Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Mbunge Wa Jimbo la Ndanda Cecil David Mwambe ameendelea na ziara Jimboni Ndanda.
Leo Jumanne ya tarehe 18 Julai, 2023 amefanya Mikutano Vijiji vya Mihima na Nambawala kwenye Kata ya Mpanyani kwa kusikiliza Kero na Kuongea na Wananchi.
Kwenye Ziara hiyo amezindua mradi Wa maji Wa Kijiji Cha Nambawala.
Leo Jumanne ya tarehe 18 Julai, 2023 amefanya Mikutano Vijiji vya Mihima na Nambawala kwenye Kata ya Mpanyani kwa kusikiliza Kero na Kuongea na Wananchi.
Kwenye Ziara hiyo amezindua mradi Wa maji Wa Kijiji Cha Nambawala.