Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,437
- 113,445
Wanabodi,
Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel Bulendu.
Habari kubwa wiki hii, ni mkutano wa Edward Lowassa na rais John Pombe Magufuli. Waalikwa ni waandishi wa habari, Denis Ngonyani na Yohani hoja hapa ni kwa nini mkutano ilikuwa a big news!, aliyesababisha iwe ni Big News sio Rais Magufuli Bali ni Edward Lowassa, kwa nini?.
Mjadala unahusi ni nini haswa kilichofanya ziara ya Lowassa kwenda ikulu kumpongeza rais Magufuli kuwa big news, nini kilichosababisha habari hii kuwa big news na kutawala kurasa za mbele za magazeti yote with big headlines, jee ni kwa sababu Rais Magufuli ni Big Name?, jibu ni hapani, kilichofanya habari hii kuwa kubwa na kuattract big headlines ni Edward Lowassa na sio rais Magufuli, kwa kitendo cha mpinzani Mkuu wa rais Magufuli aliyepinga matokeo ya urais na kudai hautambui ushindi wa Magufuli, kwa hoja mshindi halali ni yeye Lowassa, lakini mwisho wa siku, mtu huyu huyu aliyelalamika bila kuyafuta malalamiko yake, akaibukia Ikulu kumpongeza rais Magufuli, this is big news!.
Kilichoipa nguvu Zaidi ziara hiyo ni kile kilichozungumzwa na wote wawili, Lowassa akimpongeza Magufuli, badala ya kulalamikia uminywaji wa demokrasia na ukanyagwaji wa katiba, yeye Lowassa kaona mazuri tuu ya Magufuli na kumpongeza, this was a big news!.
Kitendo cha rais Magufuli kumsifia Edward Lowassa kuwa ni kiongozi safi, wakati alikuwa akituhumiwa kwa ufisadi wa Richmond, hivyo Magufuli kumsafisha Lowassa, this pia is Big News.
Hoja za msingi sasa tujadili jee kitendo kile. was it a was it a good move, was it a right move?, maneno yaliyotamkwa na pande zote ni kauli ya kujenga au kubomoa?.
Endelea kufuatilia
Paskali
Kama kawaida ya kila Jumamosi asubuhi, kila nipatapo muda, huangazia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa mubashara na Star TV, chini ya Uongozi wa nguli Dotto Emmanuel Bulendu.
Habari kubwa wiki hii, ni mkutano wa Edward Lowassa na rais John Pombe Magufuli. Waalikwa ni waandishi wa habari, Denis Ngonyani na Yohani hoja hapa ni kwa nini mkutano ilikuwa a big news!, aliyesababisha iwe ni Big News sio Rais Magufuli Bali ni Edward Lowassa, kwa nini?.
Mjadala unahusi ni nini haswa kilichofanya ziara ya Lowassa kwenda ikulu kumpongeza rais Magufuli kuwa big news, nini kilichosababisha habari hii kuwa big news na kutawala kurasa za mbele za magazeti yote with big headlines, jee ni kwa sababu Rais Magufuli ni Big Name?, jibu ni hapani, kilichofanya habari hii kuwa kubwa na kuattract big headlines ni Edward Lowassa na sio rais Magufuli, kwa kitendo cha mpinzani Mkuu wa rais Magufuli aliyepinga matokeo ya urais na kudai hautambui ushindi wa Magufuli, kwa hoja mshindi halali ni yeye Lowassa, lakini mwisho wa siku, mtu huyu huyu aliyelalamika bila kuyafuta malalamiko yake, akaibukia Ikulu kumpongeza rais Magufuli, this is big news!.
Kilichoipa nguvu Zaidi ziara hiyo ni kile kilichozungumzwa na wote wawili, Lowassa akimpongeza Magufuli, badala ya kulalamikia uminywaji wa demokrasia na ukanyagwaji wa katiba, yeye Lowassa kaona mazuri tuu ya Magufuli na kumpongeza, this was a big news!.
Kitendo cha rais Magufuli kumsifia Edward Lowassa kuwa ni kiongozi safi, wakati alikuwa akituhumiwa kwa ufisadi wa Richmond, hivyo Magufuli kumsafisha Lowassa, this pia is Big News.
Hoja za msingi sasa tujadili jee kitendo kile. was it a was it a good move, was it a right move?, maneno yaliyotamkwa na pande zote ni kauli ya kujenga au kubomoa?.
Endelea kufuatilia
Paskali