Wana jf
kwanza habari za jumapili?
Leo nimependezwa kuandika kuhusiana na hili la rais kutoka pande za muuangano yaani Zanzibar au Tanganyika. Kwa kadri siasa ilivyo hivi sasa hapa nchini rais kutokea Zanzibar haiji kutokea na Mwinyi pekee atabaki rais wa kihistoria kwa wazanzibari.sababu
1. Mpaka sasa wapiga kura waliowengi ni watanganyika ambao ni milioni 43
2. Ushindani wa Ccm na Chadema ndio utasababisha kila chama kuchukua tahadhari dhidi ya mgombea wa kusimamisha
3. CCM zama za kuweka mgombea yeyote na akashinda zimekwisha
4. Wanasiasa Wazanzibar hawajulikani katika siasa za Tanganyika.
5. Katiba hailazimishi kwamba mgombea kuna wakati atatoka zanzibar
Nb najua ni habarh mbaya kwenu lakini ni ukweli mchungu na muwe tayari kuufia
kwanza habari za jumapili?
Leo nimependezwa kuandika kuhusiana na hili la rais kutoka pande za muuangano yaani Zanzibar au Tanganyika. Kwa kadri siasa ilivyo hivi sasa hapa nchini rais kutokea Zanzibar haiji kutokea na Mwinyi pekee atabaki rais wa kihistoria kwa wazanzibari.sababu
1. Mpaka sasa wapiga kura waliowengi ni watanganyika ambao ni milioni 43
2. Ushindani wa Ccm na Chadema ndio utasababisha kila chama kuchukua tahadhari dhidi ya mgombea wa kusimamisha
3. CCM zama za kuweka mgombea yeyote na akashinda zimekwisha
4. Wanasiasa Wazanzibar hawajulikani katika siasa za Tanganyika.
5. Katiba hailazimishi kwamba mgombea kuna wakati atatoka zanzibar
Nb najua ni habarh mbaya kwenu lakini ni ukweli mchungu na muwe tayari kuufia