Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,318
24,217
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Pemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.

Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
1707696746947.png


- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.

Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar
 
Ngoja waje spin Doctors.

Utawasikia.....

"Oh wanaleta mitutu"
img_20240203_204836-jpg.2893205



Halafu wale wa Utengano nao

"Oh tuuvunje huu Muungano"


...sio hao tu wapo wale watakaosema
"Matumizi mabaya ya madaraka na Rasilimali"


Yaani sijasema bado, hata kataa ndoa nao watadai ...

"Ona hao vijana wenyewe ni mijambazi" Untill proven Innocent.
1707696746947-png.2901348
😁😅

Unauliza mimi nitasema nini?
 
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa na silaha zikitumika watu wasilaumu na kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar na hili pia ni tishio la usalama maana mbali ya magendo pia silaha n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348

- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.

Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar

Ukweli ukanda huo hasa bunju jamaa wa kaisari walijiachia mno na hayo magendo tena ilikuwa wazi wazi na dili za mafuta ya kula hayo. Yaani mpaka unijiuliza hii nchi itakuja kuwa na jamii ya kistaarabu kweli miaka kumi ijayo?.
 
Aanze na viongozi wenzake wanaojimilikisha monopoly ya masoko ya sukari na mafuta na kutoa vibali vya ten percent kwa wahindi, sukari hakuna wala mafuta kumbe rushwa tupu ya viongozi ndio inasababisha upungufu, ni kama umeme tuu, na huyu anajua ila kutaka misifa tuu, tuna viongozi wa hovyo sana
 
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.

Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348

- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia

Kodi ya Tanzania bara iwe sawa na Zanzibar. Punguzeni kodi za hovyo huku bara, au mizigo yote itapitia Zanzibar, Mombasa kwenye unafuu.
 
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.

Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348

- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.

Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar

Hee kwanini kuleta bidhaa kutoka Zanzibar ambayo ni sehemu ya Tanzania inakuwa dhambi namna hiii?? Yani Zanzibar sukari ipo imejaa tele
 
Ukweli ukanda huo hasa bunju jamaa wa kaisari walijiachia mno na hayo magendo tena ilikuwa wazi wazi na dili za mafuta ya kula hayo. Yaani mpaka unijiuliza hii nchi itakuja kuwa na jamii ya kistaarabu kweli miaka kumi ijayo?.
Upuuzi mtupu huu, kwa nini serekali isitengeneze flat rate za customs duties, ili zifanane kwa zanzibar na bara, hii ujinga utaisha kabisa, viwango vya bara vishushwe kidogo, na vya zanzibar viongezwe kidogo alimradi tupate fair rates ambazo zinalingana, we call this balancing, the rates.
 
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.

Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348

- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.

Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar

Naona picha kama picha za Israel dhidi ya watoto wa Palestina ktk vita vya huko Gaza
 
12 February 2024

TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM

Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum


View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw

Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.

Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo

RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.

Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.

Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.

Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar​

Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348

- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.

RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.

Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar

Waunganishe nguvu na mkoa wa Pwani, sababu mkoa wa Pwani ndiyo chaka kuu la kupitisha magendo. kuna lile eneo Bagamoyo ambalo kila raia analijua kasoro Polisi na TRA.
 
Huyu bibi nchi imemshinda.

Na ninahisi hata uchaguzi mkuu wa 2025 hataweza kusimamia bali ataleta uswahili TU .

Kumpoteza JPM tulipata hasara ya Karne Moja.
 
Back
Top Bottom