USHAURI: WanaJF tuwe na sehemu ya kuwasilisha maoni yetu ya Katiba pendekezwa kwa Jaji Mutungi?

Deogratias Mutungi

Senior Member
Oct 1, 2019
137
179
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Napendekeza uwepo utaratibu maalumu wa Jukwaa hili kuwasilisha maoni yetu kuhusiana na Katiba pendekezwa, na hatimaye tuyawasilishe kwa maandishi sehemu husika.

Kwa mantiki hiyo, siku ya Jumatatu nitaandika barua kwenda kwa msajili Jaji Mutungi, kuomba muongozo wa agenda hii, Sisi ni sehemu ya Katiba na Katiba ni sehemu ya maisha yetu kwa kizazi cha leo na kijacho, nawasilisha. Asante.
 
Sidhani kama ni muda muafaka kutafuta katiba Mpya ,haya Maridhiano ya Mbowe yatatupa katiba ya wanasiasa sio ya wananchi .
 
Sidhani kama ni muda muafaka kutafuta katiba Mpya ,haya Maridhiano ya Mbowe yatatupa katiba ya wanasiasa sio ya wananchi .
Mkuu umeshajikatia tamaa kabisa ! Ndio maana mdau anasema jf iwe moja ya sehemu ya kuwakilisha maoni ya katiba ili kama kuna elements za kichama ziwe disloved.
 
kama mutungi ni baba yako kakutuma mwambie mchakato na maoni yashatolewa kitambo awaachie waliouanzisha waumalizie.
Sijatumwa, Bali nahiitaji tuwe sehemu ya mchakato huu kama wananchi "wanajukwaa" na si kuwaachia Wana siasa peke yao.
 
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Napendekeza uwepo utaratibu maalumu wa Jukwaa hili kuwasilisha maoni yetu kuhusiana na Katiba pendekezwa, na hatimaye tuyawasilishe kwa maandishi sehemu husika.

Kwa mantiki hiyo, siku ya Jumatatu nitaandika barua kwenda kwa msajili Jaji Mutungi, kuomba muongozo wa agenda hii, Sisi ni sehemu ya Katiba na Katiba ni sehemu ya maisha yetu kwa kizazi cha leo na kijacho, nawasilisha. Asante.
Katiba pendekezwa tena!
Pesa zipigwe tena km zilivyopigwa na mzalendo number 1 akaishia kupigwa?
Jamani hivi ndo tuko uchumi wa juu hivyo fedha ni tele!
 
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Napendekeza uwepo utaratibu maalumu wa Jukwaa hili kuwasilisha maoni yetu kuhusiana na Katiba pendekezwa, na hatimaye tuyawasilishe kwa maandishi sehemu husika.

Kwa mantiki hiyo, siku ya Jumatatu nitaandika barua kwenda kwa msajili Jaji Mutungi, kuomba muongozo wa agenda hii, Sisi ni sehemu ya Katiba na Katiba ni sehemu ya maisha yetu kwa kizazi cha leo na kijacho, nawasilisha. Asante.
warioba alishamaliza kazi, mtu mwenye akili hatakubali janja janja ya samia na CCM
 
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Napendekeza uwepo utaratibu maalumu wa Jukwaa hili kuwasilisha maoni yetu kuhusiana na Katiba pendekezwa, na hatimaye tuyawasilishe kwa maandishi sehemu husika.

Kwa mantiki hiyo, siku ya Jumatatu nitaandika barua kwenda kwa msajili Jaji Mutungi, kuomba muongozo wa agenda hii, Sisi ni sehemu ya Katiba na Katiba ni sehemu ya maisha yetu kwa kizazi cha leo na kijacho, nawasilisha. Asante.
Ni wazo zuri xna
 
Back
Top Bottom