Said Issa Mohamed afukuzwe haraka CHADEMA

Said Issa Mohamed afukuzwe haraka CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,342
Reaction score
283,377
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
 
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya Chadema (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
mihemko nonsense ni umaskini wa kiwango kibaya sana aise 🤣
 
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
Lazimamkujenha hoja halisi isije kuwa akatushinda mahakamani. Cause of action iwe very strong!
 
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
hakuna sababu ya kumfukuza, abaki kama mwanachama wa kawaida.
 
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
Sawa nifukuzeni nitaenda TLP au CHAUMMA..
 
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)

Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi

Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni aliyeokotwa na Chadema ili kutimiza matakwa ya katiba ya Nchi inayotaka kila CHAMA kiwe na wanachama pande zote za Muungano, alipewa cheo kikubwa kilichokuja kubadilisha maisha yake (Bottom Up), hatimaye muda wake ukaisha CHAMA kikabadilisha uongozi kwa Mujibu wa Katiba

Alikuja Chadema na kandambili akanunuliwa suti na Skuna, haya yote akayasahau na kuamua kukata mkono uliomlisha, ujinga mtupu!

Huyu hafai na anapaswa kutimuliwa haraka sana aende kwa waliomtuma
Apewe muda ajitetee kwanini asifukuzwe kwani huyo atakimbilia tena mahakamani
 
Kuhujumu chama ni kesi kubwa mno, kufutwa kwa kesi yake ni ushahidi kamili
Uwe mtulivu wewe ni kijana muhimu Kwa Chama kanda ya Nyasa. Nakuomba tulia Kwanza halafu nitafute siku kama ya Leo Mwezi ujao.
 
Back
Top Bottom