Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mara nyingi CCM hutegemea pesa za uchaguzi Toka kwa matajiri Ambao huzawadiwa rasilimali zetu kiholela. Wakati huu imekua ni zamu ya DPW ndio maana inatetewa kwa nguvu zote. Bibi tozo...
10 Reactions
9 Replies
902 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kutumia fursa za lugha ya Kiswahili ili kuongeza kipato na kukuza uchumi wa taifa. Waziri Mkuu...
1 Reactions
3 Replies
588 Views
Tuliwahi kuandika hapa JF kuwa hakuna uteuzi au utenguaji unaofanyika kwa bahati mbaya au nzuri, kila uteuzi na utenguaji wa rais hapa Tanzania ni mpango kamili na mkakati mahususi wa muda mfupi...
12 Reactions
68 Replies
10K Views
Inafahamika kuwa bandari zetu zinatoa huduma hafifu sana kwa wateja wake wanaozitegemea kwa huduma. Inafahamika kuwa bandari zetu hazitoi mapato yanayokusudiwa kwa taifa kwasababu mbalimbali...
12 Reactions
121 Replies
7K Views
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa...
10 Reactions
57 Replies
4K Views
Inadaiwa kuwa Wazee wa kinyakyusa mkoani Mbeya watakutana katika kikao cha dharura kule Busokelo baada ya kusikia kijana wao anatishwa kuuawa. Wakili Boniface Mwabukusi a.k.a Mayweather ni...
13 Reactions
45 Replies
5K Views
Naam, ni DP World Luanda Port. Bandari ya Luanda ni moja ya bandari kubwa nchini Angola kati ya bandari zake zikiwemo za Lobito na Benguela ambazo zipo pembezoni mwa bahari ya Atlantic. Lakini...
9 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa mwendo huu tunaokwenda nao ambapo kila jambo linaanza kubuma tukianzia mikataba, teuzi zisizo zingatia weledi na maamuzi ya hovyo hovyo tokea juu kuja chini ni wazi kauli ya ANAUPIGA MWINGI...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari JF, kuna picha hii ilianza kusambaa siku chache zilizopita baada ya Prof Kitila kuukwaa uwaziri nkajiuliza nini dhumuni, nikagundua moja ilikuwa ni kuonyesha umma kitila alihusika na DPW la...
5 Reactions
60 Replies
4K Views
Wataalamu wa diplomasia na uchumi mtusaidie. Mm nimezeeka sijawahi kufika Zanzbar na wala sijutii kutokufika kwangu. Na mpaka sasa sijui faida yoyote ya kuwa na Zanzbar. Tusipokuwa na Zanzbar...
16 Reactions
369 Replies
24K Views
Ndugu zangu wana jamvi mi kuna jambo linanitatiza kuhusu huyu mnajibu wa kimataifa, kipindi cha mkapa aliwahi kusema kua wananchi wanampenda sana mkapa na watamuomba aendelee kuongoza ingawa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi Rashda Zunde, naamini kwamba hatua za serikali za kutafuta kampuni yenye uwezo na uzoefu mkubwa katika uendeshaji wa bandari duniani kwa teknolojia za kisasa kuiwezesha Bandari ya Dar es...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF wenzangu Kwanza kabla ya yote ningependa niwe mkweli kwamba katika nchi yetu Tanzania toka tupate uhuru hadi leo, moyo wangu unaamini au kumchukulia hayati Magufuli kama...
11 Reactions
69 Replies
4K Views
Neno la hekima kwa wanajamii forums, wanasiasa, viongozi, watendaji wa serikali na watanzania wenzangu. "Hekima ni pamoja na kujua la kuzungumza kwa wakati ufaao na kwa kiasi kifaacho."
2 Reactions
1 Replies
507 Views
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo. Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Ukiona kwenye mjadala wowote mkubwa wametangulizwa hao Wateule niliowaja ukimuongezea Steve Nyerere na Yericko Nyerere basi kama Mtima wako ni mwepesi Usijiingize kabisa unaweza kuuliwa na Matusi...
0 Reactions
6 Replies
795 Views
Kila mtu anajua kuwa wanachokitaka wapinzani sio katiba mpya bora sana ya kuongoza nchi, ila wanataka katiba mpya ambayo italeta Tume ya uchaguzi tofauti na ya sasa wakiamini Tume nyingine ya...
9 Reactions
73 Replies
5K Views
BARUA YA WAZI KWA MH. RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA Mheshimiwa Rais; Naomba kwanza nikupongeze na nikupe pole kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya ya kuliongoza taifa letu kwa moyo wa wa...
1 Reactions
1 Replies
896 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Malawi Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera kwenye picha ya kumbukumbu na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya...
0 Reactions
3 Replies
949 Views
Back
Top Bottom