Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

HAKI NA WAJIBU Katiba na sheria vinatoa haki na kila upande yaani raia na dola wana wajibu wa kufana ili sheria itekelezeke. Rais anamsema mtangulizi wake kuhusu utawala wa mabavu na vitisho...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Siasa za Tanzania zina mambo, hivi siku hizi mnajua barua za uteuzi wanakadiria tumelala ndiyo inarushwa hewani. Vipi Ukakutana na barua siku moja kwamba uteuzi wa Mheshimiwa Mbowe ameteuliwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakina mama wanamlilia Sabayahuko mahakamani kesi yake unavyozidi pigwa kalenda. Nasema hivi.. huyu Sabaya hastahili kuonewa huruma na mtu yeyote kwani alikuwa amejaa dharau kali, jeuri kiburi ma...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Marais wote wa Tanzania, nyakati zote, wamefanana kwa jambo moja kubwa, KUDIDIMIZA NA KUUA DEMOKRASIA. Wakati wa mkoloni, kulikuwa na vyama vingi vya kisiasa. Mwingereza, pamoja na kwamba alikuwa...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa. Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL...
79 Reactions
797 Replies
150K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema yeye anasimama na Mwenyekiti Mbowe kwa suala la Maridhiano kwa sababu yakiitishwa maandamano muitikio wa Wananchi ni mdogo sana...
7 Reactions
41 Replies
4K Views
Ninaweka mtazamo wenye mjadala ndani yake. Ninawaomba wananzengo msiugeuze mjadala kuwa eneo la dhihaka bali tuliangalie hili jambo kwa macho mawili. Baba wa Taifa pamoja na kuwa busy sana kuliko...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine tena napata wasi wasi mkubwa juu ya ubora wa UDOM. Wiki hii sasa wanafunzi wengi wa chuo hiki wanahangaika kuthibitisha kwamba wanastahili kuhitimu mwaka huu yaani mwezi huu...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamurilo: Poleni sana kwa kumpoteza Injinia Patrick Aron Mfugale, mheshimiwa Rais tumesikia maelezo mengi yametolewa kuhusu elimu na ajira ya marehemu...
6 Reactions
127 Replies
27K Views
Tulikuwa tumekubaliana hivyo kabla ya vikao lakini baada ya matokeo kaka akaanza kunifokea kwanini nilifanya kinyume na makubaliano. Hapo ndio nikaelewa kumbe kilichotokea Dodoma ni upotoshaji...
41 Reactions
80 Replies
8K Views
Yaani wakisimama nshale, wakikaa nshale. Inaonekana CDM wanaoptions mbili kubwa. Maandamano au maridhiano. Zote ni options ngumu kwao zenye nafasi ndogo sana ya kufanikiwa. 1. Watu hawawezi...
2 Reactions
6 Replies
588 Views
“Tumeshafanya majaribio hata kutaka tupate fedha zenye masharti nafuu tununue madeni ya nyuma ambayo yaliwahi kukopwa commercial [kukopwa kwa masharti ya kibiashara] tuyapeleke kwenye masharti...
1 Reactions
11 Replies
820 Views
Licha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi, na January kufeli kabisa kwenye umeme, uashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu! Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha hawa...
13 Reactions
41 Replies
6K Views
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo. Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Rais Biden wa Marekani amewaalika Viongozi wa Bara la Africa Nchini humo, Rais Samia pia yuko huko. Kando na mkutano huo Rais Samia atakutana na kufanya mazungumzo na Shirika linalojishughukisha...
11 Reactions
153 Replies
11K Views
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi...
16 Reactions
230 Replies
7K Views
Nimeona vigogo wa TANESCO wakitutahadharisha watanzania kuwa kutokana na ukame uliolikumba Taifa letu, kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, wamelazimika wao TANESCO kuanzisha mgao wa umeme nchi...
10 Reactions
32 Replies
4K Views
Kila viongozi wakifanya safari huko mikoani na kukutana na makando kando basi utasikia TAKUKURU waagizwa wachunguze, yaani wao wako stand bay kungoja waagizwe tofauti na hapo hakuna wanacho weza...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Msikilize hapa, Siku maaskofu wamegeuza kibao sijui Bitozo atakimbilia nchi gani. Kikwete anawajua vizuri sana hawa bwana. bila busara zao na kuwa karibu na pengo Kikwete awamu ya pili...
21 Reactions
51 Replies
4K Views
Nimetafakari kwa kina matokeo ya NEC nikaona umeme, maji na tozo ndio sababu kuu zilizotuletea matokeo hayo. Nawashukuru wajumbe kwa matokeo mazuri sana! Wahusika wajitafakari kwa mstakabali wa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom