Hivi karibuni, mkulima amefungua kesi mahakamani dhidi ya baadhi ya Mawaziri kufuatia report ya CAG kuonesha kuwa kumekuwa na wizi/ubadhirifu/ufujaji mkubwa wa pesa ya umma kwenye wizara zao...
Watanganyika wanacho taka ni Yanga na Simba zishinde au zifanye vizuri basi, hayo mambo mengine hayawahusu kabusa, yaani hata nchi ikipigwa mnada ni poa kabisa na hakuna mwenye time.
Si bure...
January Makamba anasumbuliwa na tatizo kubwa sana la kutojua hesabu na kusema uongo. Anataabishwa sana na kufanya mambo ili kuonekana anafanya makubwa wakati ukweli ni kuwa mbali na maonyesho ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini, Mhe. Andrey Avetisyan katika ofisi za...
Nakuomba uzingatie ushauri huu ninaokupatia kwa sasa, kwani una faida kwako binafsi na kwa kampuni yenu ambayo inajiendesha kwa uaminifu sana na ina jina zuri Nchini na nje ya nchi hii.
Kama...
Unajua kwanini? Jamaa ni wazoefu na wajanja sana kupita maelezo, ona mpima samaki kwa kura anavyotayarishwa.
Vineno vineno, viugomvi ugomvi vitapamba moto hatimae atatimliwa na upande ule...
SEKTA YA ELIMU KATIKA JIMBO LA MUFINDI KASKAZINI
Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe, (Naibu Waziri Uwekezaji, Viwanda na Biashara) tarehe 28, Mei, 2023 amekagua...
"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha...
Majuzi nimelisikia Bunge letu tukufu wakijadili hoja ya URAIA PACHA na HADHI MAALUM kwa kina sana lakini yaonyesha wazi viongozi wetu hawajui maana wala tofauti ya mifumo hii miwili japokuwa ni...
Utamaduni wa Mtanzania umebomoka nani asimame mahali pale palipobomoka na kupajenga tena,nimeona maridhiano kwa watu fulani lakini maridhiano hayajafika kwenye dhihaka,kashfa na shutuma kwa...
JAMHURI ya Muungano wa Tanzania-Kazi Iendelee.
Mei Mosi kulifanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani, kama ilivyo kawaida ya siku zote inapofika tarehe na mwezi huo.
Kitaifa siku hiyo...
Kwa mara ya kwanza katika siasa za Tanzania na kwenye bunge la bajeti tunashuhudia jinsi wizara ya nishati inavyonunua waandishi wa habari na wabunge katika jitihada za kuhakikisha bajeti yao...
Na Eleuteri Mangi, WUSM Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amefanya kikao na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Miliki Bunifu la Kikanda Afrika...
Wizara ya Uchukuzi imesema Utengenezaji wa Mabehewa 45 ya Treni ya SGR sasa umefikia 95 na itawasili nchini Kati ya June na November mwaka Huu
Aidha Serikali inatarajia kupokea vichwa viwili vya...
Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public-private partnerships - PPP), David Kafulila amezungumzia mambo kadhaa kuhusu uwekezaji na ubia:
Ufafanuzi wa ubia...
Kipindi hiki ilikuwa ndio wasaa wa kuonekana kama watetezi wa raia wa Tanzania kwa kuwa na hoja na kukubalika kwa wananchi.
Mwamba ameruka na chopa kama mtalii toka Hai akizurula na chopa la...
Itakuwa aibu kubwa kwa Mhimili wa Bunge kutokemea tabia ya wabunge kudhalilishwa na viongozi wa wilaya kwa kuitwa majina ya hovyo kama MWALI.
Pia soma > Mkuu wa wilaya Rebeca Sanga amuita Luhanga...
Alikuwa akijibu maswali katika Program ya Mjadala ya Club House ya Msemaji wa Serikali.
========
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema, takribani nusu ya miradi ya kimkakati iliyoainishwa...
Ndege ya mizigo ya AirTanzania Cargo inaleta faida nyingi na inategemewa kuleta mabadiliko makubwa katika usafirishaji wa mizigo na kuongeza uchumi katika nchi. Hapa chini ni baadhi ya faida zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.