Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tuna vitu vingi Tanzania tumebarikiwa ila kutokana na siasa mbovu ndio mtaji unaotumika kuzoretesha au kuchelewesha maendeleo. Watawala na viongozi utumia mbinu hii kama mtaji wao upate...
0 Reactions
1 Replies
544 Views
Hizi shangwe sio za bure, Mkutano Mkuu wa CCM umekwisha, mengi tumeyaona na mengi tumeyasikia. Sasa tunafahamu ni nani kasema nini na nani anataka nini. Tumejitoa ufahamu watanzania wote...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Migogoro ya wakulima na wafugaji: Kauli za viongozi wa Serikali zinaweza kuhatarisha umoja wa makundi haya kuliko kumaliza tatizo. Utangulizi Hivi karibuni kumejitokeza kauli za viongozi wa nchi...
0 Reactions
2 Replies
546 Views
Daraja la kitengule ambalo linaunganisha misenyi na biharamulo ujenzi wake umegharibu billion 31 za kitanzania. Naamini hizi zitakuwa bil 31 za Zimbabwe
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hii ndio December na kwahiyo Kamati kuu ya chama itakutana na kupokea taarifa ya Maridhiano kutoka kwa Wajumbe waliokuwa wanahudhuria...
11 Reactions
62 Replies
4K Views
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewakabidhi kwa Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Muhasibu wa Chuo cha Ualimu Sumbawanga, Eric Rutyamirwa na Mkufunzi wa chuo hicho Godfrey...
6 Reactions
51 Replies
3K Views
Katika hotuba yake Mwenyekiti wa Chadema amewatambulisha wabunge wa bunge la wananchi. Hi concept nimependa Sana. Hivyo inabidi chadema waifanyie kazi na kuanzisha hata vikao vyao. 1. Litakuwa na...
14 Reactions
27 Replies
2K Views
15 December 2022 LIVE UCHAGUZI WA BUNGE LA WANANCHI CHADEMA Wagombea waelezea jinsi wanavyoweza kulitumikia Bunge la Wananchi la CHADEMA Source: ZAMAMPYA TV...
10 Reactions
40 Replies
3K Views
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda...
47 Reactions
87 Replies
4K Views
Samia: Tutakopa fedha kujenga reli ya SGR, === Rais wa Tanzania, Samia amesema ni lazima serikali ikope ili kumaliza mradi wa Reli ya Kisasa (SGR). Rais Samia ameyasema hayo leo Desemba...
17 Reactions
179 Replies
12K Views
Akili mu kichwa, viongozi wa CHADEMA, Sasa ni dhahiri, watoto wao wote wamewapeleka kuishi ughaibuni na kuwachukulia uraia wa huko. Baada ya kuwapa makazi huko, wanarudi Tanzania na kuanza...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
RIPOTA PANORAMA MWENENDO wa mambo katika Sekta ya Bima si shwari baada ya kubainika kuwa Kamishna wa Usimamizi wa Bima (TIRA), Abdallah Baghayo Saqware ameshiriki kuanzisha Chuo Kikuu cha Bima na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Spika wa Bunge, Job Ndugai anadaiwa huenda kujiuzulu kwake nafasi ya Spika alilazimishwa na hakujizulu kwa matakwa yake kama ilivyoripotiwa. "Mbali na mawazo hayo, kuliibuka kauli mitandaoni...
5 Reactions
76 Replies
4K Views
Kulikuwa na ubishi humu ndege za Dreamliner na Airbus ziliponunuliwa, kwamba hilo lilikuwa jambo la manufaa kwa wananchi wa Tanzania. Hilo nimelipinga siku zote, kwa sababu unaposema manufaa kwa...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakenya ni majirani zetu na ndio nchi pekee duniani ambayo naweza kusema tunachangia vitu vingi sana. Kwa mfano, tunaongea lugha moja, chakula chetu kinafanana na kuna makabila mengi ambayo yapo...
13 Reactions
85 Replies
7K Views
Waziri wa fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba, leo akifanya mazungumzo ya kimkakati na CloudsTV amesema hakuna siku mtanzania yeyote ataombwa mchango kulipa deni la Taifa. Mwigulu Nchemba, anatajwa...
35 Reactions
67 Replies
5K Views
Enzi za Mwalimu katika mikutano ya CCM walichezesha nyimbo za akina Mbaraka Mwinshehe (nyimbo bila jasho) ulionekana Uzalendo hata unapocheza nyimbo hizo,juzi katika mikutano yetu ya Uchaguzi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Waziri mkenda, ninaomba nikupe ushauri wa bure kabisa kuhusu elimu. Kwa sasa mambo ya ajira za GPA uko sawa ila anza kufumua mfumu, muundo na mitaala ya elimu nchini. Prof, hakikisha kila shule...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mataifa mbalimbali duniani zimezaa matunda kwa kufanya idadi ya wawekezaji nchini kuongozeka. Rais Samia amekua...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mwaka 2015 watia nia ya urais kupitia CCM Mwigulu Nchemba na Januari Makamba walikuwa na timu kubwa sana za vijana wa kuwashangilia mitandaoni ili kuuhadaa umma kwamba ni viongozi wanaokubalika...
2 Reactions
10 Replies
863 Views
Back
Top Bottom