Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Mheshimiwa Rais kwenye bajeti ya mwaka 2023-2024 amesema, Mfanyabiashara yeyote anayedaiwa kodi kwamba hajalipa TRA ni marufuku kumfungia biashara yake. Hii itumike kwa Wavuvi, Mvuvi ambaye...
1 Reactions
3 Replies
546 Views
Napenda kuwataarifu kuwa Tozo zilizofutwa ni Kwa miamala ya kutuma pesa pekee Mfano umeweka pesa kwa Wakala na umahitaji kufanya transfer kwa nature ya maumala huo Hauna Tozo Ila ukienda Kwa...
3 Reactions
6 Replies
906 Views
Habari JF, Binafsi sitachoka kuinyooshea kidole CCM kwa matatizo na maendeleo duni ya Taifa hili mbali na Tanzania kujaliwa maliasili nyingi sana. CCM imetuaminisha kwamba hatuwezi fanya...
9 Reactions
38 Replies
2K Views
Then baada ya mwisho wa kuchimba deposits za mafuta, zitakuwa zimeisha sasa wanatengeneza mikataba ya kilaghai ili ku meet future economic demands maeneo mbali mbali ili kupata future ecomonic...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wamejaribu kutumia kila kete kunusulu ulaji wao lakini wapi! Mama Yuko strong kwenye uwekezaji Huwa hayumbishwi kabisa. Wamejaribu kumtumi Shivji akahit lkini upepo umeshakata. Wamemtumi slaa...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Utalii wa wanyama ni moja ya vivutio vya mwisho kabisa kupendwa na na watalii weng Duniani. Utalii wa fukwe ni utalii mkubwa sana Dunuani na hapo ndipo Zenji.wanaweza piga bao Bara. Shida Bara...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mikutano ya hadhara mkoani Dar es Salaam , Taarifa za siri za Chama hicho chenye Wanachama wengi zaidi nchini Tanzania ( kwa mujibu wa...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
Walikuwapo wakatoweka. Mabilioni bado hawajalipa: Kama mchezo wa kuigiza wengine nao wanaibuka. Ngoma inogile ngoja tuone.
4 Reactions
33 Replies
6K Views
Kwanini wizara mpya ya uwekezaji imepelekwa ikulu? Kwanini isingeachwa huko nje ya ikulu...? Tundu Lissu aliwahilalamika takriban mwezi 1 nyuma akihoji kwanini idara ile nyeti (jiongeze kujuwa...
1 Reactions
0 Replies
277 Views
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Vyama 6 vya Siasa vyenye Sifa ya kupata Ruzuku ya Serikali vimepokea Jumla ya tsh 17.5 bilioni Vyama hivyo sita ni Chadema, ACT wazalendo, NCCR mageuzi, CUF, CCM...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwanza nimpongeze Mh Waziri kwa kusikiliza na kuondoa kero ya tozo kwa wananchi, hapa napo Mh umepigwa mwingi,super bravo 💪 Kama kiongozi wa serikali hua anategemea sana mawazo ya wabunge katika...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Tunakumbushana tu Duniani kote Katiba mpya haitengenezwi na Watu wanaokusanyika kwenye Ukumbi mkubwa na kulipana Posho kubwa kubwa Katiba mpya huletwa na Msukuma wa Wananchi waliojawa Nguvu ya...
1 Reactions
0 Replies
253 Views
Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema. Kafulila...
20 Reactions
333 Replies
46K Views
Kwa jinsi mkataba ulivyo DP World watakodisha makampuni mengine ...ambayo yamejificha kama DP world associates ndani ya mkatabq kufanya shughuli bandarini na kulipwa fedha makampuni kama Adan...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Yasemekana mzee wetu yuko Nchini Uingereza kwa matibabu , tumuombe Mungu ampe nafuu haraka
99 Reactions
379 Replies
68K Views
Kwenye mapendekezo ya bajeti Kwa mwaka wa fedha 2023/2024 baadhi ya tozo kama ile tozo ya kwenye miamala ambayo ni kilio Cha wanyonge wengi na Ile Kodi ya 'store' iliyopelekea mgomo Kariakoo...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili ya Leo Kwa Maslahi ya Taifa, inaendelea na makala elimishi za kuijua Jumuiya ya Afrika Mashariki, leo ni makala elimishi kuhusu kulijua Bunge la Afrika...
7 Reactions
57 Replies
5K Views
Ama kwa hakika. Kizuri hakidumu. Tanzania tunaendelea kumkumbuka Rais Bora kabisa tuliopewa na Mungu kama zawadi. Ameacha alama ambayo Afrika na Dunia nzima bado wanaendelea kumuenzi...
21 Reactions
91 Replies
4K Views
Wakuu; kwa kujua au kutokujua, kwa makusudi au kwa bahati mbaya kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kuhusu hasa ni akina nani waliodai Uhuru wa Taifa letu Tanganyika. Mh. Rais Kikwete leo kaweka...
8 Reactions
613 Replies
69K Views
Wakuu, Muda si mrefu tutaweza kwenda Live kutokea Monduli ambapo Mhe. Lowassa (Waziri Mkuu aliyejiuzulu) atakapoongea na vyombo vya habari. Tumefanikiwa kupenyeza mtu hivyo tutaweza kuwaletea...
43 Reactions
607 Replies
67K Views
Back
Top Bottom