Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,416
- 17,731
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme kama tuuajuavyo leo hii, hawajawahi kwenda space, hawajawahi kuunda rocket, missiles, microscopes, electrical appliances, micro chips, hawajawahi kuwa na manufacturing industries.
Chinese au sijui persians hawajawahi kuunda trains, hawakuanzisha internet, hawakuelezea khs genetics, DNA, genes and chromosomes, blood groups, hawakuanzisha chemical plants, aspirin, hawakujenga oil refineries, nguo kama jeans, suits, boxer shorts, hawakuwa na research universities, college na high schools.
Hiyo civilization yao ya miaka 5000 ni ya nini na walikuwa wanafanya nini? binafsi siamini kama ni kweli mambo mengi yanadanganywa hasa ya kihistoria kwa maana chinese, arabs, afrikans, indians, asians bila ya western Christian capitalistic system walikuwa dirt poor and uncivilized …
Chinese au sijui persians hawajawahi kuunda trains, hawakuanzisha internet, hawakuelezea khs genetics, DNA, genes and chromosomes, blood groups, hawakuanzisha chemical plants, aspirin, hawakujenga oil refineries, nguo kama jeans, suits, boxer shorts, hawakuwa na research universities, college na high schools.
Hiyo civilization yao ya miaka 5000 ni ya nini na walikuwa wanafanya nini? binafsi siamini kama ni kweli mambo mengi yanadanganywa hasa ya kihistoria kwa maana chinese, arabs, afrikans, indians, asians bila ya western Christian capitalistic system walikuwa dirt poor and uncivilized …