Tundu Lissu anaponda maridhiano kwa nia njema au anahofia nafasi yake ya ugombea urais 2025?

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Dec 13, 2019
1,006
1,171
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
 
Ukweli ndio huo, hayo ni mawazo yako tu binafsi kutokana na mtazamo wako, akili yako na uelewa wako.
 
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
Ila wewe unastahili.
 
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
Kumpatia mtu kitu ambacho ni haki yake kikatiba kamwe hayo si maridhiano, na ndicho Tundu Lissu anachokipinga.

Kajifunzeni maana ya ridhaa.
 
Ujinga ni mzigo. Unamuuliza nani hapa kuhusu dhamira ya mtu? Kuna watu wanajua dhamira za wengine humu?
Hili ni jukwaa huru kama wewe ni mjinga kwenye eneo hilo sio lazima ujibu,
Kujaribu kuonyesha wengine hawajui kama wewe huo ni upumbavu
 
Kumpatia mtu kitu ambacho ni haki yake kikatiba kamwe hayo si maridhiano, na ndicho Tundu Lissu anachokipinga.

Kajifunzeni maana ya ridhaa.
Mbona miaka yote hiyo haki ilipotea na alishindwa kuirejesha?
Na nyie wafuasi wake mbona mlishindwa kuitetea kwa njia mnazodhani ni sahihi kuipata ?
SI aliitisha maandamano ni mwanachama Gani wa chadema aliyejitokeza , zaidi ya kujificha mtandaoni kinafiki

Mpaka walipokaa viongozi wenye busara na hekima wakairudisha hiyo haki
Leo jamaa anabwatuka TU ovyo kwa haki aliyoshindwa kuitetea
Sio kila kitu kinahitaji hasira na manguvu
 
Mbona miaka yote hiyo haki ilipotea na alishindwa kuirejesha?
Na nyie wafuasi wake mbona mlishindwa kuitetea kwa njia mnazodhani ni sahihi kuipata ?
SI aliitisha maandamano ni mwanachama Gani wa chadema aliyejitokeza , zaidi ya kujificha mtandaoni kinafiki

Mpaka walipokaa viongozi wenye busara na hekima wakairudisha hiyo haki
Leo jamaa anabwatuka TU ovyo kwa haki aliyoshindwa kuitetea
Sio kila kitu kinahitaji hasira na manguvu
Haijarishi ilipotea miaka au karne ngapi
 
Mikutano iko kikatiba na sio kwa sababu ya maridhiano. Hayo maridhiano ni ya Mbowe na Samia na sio ya chama. Kama mliweza kumuachia Magufuli akawa rais, Kwanini isiwe Lisu?
Kwanini miaka yote mlishindwa kuitetea hiyo haki ya katiba kwa njia mnaodhani ni sahihi kwenu ?
Chama kilipoitisha maandamano nani alijitokeza zaidi ya kujificha kwenye mitandao na I'd fake,
Wakati mwingine tuwe wa kweli tuache unafiki
 
Wadau ni swali najiuliza

Kwamba huyu mgombea urais 2020

Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio

Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara anayotumia kuponda mariadhiano ilipatikana kupitia hayo mariadhiano

Ni vyema akaangalia zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko nafasi yake

Kwa maoni yangu

Tundu Lissu ni mwanasheria na msimamizi mzuri wa utawala wa Sheria lakini hastahili nafasi kubwa ya urais hata uenyekiti wa Chama, hekima na busara yake haijakaa sawa
Lisu ndo mpinzani wa kweli
 
Back
Top Bottom