Wanabodi,
Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel...
Ukosefu wa dola sasa unaathiri biashara nyingi zinazotegemea kuagiza vipuri na malighafi zinazohitajika kuagizwa nje.
Kwa miaka mingi viongozi wa serikali wamekuwa wakishinda kila kiongozi...
Wanabodi,
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kuwa japo amerejea nchini akiwa fit na yuko tayari kwa mapambano yoyote, namshauri asitumbukize mguu wake kwenye kampeni za...
Wanabodi,
Huu ni ushauri wa bure kwa Mhe. Edward Lowassa, kwa opinion yangu as of now, it's just a matter of time kabla hajaunga mkono juhudi, tunamuomba sana, kabla ya yote, akanushe kwanza Tamko...
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika...
Nimesikiliza kamati ikitoa mapendekezo kwa maaana ya maazimio ya bunge hawa mawaziri hawamsaidii Rais Samia, changamoto ni nyingi sana ndani ya wizara zao kuliko successions.
Wapigwe chini tupate...
12 February 2024
TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM
Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum...
Mimi Joseph Mungai sijawahi kuyasema maneno hayo ambayo yanapotosha ukweli. Mimi nilikuwa Waziri wa Elimu kwa miaka mitano (5) 2000-2005; na SIYO kwa miaka minane (8). Mipango muhimu...
Tunataka uwazi na hatutaki longolongo. Magari 13 yamepata ajali katika msafara wa Makonda huko Masasi.
1. Wamiliki wa hayo magari ni nani? Maana kuna taarifa zisizo rasmi kuwa yapo magari ya...
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Eng. Kundo A. Mathew amesema Serikali inapanga kuanza kutoa Elimu kuhusu athari za Akili Unde (AI) kwa watumiaji wake pamoja na kuandaa Sera...
Kufuatia Prof Tibaijuka kusema kimfumo Mpinzani hawezi kutangazwa mshindi akishinda Urais, mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Uchaguzi wa 2015 ulipinduliwa kwa lengo la kuuwa...
Wanabodi,
Hii ni thread ya kutoamini kuwa hii statement ya Lowassa
ndicho alichoitiwa Ikulu.
Hii statement ya Lowassa kuwa rais Magufuli, alimuita yeye Lowassa Ikulu, ili kumrubuni kwa...
Pope Francis meets with President of Tanzania
Pope Francis holds an audience with President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania, expressing their joint commitment to promoting...
Maneno hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati akijibu swali lililoulizwa Bungeni na Mbunge wa Jimbo la Mbuli Mjini Ndg. Zacharia Isaay...
Kunatofauti ya kuamua na kusimamia maamzi. Ujenzi wa shule za kata nchi nzima ulikuwa uamuzi wa CCM na ulikuwa kwenye ilani ya uchaguzi 2005-2010
USHAHIDI HUU HAPA
Elimu ya Sekondari
61. CCM...
KIFO CHA ACT WAZALENDO NI "POOR PARENTING."
ACT wazalendo ina kila sababu ya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania, na kuongoza idadi ya madiwani na Wabunge Chaguzi zijazo kulinganisha na...
Nawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje.
Je, usalama wa rasmali za nchi utakuwepo? Ni...
Leo tarehe 12 Februari 2024 Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amewasilisha Mahakamani nia ya kutoendelea na kesi ya mauaji inayowakabili George Sanga, Optatus Nkwera na Goodlucky Mfuse.
Baada ya...