Serikali inaposhughurikia swala la wafanyabiashara kariakoo ingetufikiria na sisi wafanyakazi: tunaonewa sana kwa kweli.
Mifano iko wazi:
1. Kwa mfano, daktari akilala zamu anapolipwa call allowance lazima akatwe VAT
2. Daktari au nesi akilipwa extra duty allowance lazima akatwe VAT
3. Mwalimu akisahihisha mitihani na akapewa hela ya kusahihisha mitihani lazima akatwe VAT
Kila kitu anachopewa mfanyakazi lazima alipe VAT.
Ndiyo maana wafanyakazi wengi ni maskini kwa sababu makato ya Serikali ni makubwa mno jameni.serikali itufikirie kwa kweli.
Mimi nalipwa milioni 4 kama mshahara, PAYe kila mwezi nakatwa milioni 1, sijajua mfanyabiashara yeye kwenye faida ya 4 million anakatwa kiasi gani. Halafu hakuna mfanyabiashara ambaye ni mwaminifu hata 95% kuonyesha mapato yake halisi.
Niombe Serikali tukufu ya mama yetu Samia ifute VAT kwa watumishi wa umma na sekta binafsi Ili wafanyakazi waweze kujitoa kwenye dimbwi la umaskini.
Mifano iko wazi:
1. Kwa mfano, daktari akilala zamu anapolipwa call allowance lazima akatwe VAT
2. Daktari au nesi akilipwa extra duty allowance lazima akatwe VAT
3. Mwalimu akisahihisha mitihani na akapewa hela ya kusahihisha mitihani lazima akatwe VAT
Kila kitu anachopewa mfanyakazi lazima alipe VAT.
Ndiyo maana wafanyakazi wengi ni maskini kwa sababu makato ya Serikali ni makubwa mno jameni.serikali itufikirie kwa kweli.
Mimi nalipwa milioni 4 kama mshahara, PAYe kila mwezi nakatwa milioni 1, sijajua mfanyabiashara yeye kwenye faida ya 4 million anakatwa kiasi gani. Halafu hakuna mfanyabiashara ambaye ni mwaminifu hata 95% kuonyesha mapato yake halisi.
Niombe Serikali tukufu ya mama yetu Samia ifute VAT kwa watumishi wa umma na sekta binafsi Ili wafanyakazi waweze kujitoa kwenye dimbwi la umaskini.