Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Wanasiasa wa Tanzania wana roho ngumu sana. Wapo tayari kulinda madaraka lakini siyo kulinda ndugu zao.
Mimi sikujua kama Nape ni mjomba wa Tundu Lisu; kama Nape na Lisu ni ndugu basi siasa imefika pabaya. Kwamba mjomba wako anapigwa risasi unashangilia? Kwamba Mama Samia aliweza kuwa na utu kuliko hata wajomba wa Lisu?
Tunao wanasiasa wanaishi kiadui sana kwa sababu tu ya tofauti ya vyama au kukosa uhuru wa kujiamulia mambo
Mimi sikujua kama Nape ni mjomba wa Tundu Lisu; kama Nape na Lisu ni ndugu basi siasa imefika pabaya. Kwamba mjomba wako anapigwa risasi unashangilia? Kwamba Mama Samia aliweza kuwa na utu kuliko hata wajomba wa Lisu?
Tunao wanasiasa wanaishi kiadui sana kwa sababu tu ya tofauti ya vyama au kukosa uhuru wa kujiamulia mambo