Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
MwanaCCM akosoa mtumizi ya influencers kwenye mambo serious kama bandari.
Amekosoa matumizi.ya watu kama kina Maulid Kitenge na Steve Nyerere ambao hawana uwezo wa kujenga hoja.
Safi sana huyu ni nani?
Huyu ndio kiongozi sio chawa na anatumia ubongo wake vizuriView attachment 2692212
MwanaCCM akosoa mtumizi ya influencers kwenye mambo serious kama bandari.
Amekosoa matumizi.ya watu kama kina Maulid Kitenge na Steve Nyerere ambao hawana uwezo wa kujenga hoja.
Wameanza kupata akiliHuyu ndio kiongozi sio chawa na anatumia ubongo wake vizuri