johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara amelalamika kutukanwa " Mpumbavu na Mshenzi" na mkuu wa mkoa wa Mara mbele ya Waziri wa Ardhi mh Mabula
Mwita Waitara amewaambia waandishi wa habari endapo kuna Watu hawamtaki Tarime Vijijini wamwambie tu ataachia ngazi wamweke mtu wanayemtaka wao
Source Jambo TV
Mlale Unono!
Mwita Waitara amewaambia waandishi wa habari endapo kuna Watu hawamtaki Tarime Vijijini wamwambie tu ataachia ngazi wamweke mtu wanayemtaka wao
Source Jambo TV
Mlale Unono!