Michael Uledi
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 132
- 322
Unaambiwa yale madini ya pale Ngwala-Songwe ni moja ya madini adhimu sana duniani na matumizi yake ndio yanaenda kutawala kwenye miaka 50 ijayo duniani (Rare Earth Minerals au Strategic & Critical Minerals).
Ukitaka kupima vision ya Taifa letu unaweza ukaona jinsi gani hata madini ya namna hiyo tunawapa wawekezaji kwa mchanganuo wa 16% kama dhahabu ambayo tunayo almost kila kona ya Nchi!
Madini haya yangegundulika nchi serious kama China then Mmarekani au Mjapani aende na uwekezaji wake hata wa dola zote duniani hawezi kupewa! Common!
Hii ngoma tunataka tuupeleke wapi (hii NCHI tunataka iweje by mwaka let say 2050)? Do we have that vision?
Hivi tunataka tutengeneze Taifa la namna gani na lini?Je, tunajihoji maswali haya tukiwa kitandani, ofisini au nyumbani?
Mbombo ngafu!
"Wiki hii serikali ya Tanzania ilisaini mkataba na makampuni matatu ya Australia kwa thamani ya dola milioni 667. Kwahiyo makampuni ya Australia yana haki za uchimbaji wa madini kwenye migodi matatu nchini Tanzania kwa lengo la kuchimba madini adimu ya ardhi na grafiti.
"Madini haya ni muhimu sana katika maendeleo ya teknolojia, mfano teknolojia za umeme, betri, magari, simu za mkononi, kompyuta mpakato (laptops) na grafiti inajulikana kutumika katika upakaji hasi wa betri ya lithiamu ion.
"Hii inaonyesha jinsi kampuni za kigeni zinavyowekeza Afrika na kutajirika maradufu kutoka kwenye rasilimali na madini ya Afrika. Dola milioni 667 kwa ajili ya migodi mitatu ni upuuzi. Wakati mgodi mmojawapo utatengeneza mabilioni na mabilioni ya dola."
=====
Nakili kiunganishi
Madini hayo ya kipekee yamepatikana katika maeneo ya Chilalo Wilayani Lindi, Epanko Wilayani Ulanga, na Nguala Wilayani Songwe. Makubaliano hayo ni sehemu ya mkakati wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wa kuimarisha mchango wa sekta ya madini katika uchumi wa taifa hilo kwa angalau asilimia 10 kufikia mwaka 2025.
Kwa mujibu wa mwakilishi wa timu ya majadiliano ya Tanzania Palamagamba Kabudi, nchi hiyo itanufaika na asilimia 16 katika kila mradi. Mataifa ya Magharibi yanajaribu kupunguza utegemezi wao kwa China katika madini ya Kinywe na adimu.
Madini hayo ni muhimu katika vifaa vya elektroniki kama vile simu za kisasa, kompyuta na betri pamoja na teknolojia ya kisasa ambayo inaweza kupunguza utegemezi wa nishati ya mafuta.
DW
Ukitaka kupima vision ya Taifa letu unaweza ukaona jinsi gani hata madini ya namna hiyo tunawapa wawekezaji kwa mchanganuo wa 16% kama dhahabu ambayo tunayo almost kila kona ya Nchi!
Madini haya yangegundulika nchi serious kama China then Mmarekani au Mjapani aende na uwekezaji wake hata wa dola zote duniani hawezi kupewa! Common!
Hii ngoma tunataka tuupeleke wapi (hii NCHI tunataka iweje by mwaka let say 2050)? Do we have that vision?
Hivi tunataka tutengeneze Taifa la namna gani na lini?Je, tunajihoji maswali haya tukiwa kitandani, ofisini au nyumbani?
Mbombo ngafu!
"Wiki hii serikali ya Tanzania ilisaini mkataba na makampuni matatu ya Australia kwa thamani ya dola milioni 667. Kwahiyo makampuni ya Australia yana haki za uchimbaji wa madini kwenye migodi matatu nchini Tanzania kwa lengo la kuchimba madini adimu ya ardhi na grafiti.
"Madini haya ni muhimu sana katika maendeleo ya teknolojia, mfano teknolojia za umeme, betri, magari, simu za mkononi, kompyuta mpakato (laptops) na grafiti inajulikana kutumika katika upakaji hasi wa betri ya lithiamu ion.
"Hii inaonyesha jinsi kampuni za kigeni zinavyowekeza Afrika na kutajirika maradufu kutoka kwenye rasilimali na madini ya Afrika. Dola milioni 667 kwa ajili ya migodi mitatu ni upuuzi. Wakati mgodi mmojawapo utatengeneza mabilioni na mabilioni ya dola."
=====
Tanzania yasaini mikataba ya madini na kampuni za Australia – DW – 18.04.2023
Serikali ya Tanzania jana ilitia saini mikataba yenye thamani ya Dola milioni 667 na makampuni matatu ya Australia kwa ajili ya uchimbaji wa madini adimu yaliyogunduliwa Tanzania.
p.dw.com
Nakili kiunganishi
Madini hayo ya kipekee yamepatikana katika maeneo ya Chilalo Wilayani Lindi, Epanko Wilayani Ulanga, na Nguala Wilayani Songwe. Makubaliano hayo ni sehemu ya mkakati wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wa kuimarisha mchango wa sekta ya madini katika uchumi wa taifa hilo kwa angalau asilimia 10 kufikia mwaka 2025.
Kwa mujibu wa mwakilishi wa timu ya majadiliano ya Tanzania Palamagamba Kabudi, nchi hiyo itanufaika na asilimia 16 katika kila mradi. Mataifa ya Magharibi yanajaribu kupunguza utegemezi wao kwa China katika madini ya Kinywe na adimu.
Madini hayo ni muhimu katika vifaa vya elektroniki kama vile simu za kisasa, kompyuta na betri pamoja na teknolojia ya kisasa ambayo inaweza kupunguza utegemezi wa nishati ya mafuta.
DW