Wanawake tumuunge mkono Rais Samia kuvutia uwekezaji

Rashda Zunde

Senior Member
May 28, 2022
199
231
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia uwekezaji ni jambo zuri, kwa sababu kinasaidia kuelta maendeleo mazuri na kuchochea ukuaji uchumi na kukuza pato la taifa.

Pongezi kubwa kwa Rais Samia, ambaye anaendelea kuvutia uwekezaji katika nchi yetu, kwani ni hatua kubwa sana.

Ushauri wangu kwa wanawake, tunapaswa kuwa mstari wa kwanza kumuunga mokono Rais Samia Suluhu katika hatua anazozifanya za uwekezaji.

Ni dhahiri dhamira ya Rais Samia Suluhu kwa wananchi ni nzuri, hivyo endapo ushirikiano ukiendelea kutokea utasaidia kwa kiwango kikubwa kumpa nguvu ya kuwalatea maendeleo Watanzania kupitia miradi ya kimkakati.
 
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu, ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia uwekezaji ni jambo zuri, kwa sababu kinasaidia kuelta maendeleo mazuri na kuchochea ukuaji uchumi na kukuza pato la taifa.

Pongezi kubwa kwa Rais Samia, ambaye anaendelea kuvutia uwekezaji katika nchi yetu, kwani ni hatua kubwa sana.

Ushauri wangu kwa wanawake, tunapaswa kuwa mstari wa kwanza kumuunga mokono Rais Samia Suluhu katika hatua anazozifanya za uwekezaji.

Ni dhahiri dhamira ya Rais Samia Suluhu kwa wananchi ni nzuri, hivyo endapo ushirikiano ukiendelea kutokea utasaidia kwa kiwango kikubwa kumpa nguvu ya kuwalatea maendeleo Watanzania kupitia miradi ya kimkakati.
Ha ha haaaa Rashda Zunde, anzisha taasisi ufanye kampeni mpaka vijijini maana Sa100 atakupa mtaji ili uwafikie wengi.
 
Kwanini wanawake pekee? Wacha ubaguzi, wanawake sio wajinga kuvutia uwekezaji usio na maslahi kwa taifa.
 
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu, ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia uwekezaji ni jambo zuri, kwa sababu kinasaidia kuelta maendeleo mazuri na kuchochea ukuaji uchumi na kukuza pato la taifa.

Pongezi kubwa kwa Rais Samia, ambaye anaendelea kuvutia uwekezaji katika nchi yetu, kwani ni hatua kubwa sana.

Ushauri wangu kwa wanawake, tunapaswa kuwa mstari wa kwanza kumuunga mokono Rais Samia Suluhu katika hatua anazozifanya za uwekezaji.

Ni dhahiri dhamira ya Rais Samia Suluhu kwa wananchi ni nzuri, hivyo endapo ushirikiano ukiendelea kutokea utasaidia kwa kiwango kikubwa kumpa nguvu ya kuwalatea maendeleo Watanzania kupitia miradi ya kimkakati
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu, ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia uwekezaji ni jambo zuri, kwa sababu kinasaidia kuelta maendeleo mazuri na kuchochea ukuaji uchumi na kukuza pato la taifa.

Pongezi kubwa kwa Rais Samia, ambaye anaendelea kuvutia uwekezaji katika nchi yetu, kwani ni hatua kubwa sana.

Ushauri wangu kwa wanawake, tunapaswa kuwa mstari wa kwanza kumuunga mokono Rais Samia Suluhu katika hatua anazozifanya za uwekezaji.

Ni dhahiri dhamira ya Rais Samia Suluhu kwa wananchi ni nzuri, hivyo endapo ushirikiano ukiendelea kutokea utasaidia kwa kiwango kikubwa kumpa nguvu ya kuwalatea maendeleo Watanzania kupitia miradi ya kimkakati.
"HAITENGEMAI ile jamii ambayo Jambo lake la juu kabisa la uongozi wamemwachia mwanamke, haitengemai kamwe"
 
Tumuunge mkono kwa sababu yeye ni mwanamke?!, yaani sifa yake kuu ni yeye ni mwanamke!?. Hata hawala yako ana kazi.
 
Sasa tutajua wanawake na wanaume nani ni nani?

Subirini dawa yenu inachemka
 
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza kupitia sekta mbalimblai zikiwemo utalii, afya, elimu, ili kuchochea ukuaji wa uchumi.

Kitendo cha Rais Samia Suluhu kuvutia uwekezaji ni jambo zuri, kwa sababu kinasaidia kuelta maendeleo mazuri na kuchochea ukuaji uchumi na kukuza pato la taifa.

Pongezi kubwa kwa Rais Samia, ambaye anaendelea kuvutia uwekezaji katika nchi yetu, kwani ni hatua kubwa sana.

Ushauri wangu kwa wanawake, tunapaswa kuwa mstari wa kwanza kumuunga mokono Rais Samia Suluhu katika hatua anazozifanya za uwekezaji.

Ni dhahiri dhamira ya Rais Samia Suluhu kwa wananchi ni nzuri, hivyo endapo ushirikiano ukiendelea kutokea utasaidia kwa kiwango kikubwa kumpa nguvu ya kuwalatea maendeleo Watanzania kupitia miradi ya kimkakati.
Mimi nakuunga mkono wewe!! Wewe na Wanawake wenzako tunakuunga mkono
 
Unalo
JamiiForums915735144.jpg
 
Back
Top Bottom