Mwaka 2015 inadaiwa Kikwete alisaini mkataba kama wa DP World usio na exit clause na Symbioni ya Marekani, tumeishia kuwalipa Bilioni 350 ya fidia

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,906
Naomba tukumbushane, mwaka 2015 Kikwete alisaini mkataba wa kichief mangungo kama huu wa DP World na kampuni Symbioni ya Marekani, mkataba ambao haukua na exit clause, mkataba uliowapa Symbion haki zote na upendeleo wote walioutaka.

Mwaka 2016 Magufuli alipoona mkataba kati ya serikali na Symbion ni wa ki chief magungo wa Msovero, aliewapa Wajerumani haki zote juu ya Morogoro, Magufuli akauvunja, mkataba haukua na exit clause, mkataba ulitaka Symbion ndio waamue wanachotaka na wanakitaka lini, serikali haikua na haki zozote.

Mikataba ya kichief Magungo ya kuwapa wawekezaji haki zote na upendeleo wote wanaohitaji husainiwa kwa kigezo cha uwekezaji na ukipinga inaonekana unapinga uwekezaji.

Mikataba ya aina hii hua ni kiashiria cha wazi kabisa kwamba kuna mlungula mkubwa sana umetembezwa na wawekezaji, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kutia saini mkataba wenye terms and conditions za namna ile ya DP World ana Symbion.

Watanzania tujiandae kuja kulipa mabilioni ya shilingi kwa DP World miaka michache ijayo.

 
Naomba tukumbushane, mwaka 2015 Kikwete alisaini mkataba wa kichief mangungo kama huu wa DP World na kampuni Symbioni ya Marekani, mkataba ambao haukua na exit clause, mkataba uliowapa Symbion haki zote na upendeleo wote walioutaka.

Mwaka 2016 Magufuli alipoona mkataba kati ya serikali na Symbion ni wa ki chief magungo wa Msovero, aliewapa Wajerumani haki zote juu ya Morogoro, Magufuli akauvunja, mkataba haukua na exit clause, mkataba ulitaka Symbion ndio waamue wanachotaka na wanakitaka lini, serikali haikua na haki zozote.

Mikataba ya ki chief magungo ya kuwapa wawekezaji haki zote na upendeleo wote wanaohitaji husainiwa kwa kigezo cha uwekezaji na ukipinga inaonekana unapinga uwekezaji.

Mikataba ya aina hii hua ni kiashiria cha wazi kabisa kwamba kuna mlungula mkubwa sana umetembezwa na wawekezaji, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kutia saini mkataba wenye terms and conditions za namna ile ya DP World ana Symbion.

Watanzania tujiandae kuja kulipa mabilioni ya shilingi kwa DP World miaka michache ijayo.

Mamb kama uvccm, wafia CCM na machawa hawawez yaona! Wao ni kushangilia tu miswada mbalimbali kwa kupiga makofi meza!!
 
Naomba tukumbushane, mwaka 2015 Kikwete alisaini mkataba wa kichief mangungo kama huu wa DP World na kampuni Symbioni ya Marekani, mkataba ambao haukua na exit clause, mkataba uliowapa Symbion haki zote na upendeleo wote walioutaka.

Mwaka 2016 Magufuli alipoona mkataba kati ya serikali na Symbion ni wa ki chief magungo wa Msovero, aliewapa Wajerumani haki zote juu ya Morogoro, Magufuli akauvunja, mkataba haukua na exit clause, mkataba ulitaka Symbion ndio waamue wanachotaka na wanakitaka lini, serikali haikua na haki zozote.

Mikataba ya kichief Magungo ya kuwapa wawekezaji haki zote na upendeleo wote wanaohitaji husainiwa kwa kigezo cha uwekezaji na ukipinga inaonekana unapinga uwekezaji.

Mikataba ya aina hii hua ni kiashiria cha wazi kabisa kwamba kuna mlungula mkubwa sana umetembezwa na wawekezaji, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kutia saini mkataba wenye terms and conditions za namna ile ya DP World ana Symbion.

Watanzania tujiandae kuja kulipa mabilioni ya shilingi kwa DP World miaka michache ijayo.

Bora Symbion ulikuwa mkataba wa miaka 15 tu; huu ni wa milele, mpaka bahari itakapokauka!
 
Mnahaha. Sisi 2023 tunasema bandari ni yetu hatutaki kuuza kwa waarabu wenu.
Unaleta story kwa kahawa hapa eti inadaiwa.
 
Bora Symbion ulikuwa mkataba wa miaka 15 tu; huu ni wa milele, mpaka bahari itakapokauka!
Kwa hizi kelele DP World atapewa miaka 30 halafu hakuna exit clause.

Samia atahakikisha anatuachia msala wa maana watanganyika.
 
Mnahaha. Sisi 2023 tunasema bandari ni yetu hatutaki kuuza kwa waarabu wenu.
Unaleta story kwa kahawa hapa eti inadaiwa.
Samia alipopata urais tu cha kwanza alikimbilia uarabuni kwa wajomba zake watu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru kuwapa bandari yetu.

Orodha ya development partners wa Tanzania toka tupate uhuru Dubai haipo lakini ajabu Samia alikimbilia kuwapa tenda kisa ni wajomba zake.
 
Samia alipopata urais tu cha kwanza alikimbilia uarabuni kwa wajomba zake watu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru kuwapa bandari yetu.

Orodha ya development partners wa Tanzania toka tupate uhuru Dubai haipo lakini ajabu Samia alikimbilia kuwapa tenda kisa ni wajomba zake.
Nikwelj waarabu siyo washirika wetu wa maendeleo, na waarabu wakiishi sehemu uwa hawaachi maendeleo yoyote, ukienda Zanzibar uwezo kuona Hospital, Mashule na miundombinu aliyoiacha mwarabu, na Mwarabu hana taasisi zake Tanganyika ambazo zimetoa ajira kwa Wa Tanganyika au Wazanzibari zaidi ya kutulea Zawadi za Nyama ya mbuzi , Tende, kipindi cha sikuku ya Eid tu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nikwelj waarabu siyo washirika wetu wa maendeleo, na waarabu wakiishi sehemu uwa hawaachi maendeleo yoyote, ukienda Zanzibar uwezo kuona Hospital, Mashule na miundombinu aliyoiacha mwarabu, na Mwarabu hana taasisi zake Tanganyika ambazo zimetoa ajira kwa Wa Tanganyika au Wazanzibari zaidi ya kutulea Zawadi za Nyama ya mbuzi , Tende, kipindi cha sikuku ya Eid tu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app

Hii ni genuine sana, umenikumbusha sehemu nyingi ukipita unaambiwa hapa waliishi waarabu wakivuna pembe za ndovu na kuwinda wanyama ila hata zahanati hakuna, sana sana unaweza kuta msikiti na dini yetu ile…
 
Kweli jeuri humpumbaza mwenye hekima, Na rushwa huuharibu ufahamu.

Mhubiri 7:7
 
Back
Top Bottom