Mapendekezo ya tume ya Haki jinai yasisimamiwe na hawa wazee; umri umeenda wanahitaji kupumzika. Kazi hii wapewe vijana ni ngumu sana.

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuona umuhimu wa kuunda sub committee za kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai

Lakini nadhani kuna jambo ambalo Mhe. Rais alipaswa kuliona; kamati ina wazee wengi kuliko vijana: waliochakata na kuandaa taarifa naamini ni sekretarieti na ndiyo maana Mwenyekiti amewapongeza kwa kukaa zaidi ya siku tatu bila kulala.

Si afya kuwapa kazi hawa wazee akina Mhe. Jaji , Mzee Sefue, IGP na wengine kuumiza kichwa kuhusu utekelezaji wa ripoti hii. Napendekeza aboreshe kwa kufanya yafuatayo
1. Hawa wazee wabaki kupokea taarifa ya utekelezaji kila baada ya kipindi fulani

2. Ateue vijana wataalam kutoka kila sekta watakaohusika na kuichakata na kuja na actionable startegy pamoja na kuwekwa mpango wa utekelezaji.

Kufanya hivi kutawaondolewa pia hawa wazee lawama za kuonekana wameandika taarifa wasiyoweza kuitekeleza. Ukimwona Mhe. Jaji wakati anasoma unaona kazi uwezo wake wa akili upo sawa ila mwili umefika muda wa kukaa na kupumzika muda mrefu kuliko kufikiria tena changamoto ambazo hata yeye alipokuwa mkuu wa taasisi alishindwa kuzitatua.

Mzee Mwema na Mangu ukiwaambia leo wakasimamie mabadiliko ndani ya polisi lazima watakwama tu kwa sababu baadhi ya culture waliziweka wao. Leo wanaanzaje kumfundisha mwenzao namna ya kuongoza jeshi? Wataonekana kama wanamk9mand IGP aliyepo.

We need separate team ikiwa chini ya KM kiongozi ndiyo iunde sub committee Kwa lengo la kuleta ufanisi. Wazee wabaki kama washauri; kwanza wamejitahidi sana kwa umri wao kusimamia kazi hii
 
Napenda sana Rwanda watendaji na washauri wemgi ni vijana below 45 yrs wanatoa mapendelezo ya ujasiri ajabu na ndo maana nchi inaenda kwa kasi ajabu! Sasa hapa Tz mtu mzee kabisa at 70s or 80s anawezaje kufanya critical analysis na kuja na policy options na actionable recondendations? Mtu akistaafu inatosha apumzike tu atoe ushauri na siyo lazima apewe majukumu makubwa hivi
 
Napenda sana Rwanda watendaji na washauri wemgi ni vijana below 45 yrs wanatoa mapendelezo ya ujasiri ajabu na ndo maana nchi inaenda kwa kasi ajabu! Sasa hapa Tz mtu mzee kabisa at 70s or 80s anawezaje kufanya critical analysis na kuja na policy options actionable recondendations? Mtu akistaafu inatosha apumzike tu atoe ushauri na siyo lazima apewe majukumu makubwa hivi
Tanzania vijana wapo? Hawa hawa ma-ccm? Tanzania tu a uhaba wa vijana wacha tu wazee wafanye!
 
Napenda sana Rwanda watendaji na washauri wemgi ni vijana below 45 yrs wanatoa mapendelezo ya ujasiri ajabu na ndo maana nchi inaenda kwa kasi ajabu! Sasa hapa Tz mtu mzee kabisa at 70s or 80s anawezaje kufanya critical analysis na kuja na policy options na actionable recondendations? Mtu akistaafu inatosha apumzike tu atoe ushauri na siyo lazima apewe majukumu makubwa hivi
Hicho ki-Rwanda mnapenda sana kuki overarate utadhani kinchi cha maaana. Yaani ki- nchi kinachotawaliwa na mtu mmoja kwa fikra zake, chenye watu kama wa kanda ya ziwa ndiyo unataka tuige yanayotokea kule. Ridiculous
 
Napenda sana Rwanda watendaji na washauri wemgi ni vijana below 45 yrs wanatoa mapendelezo ya ujasiri ajabu na ndo maana nchi inaenda kwa kasi ajabu! Sasa hapa Tz mtu mzee kabisa at 70s or 80s anawezaje kufanya critical analysis na kuja na policy options na actionable recondendations? Mtu akistaafu inatosha apumzike tu atoe ushauri na siyo lazima apewe majukumu makubwa hivi
Tanzania vijana wengi waliopewa nafasi, wametuangusha sana.
Makonda
Jerry Muro
Sabaya
Mwigulu
Nape...mzee wa vijembe
Na wengine wengi.

Angalau yule wa Igunga bwa kilimo
 
Hicho ki-Rwanda mnapenda sana kuki overarate utadhani kinchi cha maaana. Yaani ki- nchi kinachotawaliwa na mtu mmoja kwa fikra zake, chenye watu kama wa kanda ya ziwa ndiyo unataka tuige yanayotokea kule. Ridiculous
Inaonekana unaamini kwenye wingi na sio ubora. Kama wingi au ukubwa ingekuwa ni tija, tungekuwa matajiri kuliko nchi za Scandinavia.
 
Tanzania vijana wengi waliopewa nafasi, wametuangusha sana.
Makonda
Jerry Muro
Sabaya
Mwigulu
Nape...mzee wa vijembe
Na wengine wengi.

Angalau yule wa Igunga bwa kilimo
Vijana wote hawa hawakupata madaraka kwa uwezo, bali kwa kubebwa kama matokeo ya kujipendekeza, au nafasi za wazazi wao. Usitegemee matokeo sahihi kwa watu wanaopatikana nje ya sababu za uwezo kwa maana ya uwezo.
 
Vijana wote hawa hawakupata madaraka kwa uwezo, bali kwa kubebwa kama matokeo ya kujipendekeza, au nafasi za wazazi wao. Usitegemee matokeo sahihi kwa watu wanaopatikana nje ya sababu za uwezo kwa maana ya uwezo.
Umejibu vyema...kuwa kamwe vijana wenye uwezo hawawezi kupenya kwenye nafasi nyeti isipokuwa manungayembe yanayobebwa yakawasujudu waliowainua.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
Unaweza kumfanya mkuu wa ukoo wenu milele auzee mashamba yenu yote kwa Waarabu
 
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuona umuhimu wa kuunda sub committee za kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai

Lakini nadhani kuna jambo ambalo Mhe. Rais alipaswa kuliona; kamati ina wazee wengi kuliko vijana: waliochakata na kuandaa taarifa naamini ni sekretarieti na ndiyo maana Mwenyekiti amewapongeza kwa kukaa zaidi ya siku tatu bila kulala.

Si afya kuwapa kazi hawa wazee akina Mhe. Jaji , Mzee Sefue, IGP na wengine kuumiza kichwa kuhusu utekelezaji wa ripoti hii. Napendekeza aboreshe kwa kufanya yafuatayo
1. Hawa wazee wabaki kupokea taarifa ya utekelezaji kila baada ya kipindi fulani

2. Ateue vijana wataalam kutoka kila sekta watakaohusika na kuichakata na kuja na actionable startegy pamoja na kuwekwa mpango wa utekelezaji.

Kufanya hivi kutawaondolewa pia hawa wazee lawama za kuonekana wameandika taarifa wasiyoweza kuitekeleza. Ukimwona Mhe. Jaji wakati anasoma unaona kazi uwezo wake wa akili upo sawa ila mwili umefika muda wa kukaa na kupumzika muda mrefu kuliko kufikiria tena changamoto ambazo hata yeye alipokuwa mkuu wa taasisi alishindwa kuzitatua.

Mzee Mwema na Mangu ukiwaambia leo wakasimamie mabadiliko ndani ya polisi lazima watakwama tu kwa sababu baadhi ya culture waliziweka wao. Leo wanaanzaje kumfundisha mwenzao namna ya kuongoza jeshi? Wataonekana kama wanamk9mand IGP aliyepo.

We need separate team ikiwa chini ya KM kiongozi ndiyo iunde sub committee Kwa lengo la kuleta ufanisi. Wazee wabaki kama washauri; kwanza wamejitahidi sana kwa umri wao kusimamia kazi hii
Vijana wa Tz ndio kina mwijaku ,Steve Nyerere,kitenge unataraji nini
 
Umejibu vyema...kuwa kamwe vijana wenye uwezo hawawezi kupenya kwenye nafasi nyeti isipokuwa manungayembe yanayobebwa yakawasujudu waliowainua.
Kabisa, na lengo hasa la kuwabeba wenye uwezo mdogo, ni ili waendelee kuwacontrol, maana wanajua wakiingia wenye uwezo halisi hawawezi kuendeleza biashara ya kulindana. Na wakishapata madaraka, vyombo vya dola ambavyo nao viongozi wake hupatikana kwa mtazamo huo huo wa kubebana, huhakikisha wanawalinda sana.
 
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuona umuhimu wa kuunda sub committee za kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai

Lakini nadhani kuna jambo ambalo Mhe. Rais alipaswa kuliona; kamati ina wazee wengi kuliko vijana: waliochakata na kuandaa taarifa naamini ni sekretarieti na ndiyo maana Mwenyekiti amewapongeza kwa kukaa zaidi ya siku tatu bila kulala.

Si afya kuwapa kazi hawa wazee akina Mhe. Jaji , Mzee Sefue, IGP na wengine kuumiza kichwa kuhusu utekelezaji wa ripoti hii. Napendekeza aboreshe kwa kufanya yafuatayo
1. Hawa wazee wabaki kupokea taarifa ya utekelezaji kila baada ya kipindi fulani

2. Ateue vijana wataalam kutoka kila sekta watakaohusika na kuichakata na kuja na actionable startegy pamoja na kuwekwa mpango wa utekelezaji.

Kufanya hivi kutawaondolewa pia hawa wazee lawama za kuonekana wameandika taarifa wasiyoweza kuitekeleza. Ukimwona Mhe. Jaji wakati anasoma unaona kazi uwezo wake wa akili upo sawa ila mwili umefika muda wa kukaa na kupumzika muda mrefu kuliko kufikiria tena changamoto ambazo hata yeye alipokuwa mkuu wa taasisi alishindwa kuzitatua.

Mzee Mwema na Mangu ukiwaambia leo wakasimamie mabadiliko ndani ya polisi lazima watakwama tu kwa sababu baadhi ya culture waliziweka wao. Leo wanaanzaje kumfundisha mwenzao namna ya kuongoza jeshi? Wataonekana kama wanamk9mand IGP aliyepo.

We need separate team ikiwa chini ya KM kiongozi ndiyo iunde sub committee Kwa lengo la kuleta ufanisi. Wazee wabaki kama washauri; kwanza wamejitahidi sana kwa umri wao kusimamia kazi hii

Hao unaoita wazee wamehudumu nagasi nyeti nchi hii. Hawa si wazee wa vijiwe vya kahawa
 
Tanzania vijana wengi waliopewa nafasi, wametuangusha sana.
Makonda
Jerry Muro
Sabaya
Mwigulu
Nape...mzee wa vijembe
Na wengine wengi.

Angalau yule wa Igunga bwa kilimo
Hata wazee wametuangusha pia kwenye kila sekta kupo hovyo

Vijana waliokua wakati wa meremeta, net group, kiwira, buzwagi, escrow, epa Richmond ndio wazee wa leo
Usitegemee jipya kutoka kwao
 
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuona umuhimu wa kuunda sub committee za kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai

Lakini nadhani kuna jambo ambalo Mhe. Rais alipaswa kuliona; kamati ina wazee wengi kuliko vijana: waliochakata na kuandaa taarifa naamini ni sekretarieti na ndiyo maana Mwenyekiti amewapongeza kwa kukaa zaidi ya siku tatu bila kulala.

Si afya kuwapa kazi hawa wazee akina Mhe. Jaji , Mzee Sefue, IGP na wengine kuumiza kichwa kuhusu utekelezaji wa ripoti hii. Napendekeza aboreshe kwa kufanya yafuatayo
1. Hawa wazee wabaki kupokea taarifa ya utekelezaji kila baada ya kipindi fulani

2. Ateue vijana wataalam kutoka kila sekta watakaohusika na kuichakata na kuja na actionable startegy pamoja na kuwekwa mpango wa utekelezaji.

Kufanya hivi kutawaondolewa pia hawa wazee lawama za kuonekana wameandika taarifa wasiyoweza kuitekeleza. Ukimwona Mhe. Jaji wakati anasoma unaona kazi uwezo wake wa akili upo sawa ila mwili umefika muda wa kukaa na kupumzika muda mrefu kuliko kufikiria tena changamoto ambazo hata yeye alipokuwa mkuu wa taasisi alishindwa kuzitatua.

Mzee Mwema na Mangu ukiwaambia leo wakasimamie mabadiliko ndani ya polisi lazima watakwama tu kwa sababu baadhi ya culture waliziweka wao. Leo wanaanzaje kumfundisha mwenzao namna ya kuongoza jeshi? Wataonekana kama wanamk9mand IGP aliyepo.

We need separate team ikiwa chini ya KM kiongozi ndiyo iunde sub committee Kwa lengo la kuleta ufanisi. Wazee wabaki kama washauri; kwanza wamejitahidi sana kwa umri wao kusimamia kazi hii

Hapo naona umri sio tatizo lakini tatizo ni maamuzi yanayo tekelezeka kwa manufaa ya baadae,wazee wengi wanaamini kwakuwa miaka 50 wanaweza wasifaidike na mipango hiyo basi wanafanya maamuzi ambayo yatawapa faida ya leo tu.
 
Wazo ni zuri lakini hili Jambo linahitaji busara Sana na wazee wameona na kupitia mengi kwahiyo wapo katika nafasi nzuri ya kuona penye mapungufu na kushauri.


Cha msingi ni kufanyia Kazi ushauri na mapendekezo kama ni mazuri tusiangalie yametolewa na nani au wakina nani.
 
Wazo ni zuri lakini hili Jambo linahitaji busara Sana na wazee wameona na kupitia mengi kwahiyo wapo katika nafasi nzuri ya kuona penye mapungufu na kushauri.


Cha msingi ni kufanyia Kazi ushauri na mapendekezo kama ni mazuri tusiangalie yametolewa na nani au wakina nani.

Baadhi ni mapendekezo mazuri lakini mengi zaidi yanahitaji umakini maana kuna mitego mingi ndani ya hayo mapendekezo.
Mama akipokea bila kuchuja kuna siku upande fulani utapita humo humo kukosoa.
 
Back
Top Bottom