Gazeti la Jamhuri limeanza kulewa sifa? Wakati bosi wao akiwa boss wa Afrika? Ni upuuzi wajirekebishe na kuomba radhi

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Naomba nikiri, Mimi ni mrahibu wa GAZETI Ili Kila linapotoka lazima nilinunue na pale nikutapo kasoro uwa naumia.

Nielezee Kwa Nini naumia.

Kwanza wakati nimemaliza shule Ili GAZETI ndo ilikuwa linatarajia kutoka Sasa wakati nikiwa kwenye miangaiko ya kutafuta ajila na ukizingatia nilisomeaga masuala ya habari,basi nilikutana na dada mmoja siwezi mtaja hapa nae alikuwa mwanahabari na mpaka Sasa ni mwanahabari pale Azam Media ila enzi hizo alikuwa Sahara media chini ya star tiv.

Nikiwa na bahasha mkononi nilikutana na yule dada ambae kwangu tulifahamiana baada ya kusoma pamoja kidato Cha kwanza mpaka Cha NNE, ila tulipotezana five na six mpka Chuo hatukuonana popote mpaka Siku Ile tulipokutana.

Akiwa mwenye bashasha nilipomweleza changamoto yangu moja Kwa moja alieneielekeza nikamwone Tajiri Africa, namwita hivyo maana ndivyo alivyotipotiwa kupitia moja ya nakala za habari ndani ya GAZETI lake yaani Mzee Balile.

Nilikwemda mpaka ofisini kwake na kumuona nae majibu aliyonipa mpaka leo sijawai yasaau (namwachia Mungu).

Leo nauliza makosa yanayoanza kujitokeza ni ya ulevi au Nini hiki kupitia GAZETI ilo?

Mfano hii habari ya

"kiza, Utata kifo Cha Memba Nini hiki?)makosa nje na ndani? Huu ni ulevi au?

Ukurasa wa tatu Kuna habari isemayo;

Kwaheri Wakili Mkono, Musoma wanasherekea maisha Yako),

Habari hii imejaa uongo wa hali ya juu eti mwandishi ambae hajulikani, anadai mkono ndiye mbunge wa kwanza kujenga Jimbo lake Kwa kutumia pesa zake na ni tofauti na wabunge wengine wanao LALAMIKA,

Huyu mwandishi amezaliwa enzi na zama gani? Hivi aliwai msikia Mzee Ndesa pesa marehemu kweli? Au anatumwa na wakina manyerere kuandika uwongo?

Mkono alipiga Dili nyingi serikali na aliona aibu akaamua kurejeshwa Kwa njia Hiyo na alikuwa miongoni mwa wabunge wapiga kelele,angekuwa mpinzani kama akina Ndesa pesa msengemaje Sasa?

Ukweli usemwe Mzee mkono alilipa fadhira kutokana na fedha zilizotokana na mambo ya kipigaji kama alivyokuwa anapiga Mzee chenge na Kila akirudi jimboni anagawa fedha Kwa WANANCHI mwisho anasema ni vijisent.

Jamhuri tutendeeni haki sisi wasomaji msiturishe matango Poli,vibaya kujiamini kupitia kiasi MSIDHANI mnao.waandikia ni mbumbu.
 
Mpk Leo mnsaomaga magazeti ,ckumbuki mara ya mwisho kusoma gazeti n liniii,

Huyo alieandika hayo inaonekanaa anamaslai yake binafsi na hao anao wasifiaaa...
 
Waaandishi wa habari huwa ni njaa kali. Bila jf mi sijui habari ningepataje?
 
Back
Top Bottom