Idofu
Senior Member
- Oct 24, 2022
- 108
- 187
Ni kuwa ni bora Uchutame, Serikali nzima wanajua nini kilitokea kwenye kwenye Mfuko wa Kufa na Kuzikana,na pia ni nini kilitokea kwenye Mfuko wa Tuzo na Tozo!!
Ni kuwa mpaka Mh.Rais anakuondoa kwenye nafasi yako alikuwa amejiridhisha kwa kile kilichotokea!!
Vile vile,umedanganya kuwa ulimtuma DCI afanye uchunguzi kitu ambacho sio kweli,ulichomfanya ni kumchukua Ofisa aitwaye ACP Nyakulinga kutoka kwenye Ofisi yako ya IGP na kumtuma aende akakamate watendaji wa Mfuko Zanzibar na kuwapeleka Mahakamani, na hizo kesi zote hakuna kinachoendelea tangu zilivyofunguliwa January, 2022.
Huyu Nyakulinga,wasiomjua ni kuwa aliondolewa na Rais JPM kutoka katika Ofisi ya Financial Crime Unit,baada ya malalamiko mengi ya rushwa katika Ofisi hiyo.
Kikubwa kinachokupa jeuri ni baada ya kumtorosha Mtendaji Mkuu wa huo Mfuko, ambaye alikuwa ndio mhusika Mkuu wa Kazi zote za kila Siku za Mfuko na aliondoka na documents zote, na hata CAG alivyokuja kukagua hakupata hata document Moja ya mfuko tangu ulivyoanzishwa.
Ushauri wangu ni huu, utulie, zile Kesi za Zanzibar zinakutaka ufike Mahakamani utoe ushahidi Kama Mlezi wa Mfuko.
Usimchokoze Mh. Rais, kitu ambacho alishakisahau!
Ni kuwa mpaka Mh.Rais anakuondoa kwenye nafasi yako alikuwa amejiridhisha kwa kile kilichotokea!!
Vile vile,umedanganya kuwa ulimtuma DCI afanye uchunguzi kitu ambacho sio kweli,ulichomfanya ni kumchukua Ofisa aitwaye ACP Nyakulinga kutoka kwenye Ofisi yako ya IGP na kumtuma aende akakamate watendaji wa Mfuko Zanzibar na kuwapeleka Mahakamani, na hizo kesi zote hakuna kinachoendelea tangu zilivyofunguliwa January, 2022.
Huyu Nyakulinga,wasiomjua ni kuwa aliondolewa na Rais JPM kutoka katika Ofisi ya Financial Crime Unit,baada ya malalamiko mengi ya rushwa katika Ofisi hiyo.
Kikubwa kinachokupa jeuri ni baada ya kumtorosha Mtendaji Mkuu wa huo Mfuko, ambaye alikuwa ndio mhusika Mkuu wa Kazi zote za kila Siku za Mfuko na aliondoka na documents zote, na hata CAG alivyokuja kukagua hakupata hata document Moja ya mfuko tangu ulivyoanzishwa.
Ushauri wangu ni huu, utulie, zile Kesi za Zanzibar zinakutaka ufike Mahakamani utoe ushahidi Kama Mlezi wa Mfuko.
Usimchokoze Mh. Rais, kitu ambacho alishakisahau!