Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,244
Taarifa kutoka Mjini Njombe zinaelezwa kwamba Jiwe la Msingi lililokuwa na maandishi ya Uzinduzi wa mradi wa Maji Uliosimamiwa na Chadema limevunjwa na Maofisa wa Idara ya Maji Njombe.
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
Ushahidi huu hapa
View attachment 2632392
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Haijafahamika hasa sababu za kufanyika kwa jambo hilo la Kishamba , bali kuna muonekano wa jambo hilo kuwa na msukumo wa kisiasa.
Bali ifahamike wazi kwamba kila anayeshiriki kufanya uchafu huu atalipwa kwa kiasi kile kile alichowekeza.
Mungu Ibariki Chadema
Ushahidi huu hapa
View attachment 2632392
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app