Maadui wa Tanzania wafikia watano

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Habari za leo wana JF!

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli wa Nchi hii walikuwa watatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;
  • POLISI
  • UJINGA
  • MARADHI
  • UMASIKINI
  • CCM
Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni tabia yao kushirikiana na CCM kuiba kura.

Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake niliowakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wangechukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
Waziri mkuu na waziri wa uchukuzi umewasahau maana wanatudanganya sana
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
Aisee kama kweli vile.
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
CHAWA kwa sasa ndiye adui mkubwa hata mkuu wa mkoa wa Temeke analijua hilo.
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
adui namba 1 ni DP DP DP yaan drip la maji
 
🤣🤣🤣umetaja polisi kwenye listi yako,wa kwanza kabisa,Sasa nikupe zoezi Kama Kuna polisi nchi hii ana division one ya point 7 Hadi 12,ajitokeze hadharan,tumpe tuzo🙏
Hapo mtihani.....! Ila kuna viongozi nawajua walipata div one lakini wakiwa huku Polisi hawatumii ile akili yao kwa manufaa ya Nchi.
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
1. Polisi
2.. ccm
3. Wazanzibar (wauza Tanganyika)
4. Ujinga
5. Maradhi
6. Umaskini
 
Post of the day
Kuna wakati huwa nasema Nchi hii hii kuna jihujumu wenywe. Hebu fikiria juzi tu Rais ame waondoa ma General wawili jeshini, wengine tulijiuliza kulikoni? Inawezekana kabisa kuna mahali aliambiwa hawa jamaa huwa hawapendi ujinga.
Kama haitoshi akamuongezea mkataba Jaji mkuu Wa miaka miwili. Huyu ni Yes man, hata akiambiwa nini atakubali tu. Kuna wakati aliwahi kuwaambia mahakimu na majaji kuwa WAHUKUMU KESI HUKU WAKIANGALIA MASLAHI MAPANA YA SERIKALI.......!! Badala ya kusema wafuate misingi ya haki
 
Habari za leo wana JF !

Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli Wa Nchi hii walikuwa Wa tatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya kupungua. Kutoka maadui watatu hadi maadui watano.

Bahati mbaya zaidi wajinga wa sasa ni wale walioenda shule lakini hawajaelimika na hawatumii elimu yao kwa akili.

Maadui wa sasa kufuatana na ukubwa wao ni kama ifuatavyo;

.POLISI
.UJINGA
.MARADHI
.UMASIKINI
.CCM

Polisi ni kikwazo kikubwa kwa Nchi hii kufika kule tunako taka kwenda. Ni polisi ndio wanao tukwamisha, siyo tu kwa tabia yao ya kupenda rushwa na kubambikizia watu kesi, kilicho kibaya zaidi ni TABIA YAO KUSHIRIKIANA NA CCM KUIBA KURA.
Jioni moja mwaka 2020, nilipewa lift na Askari polisi mmoja mida ya jioni siku moja baada ya uchaguzi, akawa anazungumza na wenzake nilio wakuta mle ndani kuwa kazi imeisha, bado kidogo kule Zanzibar, lakini muda siyo mrefu polisi wataleta utulivu. Lakini mmoja wao akasema ila kazi ilikuwa ngumu sana, bila kushitukia mapema upinzani wange chukua majimbo mengi sana. Wakatolea mfano wa jimbo ambalo Mimi nipo, wakasema kati ya kata 17 jamaa walishinda kata 12, wakimaanisha CHADEMA, lakini kwa kazi walioifanya polisi kata zote zimeenda CCM.

Hao maadui wengine bado wapo, lakini kwenye kundi kaingia CCM. Huyu ni adui mbaya sana kwasababu siyo tu anatutia hasara kwenye mikataba mibovu lakini pia anauza Nchi yetu kidogo kidogo na mwisho wa siku tutajikuta wote tupo utumwani.

Ukifikiri sana huoni Sababu ya kuwa na Jeshi au Usalama wa Taifa. Jiulize hawaoni kuwa Wanasiasa wanatupeleka kubaya?
Adui mkubwa ni unafiki wa Watanzania, wanaendekeza matumbo yao kwa kuhongwa na kuacha nchi ifanywe kama mali ya mtu.
 
Back
Top Bottom