WIZARA YA TAMISEMI INAKUSAIDIA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA STENDI YA HALMASHAURI YA MOMBA
Katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni Jijini Dodoma Mbunge wa Jimbo la Momba Mhe...
Baraza la Biashara la Afrika Mashariki limemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukabidhi ardhi kwa baraza hilo yenye ukubwa wa hekta tatu.
Hati miliki ya ardhi hiyo namba 4/2 iliyopo eneo la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Sherehe ya kuapishwa Rais Mteule wa Nigeria Mhe. Bola Tinubu katika Eagle Square Abuja chini Nigeria leo tarehe 29...
Kile Chama Pekee cha Kisiasa Nchini Tanzania chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara , leo kimeingia Mkoani Tabora na kutoa elimu Kabambe kuhusu Umuhimu wa Watanzania kuhakikisha katiba mpya...
Uzi huu utakuwa maalumu kwa kupeana taarifa za miradi mbalimbali inayosuasua au iliyokwama kumalizika ujenzi wake ili kusaidia kuiamsha serikali iweze kutupia jicho kwenye hiyo miradi iweze kuisha...
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:
Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele
Ameyatamka TAL rais wa...
MHE. JANEJELLY NTATE AFANYA KONGAMANO LA WALIMU WA SANYANSI NA HISABATI MKOA WA DAR KUTAFUTA CHANZO CHA WANAFUNZI KUTOKUWA NA UFAULU MZURI KATIKA MASOMO HUSIKA HASA WANAFUNZI WA KIKE
Mhe...
Katika hatua ya ushirikishwaji wa makundi yote ili kuratibu mchakato wa Katiba mpya ndio CHADEMA wamegoma kuhudhuria. Makundi yote yaliyoalikwa yameitikia Wito.
Swali: CHADEMA ni special sana...
Baraza la Sanaa la Taifa BASATA badala ya kuwapa elimu sahihi Wasanii kama Sheria inavyo wataka, wao wanawadanganya na kuwapoteza eti NEMC inazima Muziki.
NEMC haizimi Muziki, imeweka viwango...
Jumla ya masanduku 191,885 ya kupigia kura yameundwa kwa ajili ya wapiga kura nchini. / Picha: TRT World
Rais wa sasa wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza ushindi katika duru ya pili ya...
MORRISON ALITAKIWA KUINGIA MAPEMA BAADA YA AZIZ KI KUSHINDWA MCHEZO.
Leo Jioni 18:30hrs 28/05/2023
Mzee wa kuzama katikati ya msitu wa mabeki,Mzee wa kugima kwenye utelezi,akianguka anainuka...
Kama Hii ndio Nguvu ya Umma inayohubiriwa na Chadema basi nimeogopa sana
Eneo walilopitia maelfu baada ya ubomozi na kwenda kuujaza Uwanja huwezi kuamini
Maelfu wengine wako nje na Uwanja uko...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Heshima kutoka kwa Jeshi la Jamhuri ya Nigeria mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Nnamdi...
Nimeshuhudia minyukano mikali huko mitandaoni ndio nikakutana na na hili Neno " a paid slave"
Ndio nikajiuliza Chawa anaweza kulipwa tsh 10,000,000 kama posho ya Kuongea ongea tu kila mwezi...
Huu wa Kwanza kabisa ni mkutano wa ngazi ya Kata wa ccm kwenye Kata ya Mwalo huko Mbinga
Unaofuatia ni mkutano wa ACT WAZALENDO , huu ni ngazi ya Jimbo Songea Mjini
Huu wa mwisho ni Mkutano...
Bila shaka hii ndiyo product ya Dodoma University faculty ya political Science.
Mtazameni na msikilizeni mwana CCM tegemewa akijibu hoja za CHADEMA hususani Tundu Lissu.
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa uweza mkuu, Mwenyezi Mungu ni mkuu mno. Aliwatambua na kuwateua hata kabla hamjazaliwa.
Naamini hakuna kiongozi yeyote anapata uongozi kwa mapenzi yake mwenyewe bali...
Unaambiwa yale madini ya pale Ngwala-Songwe ni moja ya madini adhimu sana duniani na matumizi yake ndio yanaenda kutawala kwenye miaka 50 ijayo duniani (Rare Earth Minerals au Strategic & Critical...
Ndugu zangu watanzania,
Katibu mkuu wa CCM mh Daniel Chongolo ameitetemesha na Kuiteka Iringa kwa maagizo yake Mazito ya kuleta Tabasamu, furaha na matumaini katika mioyo ya wana iringa yaliyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.