Mbunge wa Mbeya mjini Dkt. Tulia amegawa Mitungi ya Gesi ambayo hutumika pia kama majiko ya Gesi kwa Wananchi wa Mbeya
Hii inaonesha namna Mbunge huyu anavyowajali na kuwapenda Wananchi wake...
Alisema miaka ya nyuma baadhi ya maeneo nchini yalikuwa na 'mchwa' katika miradi ya umma, lakini serikali imejizatiti kudhibiti matukio hayo.
Dk. Mpango alisema hayo jana wakati akiweka jiwe la...
Huu ndio ukweli wa wazi kabisa, kwamba kauli za polepole kwamba waliotoa rushwa watafundishwa adabu zichukuliwe kama porojo za kunogesha mazungumzo yake tu, hazina ukweli wowote na hata kwa cheo...
Mambo yaliyoibuka na kugonga vichwa vya habari kutoka ziara za katibu mkuu wa CCM, Daniel Chongolo hivi karibuni ni pamoja na
1. Kubeti.
2.Vijana wa Singida kuridhika mapema katika kazi...
Hakika tukisemaga kuwa Chadema ni mpango wa Mungu muelewege basi.
Uvccm walijitahidi kutafuta point of weakness kwenye hotuba ya mh Lema ili wapate huruma ya wana Arusha.
Leo hii wana boda boda...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Arusha kumekucha upya baada ya Godbless Lema kutua nchini na kulitikisa jiji lolote la Arusha kwa kishindo cha mapokezi, shamrashara mitaani na mkutano mkubwa wa...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , yule mkimbizi wa kisiasa aliyerejea Nchini Tanzania , Godbless Lema baada tu ya kurejea Nchini ameanza kazi mara moja , kazi yake ya kwanza ni kuwajulia hali...
Binafsi naweza kusema hii ni moja ya hotuba nzuri sana kutoka kwa Madam President.👏👏👏
1. Suala la Viongozi kujiamini na kufanya maamuzi ambayo wataweza kuyatetea, maana yake wakizingatia hili...
Hii ni kwa mujibu wa kinachoendelea hapo Arusha kwa sasa.
Ni vita kati ya Nabii mkuu Geordave na anayeitwa Nabii na wafuasi wake pia!
Godbless Lema!
Naomba msikilize na siweki neno langu hata...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifunga Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa...
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa...
Kila mtu ni shahidi wa mwenendo wa nchi hii hata wale wa anaupiga mwingi wanajua hilo,wanajifanya kuficha ukweli,wanaweka giza kwenye mwanga jambo ambalo haiwezekani, mafisaidi ndo viongozi...
Sio rahisi kukielewa alichosema Lema kama hutotumia mlango wa sita wa fahamu au jicho la tatu kukitafakari kwa makini lakini yote kwa yote bodaboda wamefedheshwa sana.
Mwenye kulaani na kubariki...
Kuna hofu kubwa imetanda juu ya mwelekeo wa uongozi wa Mama Samia kulingana na matukio mengi yanayojitokeza kila siku iwe ya Ukiukaji wa maadili, uvunjaji sheria, haki na Usalama wa Wananchi upo...
Deni limeongezeka kwa Tril 4 ndani ya miezi 4
Deni halijumuishi Tril 1.3 ambayo tumekopa Mwezi uliopita kutoka WB
Deni hili ni la Serikali tu, tukijumlisha na lile la Sekta Binafsi linafika Tril...
Nashangazwa sana na watu kuidharau kazi ya uwalimu. Leo nimeshangaa zaidi kuwasikia viongoza wa waendesha bodaboda wakitoa tamko kuwa kazi yao ya ubodaboda ni bora kuliko uwalimu! Huo ubora wa...
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam mbele ya Jaji Leila Mgonya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Katika kesi hiyo, Mchechu anawakilishwa na mawakili wa...
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hotuba za Tundu Lisu, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na Komredi Kinana kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Kiukweli Uhutubiaji wa Tundu Lisu leo umekuwa wa viwango...
Hawa ndugu zetu wa Ufipa st Chadema wao huwa hawajihusishi na "ndumba"?
Sijawahi kuwasikia wakiambatana na Waganga wa mitishamba
Hata wakati ule ilikuwa wao na askofu Gwajima au askofu Malone na...
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ukweli ni kwamba serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inawajali sana wananchi wake kupitia utekelezaji wa mradi mkubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.