Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ofisi ya Hakimiliki nchini (COSOTA), imetoa Semina kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu majukumu na fursa zilizopo katika ofisi hiyo ikiwemo kulinda hakimiliki za...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
MHE. CONDESTER SICHALWE - ELIMU YA DIPLOMASIA YA UCHUMI ITOLEWE KWENYE MABARAZA YA MADIWANI ILI IWAFIKIE WANANCHI "Diplomasia ya Uchumi ni kipaumbele cha Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini.. Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga...
0 Reactions
57 Replies
2K Views
Ni ukweli ulio wazi kwamba zama za Freeman Mbowe kwenye Siasa za Upinzani zimefika ukingoni labda arudi kuhudumu CCM. Ila ni ukweli usiopingika kuwa Mbowe ni Mwanasiasa Bora wa wakati wote...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana! Maumivu ya bando wala hayaumi...
83 Reactions
160 Replies
10K Views
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kazi ni yeye. Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako lakini atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa. Ni...
11 Reactions
50 Replies
2K Views
KWANINI MADARAKA YA RAIS YANALALAMIKIWA SANA NA NINI KIFANYIKE KWENYE KATIBA IJAYO? MJADALA KATIKA FORUM YA KATIBA YA WATU
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Wadau ni swali najiuliza Kwamba huyu mgombea urais 2020 Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika hapo chini. Nchini kwetu kuna vyama vingi vya siasa. Na kila chama kina lengo na nia ya kushika...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
MHE. JULIANA SHONZA - "KWA MARA YA KWANZA TUTAMPITISHA RAIS MWANAMKE KWA KISHINDO MWAKA 2025" "Tutampitisha Rais Mwanamke Madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2025 kwa kumpigia kura za kutosha...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
ALAT ni Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa...Association of Local Authorities of Tanzania Benki ya NMB imefanikiwa kuchangia kiasi cha Sh. 200 milioni kwa ajili ya kufanikisha maandalizi ya...
0 Reactions
4 Replies
799 Views
Utendajikazi, Upole, Ustamilivu, Subra, Busara, Huruma na Mapenzi ya MNEC Iringa Ndugu Salim Faraj Abri ASAS Kwa wanaIringa na Wana-Nyanda za Juu Kusini, Imekuwa ikijenga taswira njema ya Chama...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni. Napendekeza uwepo...
4 Reactions
8 Replies
906 Views
ANGELINA MALEMBEKA ASHANGAZWA ASKARI USALAMA BARABARANI KUJIFICHA Agelina Malembeka, Mbunge wa Viti Maalum Mbunge wa Viti Maalum Angelina Malembeka akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
SINTOFAHAMU YA ZUIO LA USAJILI WA POLYCLINICS (KLINIKI ZA KIBINGWA) MPYA KATIKA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF): WAZIRI UMMY MWALIMU ATOE MAJIBU KWA WADAU Kumekuwa na kilio cha Wadau...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana. Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
SHINA NO 7 - KISING’A -IRINGA Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo leo tarehe 30 Mei 2023 amepokelewa na wananchi pamoja na wanachama wa CCM kata ya Kising’a Jimbo la Isimani Shina No 7 kwa...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Prof Issa Shivji anasema Tunakopa zaidi na zaidi Ili tulipe madeni tuliyolimbikiza hii inaitwa Mtego Deni au Debt trap Prof Shivji anasema hii ni aina mpya ya Utumwa Shivji anasema Utumwa ni...
1 Reactions
3 Replies
675 Views
Naomba nikiri, Mimi ni mrahibu wa GAZETI Ili Kila linapotoka lazima nilinunue na pale nikutapo kasoro uwa naumia. Nielezee Kwa Nini naumia. Kwanza wakati nimemaliza shule Ili GAZETI ndo ilikuwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom