungwa jioni akawa ana kula kuku Ikulu. Na anashukuru sana. Yaani amesahau hata ni nani alimkamata na...
2 Reactions
8 Replies
834 Views
Hii ni mara ya pili hawaonekani hadharani kulikoni? Mara ya kwanza ni kuagwa kwa mwili wa kachero mmbobezi Bearnad Kamilius Membe,huyo alikuwa ni swahiba wao mkubwa sana wa wazuri hawafi,nilijua...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Nchi yetu imekuwa na Marais wachache tangu kupata uhuru hivyo ni rahisi kupima legasi zao mahususi kwa upekee wa kila mmoja Tukianza na Rais wa kwanza Mwl Nyerere anakumbukwa kwa mengi ila kwa...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Mhandisi Godfrey Kasekenya naibu waziri wetu wa uchukuzi na ujenzi sekta ya ujenzi. Jana ulikuwa unasain mkataba wa ujenzi wa barabara ya...
1 Reactions
0 Replies
956 Views
Back
Top Bottom