Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Kwanza kabisa tumsikilize Tundu lissu kuhusu Mali za Tanzania ..
Pili, binafsi sina shaka na alichokiongea Tundu lissu kuhusu JPM .
Mwisho, kama wewe ungekuwa ndio Hayati JPM umeingia madarakani na kukuta kuna Tenda au Mikataba ya hovyo inaumiza taifa kama anavyoiita Tundu Lissu ,ungefanyaje ?
Na ukishapata jibu ,jiuliza tuendelee kumlaumu au tumpongeze kwa ujasiri wake japo tumepata hasara .
Pili, binafsi sina shaka na alichokiongea Tundu lissu kuhusu JPM .
Mwisho, kama wewe ungekuwa ndio Hayati JPM umeingia madarakani na kukuta kuna Tenda au Mikataba ya hovyo inaumiza taifa kama anavyoiita Tundu Lissu ,ungefanyaje ?
Na ukishapata jibu ,jiuliza tuendelee kumlaumu au tumpongeze kwa ujasiri wake japo tumepata hasara .