johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Kikweta aliwaalika CHADEMA Ikulu wakanywa juice na samosa na lilipofika bunge la Katiba wakamtosa.
Maalim Seif alikubali kumtosa Prof. Lipumba ili kumsapoti Mzee Lowassa wa CHADEMA lakini Maalim Seif alivyoporwa ushindi na matokeo kufutwa, CHADEMA walikaa kimya kabisa.
Julius Mtatiro alikuwa mgombea Ubunge wa UKAWA kule Segerea, lakini dakika za mwisho CHADEMA wakachomeka mgombea mwingine ambaye alikuwa ameshateuliwa kusubiria Ubunge wa Viti Maalumu Wanawake.
Rais Samia aliwaalika CHADEMA kipekee kabisa kwenye Maridhiano wakati vyama vingine vyote vikiwa kwenye Kikosi Kazi cha Prof. Mkandala sasa ngoja tuone kwa sababu Maridhiano yanaendelea.
Urafiki na CHADEMA ni pasua kichwa kwa kweli!
Maalim Seif alikubali kumtosa Prof. Lipumba ili kumsapoti Mzee Lowassa wa CHADEMA lakini Maalim Seif alivyoporwa ushindi na matokeo kufutwa, CHADEMA walikaa kimya kabisa.
Julius Mtatiro alikuwa mgombea Ubunge wa UKAWA kule Segerea, lakini dakika za mwisho CHADEMA wakachomeka mgombea mwingine ambaye alikuwa ameshateuliwa kusubiria Ubunge wa Viti Maalumu Wanawake.
Rais Samia aliwaalika CHADEMA kipekee kabisa kwenye Maridhiano wakati vyama vingine vyote vikiwa kwenye Kikosi Kazi cha Prof. Mkandala sasa ngoja tuone kwa sababu Maridhiano yanaendelea.
Urafiki na CHADEMA ni pasua kichwa kwa kweli!