Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, akizungumza leo Juni 9, 2026, katika Ikulu ya Dar es Salaam mara baada mazungumzo na Rais Samiaamesema wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa...
0 Reactions
3 Replies
102 Views
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa majina yao kwenye mali na miradi ya nchi, hili jambo halina maana wala tija yoyote ile. Kwa mfano, si sawa kwa stendi ya...
29 Reactions
263 Replies
14K Views
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, anatarajiwa kuwasili Tanzania jioni ya leo kwa ajili ya kuanza Ziara ya Kiserikali kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
4 Replies
172 Views
  • Redirect
Amekuja kufanya nini hapa? Au naye anaua kama kawa! kwake huko. Russia , China naweza nikamuelewa. Huko murder case inatumia less than 30 minutes na ananyongwa mtu!
1 Reactions
Replies
Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza waliyojadili na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es...
0 Reactions
4 Replies
108 Views
Wakuu , natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu . Kila mtu amesikia kwamba kivuko cha magari cha TAZARA ( siyo flyover kama wengi wanavyotuaminisha )...
31 Reactions
269 Replies
23K Views
Wanabodi, Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na...
4 Reactions
90 Replies
15K Views
====== WANANCHI WAPINGA KUJIUZULU KWA MWENYEKITI ENGOSOWASHI. Wananchi wa Mtaa wa Engosowash, Kata ya Moshono jijini Arusha, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa mwenyekiti wao kujiuzulu...
1 Reactions
1 Replies
208 Views
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, huku nchi hizo zikikubaliana kushirikiana katika maeneo tisa ya kimkakati yenye...
1 Reactions
6 Replies
177 Views
Tunakushukuru Mama Samia kwa kukataa Jina lako kuwekwa kwenye Daraja, huu ni mwanzo mzuri sana, na kwa kweli nimeamini kwamba kumbe ni kweli huwa unasoma JF, Maana uko uzi wangu kabambe humu...
12 Reactions
78 Replies
3K Views
Hii ni kwa Sababu Ile kesi Yake ya UONGO imesababisha hasara ya mabilioni ya hela kwa Chadema baada ya Mali nyingi kuharibika kutokana na katazo la kuzitumia baada ya. hukumu ya kipuuzi ya Jaji...
6 Reactions
10 Replies
192 Views
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM) Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni...
10 Reactions
25 Replies
620 Views
  • Closed
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme...
12 Reactions
44 Replies
648 Views
Wanajamvi Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyakula kuwa na michanga hasa sukari na unga wa ngano au ugali na sijui shida ni nini Tunaomba mamlaka zinazohisika zijaribu kulifatilia hili suala kwa...
2 Reactions
15 Replies
220 Views
Naona wanaChadema wameanza kukubaliana na mimi juu namna hayati Magufuli alivyokuwa shujaa na mpambanaji kuzuia uzembe na ufisadi. Kwanza asingeweza kwenda Urusi na na mtoto wake au delegation...
11 Reactions
78 Replies
837 Views
Rais Samia hayupo nchini..Yupo Ziarani Urusi kwa siku 3.. Katiba ya Tanzania ibara ya 47 c, inatamka hivi " kutakuwa na makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au...
4 Reactions
23 Replies
701 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akihojiwa Juni 8, 2026 Patrobas Katambi alisema; "Kuna ukosoaji hasi na chanya, sasa katika ukosoaji hasi ndio inawezekana kukawa kuna utaratibu wa kuvunja sheria...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Wakuu Jana bungeni Waziri wa diplomasia na mambo ya nje Kombo raia wa Zanzibar anayefanya kazi Tanganyika amesema katiba yetu inataka polisi akirushiwa jiwe ampige risasi haraka raia anayerusha na...
22 Reactions
192 Replies
4K Views
Kama ni dini mbona alimpa mkonio Putin?ZILONGFA NA ZITENDA
3 Reactions
37 Replies
878 Views
Back
Top Bottom