Mtu akifanya hata jambo moja tu vizuri, anastahili Pongezi. Rais Samia apongezwe kwa haya…

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,546
41,050
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri.

Lakini pia kwa kuitambua CCM ilivyojaza watu waovu, hata hayo machache mazuri ambayo Rais Samia kayafanya, anastahili pongezi kubwa.

Nchi yetu kwa miongo kadhaa imekuwa ikipita katika giza nene la utawala wa mabavu, utawala usiozingatia katiba wala sheria. Utawala uliojaa ulaghai. Na yote yakisababishwa na watu waovu ndani ya CCM. CCM imekuwa kama kinara wa uovu.

Mema/mazuri aliyoyafanya vizuri Rais Samia, tena katikati ya uovu wa CCM:

1) Kumtoa Mbowe toka gerezani baada ya kuridhika kuwa Siro na wenzake akina walikuwa waongo kwenye tuhuma walizombambikia Mbowe. Na kwa uungwana, alimwalika Mbowe ikulu na kumwomba msamaha.

2) Kuanzisha vikao vya maridhiano ambayo wale waovu wa CCM baadaye walimzidi nguvu kiasi cha yeye kushindwa kuelewa afanye nini.

3) Kuwatoa gerezani wapenzi na viongozi wa CHADEMA waliobambikiwa kesi na kuwekwa kwenye mahabusu mbalimbali.

4) Falsafa yake ya 4Rs ambayo kiutekelezaji inakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa wale waovu wa CCM ambao kwao uovu ndiyo imani yao.

5) Kuamua kwenda kinyume na waovu wa CCM ambao walitaka sana haki ya kikatiba ya maandamano na mikutano kwa vyama vya upinzani iendelee kukanywagwa.

6) Kuzuia uovu wa watendaji wa serikali kupora pesa za matajiri kwa nguvu, ref. Sabaya na Makonda, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

7) Kuzuia ushetani wa kuteka, kutesa na kuua watu wanaokosoa Serikali.

Mambo Aliyoyafanya Vibaya:
1) kutoa haki kupindukia kwa wageni kuhusiana na rasilimali za nchi. Ref. bandari, misitu na mbuga za wanyama.

2) kukubali baadhi ya ushauri bila ya kuupima kwa umakini, kama ule wa Siro wa kumkamata na kumtesa Mbowe gerezani.

3) Kufumbia macho baadhi ya maovu ya wazi, ref. ufisadi ulioibuliwa na CAG, kutochukua hatua dhidi ya waovu wakubwa wanaohusishwa na mauaji na mashambulio ya kukusudia kuua, ref. shambulio dhidi ya Lisu na kupotezwa kwa Ben Sanane na Azory Gwanda. Badala ya kumchukulia hatua mtuhumiwa, amemzawadia cheo ndani ya chama, na kuzidi kuthibitisha kuwa ouvu kwa CCM ndiyo falsafa ya chama.

4) Kutofanya uchunguzi binafsi, na hivyo kuhadaiwa kiurahisi na waovu. Kama angekuwa makini na mtafutaji ukweli juu ya ushauri anaopewa, kwa mfano asingemteua Naibu Waziri, kwa uchafu mwingi ambao huyu bwana amekuwa akiufanya na kila mara kuwahonga anaoamini wana uwezo wa kumfikia Rais kila kunapokuwa na minong'ono ya kubadilisha baraza la mawaziri.

5) Kumteua mtu anayetajwa alikuwa kiongozi wa wasiojulikana ambao walikuwa wakiteka, kutesa na kuua watu wanaookosoa serikali, kuwa mwenezi.

Lakini pamoja na yote hayo, kwa kuzingatia mfumo mbaya wa nchi ulivyo, na muundo wa CCM ulivyojengeka kiovu, Rais Samia kwa hayo machache mazuri aliyoyafanya, anastahili pongezi, maana si rahisi sana mtu mmoja ambaye yupo katikati ya mazingira ovu, kufanya mabadiliko makubwa ya ghafla.

Rais Samia, kwa ushauri wangu, ni vema akasimama imara akijua kuwa maadui wake wakubwa wapo ndani ya CCM, na hawa wanataka CCM, Serikali na mifumo yote ya kiutawala iendelee kukaa kiuovu maana ni kwa namna hiyo ndiyo uhakika wao wa kuendelea kuiba na kufisadi. Fanya yale ambayo ni mazuri uliyokuwa umedhamiria kuyafanya toka mwanzo ili siku moja uje ujisifu namna ulivyosimama imara kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa katikati ya upinzani mwingi ndani ya cha chako; wala usiwe mtu wa kujuta kama Hayati Mkapa aliyesema kuwa anajutia kwa vile alishiriki kwenye kuiba pesa ya Serikali kuipatia CCM.
 
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri.

Lakini pia kwa kuitambua CCM ilivyojaza watu waovu, hata hayo machache mazuri ambayo Rais Samia kayafanya, anastahili pongezi kubwa.

Nchi yetu kwa miongo kadhaa imekuwa ikipita katika giza nene la utawala wa mabavu, utawala usiozingatia katiba wala sheria. Utawala uliojaa ulaghai. Na yote yakisababishwa na watu waovu ndani ya CCM. CCM imekuwa kama kinara wa uovu.

Mema/mazuri aliyoyafanya vizuri Rais Samia, tena katikati ya uovu wa CCM:

1) Kumtoa Mbowe toka gerezani baada ya kuridhika kuwa Siro na wenzake akina walikuwa waongo kwenye tuhuma walizombambikia Mbowe. Na kwa uungwana, alimwalika Mbowe ikulu na kumwomba msamaha.

2) Kuanzisha vikao vya maridhiano ambayo wale waovu wa CCM baadaye walimzidi nguvu kiasi cha yeye kushindwa kuelewa afanye nini.

3) Kuwatoa gerezani wapenzi na viongozi wa CHADEMA waliobambikiwa kesi na kuwekwa kwenye mahabusu mbalimbali.

4) Falsafa yake ya 4Rs ambayo kiutekelezaji inakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa wale waovu wa CCM ambao kwao uovu ndiyo imani yao.

5) Kuamua kwenda kinyume na waovu wa CCM ambao walitaka sana haki ya kikatiba ya maandamano na mikutano kwa vyama vya upinzani iendelee kukanywagwa.

6) Kuzuia uovu wa watendaji wa serikali kupora pesa za matajiri kwa nguvu, ref. Sabaya na Makonda, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

7) Kuzuia ushetani wa kuteka, kutesa na kuua watu wanaokosoa Serikali.

Mambo Aliyoyafanya Vibaya:
1) kutoa haki kupindukia kwa wageni kuhusiana na rasilimali za nchi. Ref. bandari, misitu na mbuga za wanyama.

2) kukubali baadhi ya ushauri bila ya kuupima kwa umakini, kama ule wa Siro wa kumkamata na kumtesa Mbowe gerezani.

3) Kufumbia macho baadhi ya maovu ya wazi, ref. ufisadi ulioibuliwa na CAG, kutochukua hatua dhidi ya waovu wakubwa wanaohusishwa na mauaji na mashambulio ya kukusudia kuua, ref. shambulio dhidi ya Lisu na kupotezwa kwa Ben Sanane na Azory Gwanda. Badala ya kumchukulia hatua mtuhumiwa, amemzawadia cheo ndani ya chama, na kuzidi kuthibitisha kuwa ouvu kwa CCM ndiyo falsafa ya chama.

4) Kutofanya uchunguzi binafsi, na hivyo kuhadaiwa kiurahisi na waovu. Kama angekuwa makini na mtafutaji ukweli juu ya ushauri anaopewa, kwa mfano asingemteua Naibu Waziri, kwa uchafu mwingi ambao huyu bwana amekuwa akiufanya na kila mara kuwahonga anaoamini wana uwezo wa kumfikia Rais kila kunapokuwa na minong'ono ya kubadilisha baraza la mawaziri.

5) Kumteua mtu anayetajwa alikuwa kiongozi wa wasiojulikana ambao walikuwa wakiteka, kutesa na kuua watu wanaookosoa serikali, kuwa mwenezi.

Lakini pamoja na yote hayo, kwa kuzingatia mfumo mbaya wa nchi ulivyo, na muundo wa CCM ulivyojengeka kiovu, Rais Samia kwa hayo machache mazuri aliyoyafanya, anastahili pongezi, maana si rahisi sana mtu mmoja ambaye yupo katikati ya mazingira ovu, kufanya mabadiliko makubwa ya ghafla.

Rais Samia, kwa ushauri wangu, ni vema akasimama imara akijua kuwa maadui wake wakubwa wapo ndani ya CCM, na hawa wanataka CCM, Serikali na mifumo yote ya kiutawala iendelee kukaa kiuovu maana ni kwa namna hiyo ndiyo uhakika wao wa kuendelea kuiba na kufisadi. Fanya yale ambayo ni mazuri uliyokuwa umedhamiria kuyafanya toka mwanzo ili siku moja uje ujisifu namna ulivyosimama imara kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa katikati ya upinzani mwingi ndani ya cha chako; wala usiwe mtu wa kujuta kama Hayati Mkapa aliyesema kuwa anajutia kwa vile alishiriki kwenye kuiba pesa ya Serikali kuipatia CCM.


Yaani Tanzania iko nyuma kidemokrasia kiasi kwamba tunamsifu Raisi kwa kufuata sheria za nchi!!! maajabu ya Mussa
 
Yaani Tanzania iko nyuma kidemokrasia kiasi kwamba tunamsifu Raisi kwa kufuata sheria za nchi!!! maajabu ya Mussa
Iko vile watu wenye nguvu wakiwa wanatumia mabavu mara nyingi siku wakipunguza mabavu yao unapata ahueni ya kupumua !😅😅🙏
 
Hii noma sijasikia vizuri umesema amefanya nini?
Kamteua Bashite kuwa mwenezi. Mtu huyu alikuwa na nguvu sana wakati wa awamu ya 5 kwa sababu ndiye alikuwa kiongozi wa lile kundi harama la 'wasiojulikana', ambao kazi yao ilikuwa ni kuteka, kuwapoteza, kutesa na hata kuua mtu yeyote anayeikosoa Serikali. Hili ni kosa kubwa. Mtu aliyestahili kuwa jela amezawadiwa uongozi kama vile matendo hayo maovu ni mema kwa Watanzania.
 
Kamteua Bashite kuwa mwenezi. Mtu huyu alikuwa na nguvu sana wakati wa awamu ya 5 kwa sababu ndiye alikuwa kiongozi wa lile kundi harama la 'wasiojulikana', ambao kazi yao ilikuwa ni kuteka, kuwapoteza, kutesa na hata kuua mtu yeyote anayeikosoa Serikali. Hili ni kosa kubwa. Mtu aliyestahili kuwa jela amezawadiwa uongozi kama vile matendo hayo maovu ni mema kwa Watanzania.
Nimesikia alimpiga makofi Mzee Warioba mbele ya umati kisa mkasa Katiba Mpya ni kweli au ni propaganda tu ?
 
Yaani Tanzania iko nyuma kidemokrasia kiasi kwamba tunamsifu Raisi kwa kufuata sheria za nchi!!! maajabu ya Mussa
Ni kweli kabisa kuwa nchi ipo nyuma sana katika demokrasia, utawala wa sheria na utiifu wa katiba.

Lakini pale inapotokea kiongozi akaamua kwenda kinyume na waovu wenzake ndani ya chama, hata katika jambo moja baya, akasimamia kama inavyotakiwa, basi anapongezwa katika hilo. Maana kwa nchi yetu hii ambayo imeshaharibiwa kwa kiasi kikubwa na CCM kwa miaka mingi, siyo rahisi kuyafanya mambo yote yakae vizuri mara moja, labda watu waamue kupambana hasa, kuwa tayari hata kumwaga damu. Kwa maana waovu hawa wamejijenga sana, hawawezi kukubali kiurahisi.
 
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri.

Lakini pia kwa kuitambua CCM ilivyojaza watu waovu, hata hayo machache mazuri ambayo Rais Samia kayafanya, anastahili pongezi kubwa.

Nchi yetu kwa miongo kadhaa imekuwa ikipita katika giza nene la utawala wa mabavu, utawala usiozingatia katiba wala sheria. Utawala uliojaa ulaghai. Na yote yakisababishwa na watu waovu ndani ya CCM. CCM imekuwa kama kinara wa uovu.

Mema/mazuri aliyoyafanya vizuri Rais Samia, tena katikati ya uovu wa CCM:

1) Kumtoa Mbowe toka gerezani baada ya kuridhika kuwa Siro na wenzake akina walikuwa waongo kwenye tuhuma walizombambikia Mbowe. Na kwa uungwana, alimwalika Mbowe ikulu na kumwomba msamaha.

2) Kuanzisha vikao vya maridhiano ambayo wale waovu wa CCM baadaye walimzidi nguvu kiasi cha yeye kushindwa kuelewa afanye nini.

3) Kuwatoa gerezani wapenzi na viongozi wa CHADEMA waliobambikiwa kesi na kuwekwa kwenye mahabusu mbalimbali.

4) Falsafa yake ya 4Rs ambayo kiutekelezaji inakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa wale waovu wa CCM ambao kwao uovu ndiyo imani yao.

5) Kuamua kwenda kinyume na waovu wa CCM ambao walitaka sana haki ya kikatiba ya maandamano na mikutano kwa vyama vya upinzani iendelee kukanywagwa.

6) Kuzuia uovu wa watendaji wa serikali kupora pesa za matajiri kwa nguvu, ref. Sabaya na Makonda, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

7) Kuzuia ushetani wa kuteka, kutesa na kuua watu wanaokosoa Serikali.

Mambo Aliyoyafanya Vibaya:
1) kutoa haki kupindukia kwa wageni kuhusiana na rasilimali za nchi. Ref. bandari, misitu na mbuga za wanyama.

2) kukubali baadhi ya ushauri bila ya kuupima kwa umakini, kama ule wa Siro wa kumkamata na kumtesa Mbowe gerezani.

3) Kufumbia macho baadhi ya maovu ya wazi, ref. ufisadi ulioibuliwa na CAG, kutochukua hatua dhidi ya waovu wakubwa wanaohusishwa na mauaji na mashambulio ya kukusudia kuua, ref. shambulio dhidi ya Lisu na kupotezwa kwa Ben Sanane na Azory Gwanda. Badala ya kumchukulia hatua mtuhumiwa, amemzawadia cheo ndani ya chama, na kuzidi kuthibitisha kuwa ouvu kwa CCM ndiyo falsafa ya chama.

4) Kutofanya uchunguzi binafsi, na hivyo kuhadaiwa kiurahisi na waovu. Kama angekuwa makini na mtafutaji ukweli juu ya ushauri anaopewa, kwa mfano asingemteua Naibu Waziri, kwa uchafu mwingi ambao huyu bwana amekuwa akiufanya na kila mara kuwahonga anaoamini wana uwezo wa kumfikia Rais kila kunapokuwa na minong'ono ya kubadilisha baraza la mawaziri.

5) Kumteua mtu anayetajwa alikuwa kiongozi wa wasiojulikana ambao walikuwa wakiteka, kutesa na kuua watu wanaookosoa serikali, kuwa mwenezi.

Lakini pamoja na yote hayo, kwa kuzingatia mfumo mbaya wa nchi ulivyo, na muundo wa CCM ulivyojengeka kiovu, Rais Samia kwa hayo machache mazuri aliyoyafanya, anastahili pongezi, maana si rahisi sana mtu mmoja ambaye yupo katikati ya mazingira ovu, kufanya mabadiliko makubwa ya ghafla.

Rais Samia, kwa ushauri wangu, ni vema akasimama imara akijua kuwa maadui wake wakubwa wapo ndani ya CCM, na hawa wanataka CCM, Serikali na mifumo yote ya kiutawala iendelee kukaa kiuovu maana ni kwa namna hiyo ndiyo uhakika wao wa kuendelea kuiba na kufisadi. Fanya yale ambayo ni mazuri uliyokuwa umedhamiria kuyafanya toka mwanzo ili siku moja uje ujisifu namna ulivyosimama imara kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa katikati ya upinzani mwingi ndani ya cha chako; wala usiwe mtu wa kujuta kama Hayati Mkapa aliyesema kuwa anajutia kwa vile alishiriki kwenye kuiba pesa ya Serikali kuipatia CCM.
Bams, naungana na wewe lakini Samia anapaswa kuwa na msimamo kusimamia yaliyo haki. Ameonyesha udhaifu mkubwa sana kuwakumbatia na kuwarudisha ndani ya uongezi baadhi ya watenda maovu. Kama kiongozi anapaswa kusimama na kutembea ndani ya anachokiamini. Ningempongeza kama leo angetengua uteuzi wa RC Chalamila kwa kauli zake zinazokinzana na dhamira yake.
 
Kamteua Bashite kuwa mwenezi. Mtu huyu alikuwa na nguvu sana wakati wa awamu ya 5 kwa sababu ndiye alikuwa kiongozi wa lile kundi harama la 'wasiojulikana', ambao kazi yao ilikuwa ni kuteka, kuwapoteza, kutesa na hata kuua mtu yeyote anayeikosoa Serikali. Hili ni kosa kubwa. Mtu aliyestahili kuwa jela amezawadiwa uongozi kama vile matendo hayo maovu ni mema kwa Watanzania.
Kwenye hili sikuungi mkono, nitakuunga mkono kama utakuwa miongoni mwa mtakaokwenda mahakamani kuthibitisha
 
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri.

Lakini pia kwa kuitambua CCM ilivyojaza watu waovu, hata hayo machache mazuri ambayo Rais Samia kayafanya, anastahili pongezi kubwa.

Nchi yetu kwa miongo kadhaa imekuwa ikipita katika giza nene la utawala wa mabavu, utawala usiozingatia katiba wala sheria. Utawala uliojaa ulaghai. Na yote yakisababishwa na watu waovu ndani ya CCM. CCM imekuwa kama kinara wa uovu.

Mema/mazuri aliyoyafanya vizuri Rais Samia, tena katikati ya uovu wa CCM:

1) Kumtoa Mbowe toka gerezani baada ya kuridhika kuwa Siro na wenzake akina walikuwa waongo kwenye tuhuma walizombambikia Mbowe. Na kwa uungwana, alimwalika Mbowe ikulu na kumwomba msamaha.

2) Kuanzisha vikao vya maridhiano ambayo wale waovu wa CCM baadaye walimzidi nguvu kiasi cha yeye kushindwa kuelewa afanye nini.

3) Kuwatoa gerezani wapenzi na viongozi wa CHADEMA waliobambikiwa kesi na kuwekwa kwenye mahabusu mbalimbali.

4) Falsafa yake ya 4Rs ambayo kiutekelezaji inakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa wale waovu wa CCM ambao kwao uovu ndiyo imani yao.

5) Kuamua kwenda kinyume na waovu wa CCM ambao walitaka sana haki ya kikatiba ya maandamano na mikutano kwa vyama vya upinzani iendelee kukanywagwa.

6) Kuzuia uovu wa watendaji wa serikali kupora pesa za matajiri kwa nguvu, ref. Sabaya na Makonda, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

7) Kuzuia ushetani wa kuteka, kutesa na kuua watu wanaokosoa Serikali.

Mambo Aliyoyafanya Vibaya:
1) kutoa haki kupindukia kwa wageni kuhusiana na rasilimali za nchi. Ref. bandari, misitu na mbuga za wanyama.

2) kukubali baadhi ya ushauri bila ya kuupima kwa umakini, kama ule wa Siro wa kumkamata na kumtesa Mbowe gerezani.

3) Kufumbia macho baadhi ya maovu ya wazi, ref. ufisadi ulioibuliwa na CAG, kutochukua hatua dhidi ya waovu wakubwa wanaohusishwa na mauaji na mashambulio ya kukusudia kuua, ref. shambulio dhidi ya Lisu na kupotezwa kwa Ben Sanane na Azory Gwanda. Badala ya kumchukulia hatua mtuhumiwa, amemzawadia cheo ndani ya chama, na kuzidi kuthibitisha kuwa ouvu kwa CCM ndiyo falsafa ya chama.

4) Kutofanya uchunguzi binafsi, na hivyo kuhadaiwa kiurahisi na waovu. Kama angekuwa makini na mtafutaji ukweli juu ya ushauri anaopewa, kwa mfano asingemteua Naibu Waziri, kwa uchafu mwingi ambao huyu bwana amekuwa akiufanya na kila mara kuwahonga anaoamini wana uwezo wa kumfikia Rais kila kunapokuwa na minong'ono ya kubadilisha baraza la mawaziri.

5) Kumteua mtu anayetajwa alikuwa kiongozi wa wasiojulikana ambao walikuwa wakiteka, kutesa na kuua watu wanaookosoa serikali, kuwa mwenezi.

Lakini pamoja na yote hayo, kwa kuzingatia mfumo mbaya wa nchi ulivyo, na muundo wa CCM ulivyojengeka kiovu, Rais Samia kwa hayo machache mazuri aliyoyafanya, anastahili pongezi, maana si rahisi sana mtu mmoja ambaye yupo katikati ya mazingira ovu, kufanya mabadiliko makubwa ya ghafla.

Rais Samia, kwa ushauri wangu, ni vema akasimama imara akijua kuwa maadui wake wakubwa wapo ndani ya CCM, na hawa wanataka CCM, Serikali na mifumo yote ya kiutawala iendelee kukaa kiuovu maana ni kwa namna hiyo ndiyo uhakika wao wa kuendelea kuiba na kufisadi. Fanya yale ambayo ni mazuri uliyokuwa umedhamiria kuyafanya toka mwanzo ili siku moja uje ujisifu namna ulivyosimama imara kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa katikati ya upinzani mwingi ndani ya cha chako; wala usiwe mtu wa kujuta kama Hayati Mkapa aliyesema kuwa anajutia kwa vile alishiriki kwenye kuiba pesa ya Serikali kuipatia CCM.
Kaka umetisha kaka👍✨✨✨
🎉😊👏😁👏😃🎉
Congratulations!
 
The state of this country..unapongeza kwa kupewa haki yako..The right to peacefully assemble ipo kwenye katiba na raisi ameapa kuifuata katiba..anything less is a violation of your rights
 
Kwenye hili sikuungi mkono, nitakuunga mkono kama utakuwa miongoni mwa mtakaokwenda mahakamani kuthibitisha
Sheria zetu ni mbaya sana. Haziruhusu raia yeyote kufungua kesi ya jinai dhidi ya mtu yeyote. Ni Polisi pekee yao wamepewa mamlaka hayo. Hivyo mtenda uovu wa kijanai ili afikishwe mahakamani ni lazima Serikali ipende. Lama haitaki, hakuna anayeweza kushtakiwa hata kama kukiwepo na ushahidi wa wazi au wa kimazingira.
 
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri.

Lakini pia kwa kuitambua CCM ilivyojaza watu waovu, hata hayo machache mazuri ambayo Rais Samia kayafanya, anastahili pongezi kubwa.

Nchi yetu kwa miongo kadhaa imekuwa ikipita katika giza nene la utawala wa mabavu, utawala usiozingatia katiba wala sheria. Utawala uliojaa ulaghai. Na yote yakisababishwa na watu waovu ndani ya CCM. CCM imekuwa kama kinara wa uovu.

Mema/mazuri aliyoyafanya vizuri Rais Samia, tena katikati ya uovu wa CCM:

1) Kumtoa Mbowe toka gerezani baada ya kuridhika kuwa Siro na wenzake akina walikuwa waongo kwenye tuhuma walizombambikia Mbowe. Na kwa uungwana, alimwalika Mbowe ikulu na kumwomba msamaha.

2) Kuanzisha vikao vya maridhiano ambayo wale waovu wa CCM baadaye walimzidi nguvu kiasi cha yeye kushindwa kuelewa afanye nini.

3) Kuwatoa gerezani wapenzi na viongozi wa CHADEMA waliobambikiwa kesi na kuwekwa kwenye mahabusu mbalimbali.

4) Falsafa yake ya 4Rs ambayo kiutekelezaji inakutana na upinzani mkubwa kutoka kwa wale waovu wa CCM ambao kwao uovu ndiyo imani yao.

5) Kuamua kwenda kinyume na waovu wa CCM ambao walitaka sana haki ya kikatiba ya maandamano na mikutano kwa vyama vya upinzani iendelee kukanywagwa.

6) Kuzuia uovu wa watendaji wa serikali kupora pesa za matajiri kwa nguvu, ref. Sabaya na Makonda, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni, na wale waliobambikiwa kesi za uhujumu uchumi.

7) Kuzuia ushetani wa kuteka, kutesa na kuua watu wanaokosoa Serikali.

Mambo Aliyoyafanya Vibaya:
1) kutoa haki kupindukia kwa wageni kuhusiana na rasilimali za nchi. Ref. bandari, misitu na mbuga za wanyama.

2) kukubali baadhi ya ushauri bila ya kuupima kwa umakini, kama ule wa Siro wa kumkamata na kumtesa Mbowe gerezani.

3) Kufumbia macho baadhi ya maovu ya wazi, ref. ufisadi ulioibuliwa na CAG, kutochukua hatua dhidi ya waovu wakubwa wanaohusishwa na mauaji na mashambulio ya kukusudia kuua, ref. shambulio dhidi ya Lisu na kupotezwa kwa Ben Sanane na Azory Gwanda. Badala ya kumchukulia hatua mtuhumiwa, amemzawadia cheo ndani ya chama, na kuzidi kuthibitisha kuwa ouvu kwa CCM ndiyo falsafa ya chama.

4) Kutofanya uchunguzi binafsi, na hivyo kuhadaiwa kiurahisi na waovu. Kama angekuwa makini na mtafutaji ukweli juu ya ushauri anaopewa, kwa mfano asingemteua Naibu Waziri, kwa uchafu mwingi ambao huyu bwana amekuwa akiufanya na kila mara kuwahonga anaoamini wana uwezo wa kumfikia Rais kila kunapokuwa na minong'ono ya kubadilisha baraza la mawaziri.

5) Kumteua mtu anayetajwa alikuwa kiongozi wa wasiojulikana ambao walikuwa wakiteka, kutesa na kuua watu wanaookosoa serikali, kuwa mwenezi.

Lakini pamoja na yote hayo, kwa kuzingatia mfumo mbaya wa nchi ulivyo, na muundo wa CCM ulivyojengeka kiovu, Rais Samia kwa hayo machache mazuri aliyoyafanya, anastahili pongezi, maana si rahisi sana mtu mmoja ambaye yupo katikati ya mazingira ovu, kufanya mabadiliko makubwa ya ghafla.

Rais Samia, kwa ushauri wangu, ni vema akasimama imara akijua kuwa maadui wake wakubwa wapo ndani ya CCM, na hawa wanataka CCM, Serikali na mifumo yote ya kiutawala iendelee kukaa kiuovu maana ni kwa namna hiyo ndiyo uhakika wao wa kuendelea kuiba na kufisadi. Fanya yale ambayo ni mazuri uliyokuwa umedhamiria kuyafanya toka mwanzo ili siku moja uje ujisifu namna ulivyosimama imara kwenye mambo yenye maslahi kwa Taifa katikati ya upinzani mwingi ndani ya cha chako; wala usiwe mtu wa kujuta kama Hayati Mkapa aliyesema kuwa anajutia kwa vile alishiriki kwenye kuiba pesa ya Serikali kuipatia CCM.
Wewe chawa wa Mbowe Samia amefanya mambo mazuri mengi tuu achilia mbali hayo ya kijinga unayofurahia Kwa sababu unaweza kutukana na kuandamana hovyo.
 
The state of this country..unapongeza kwa kupewa haki yako..The right to peacefully assemble ipo kwenye katiba na raisi ameapa kuifuata katiba..anything less is a violation of your rights

Lakini tumewaona watawala wakikanyaga katiba na sheria kama wanavyotaka bila ya kubughudhiwa na yeyote kwa sababu wananchi hatupo tayari kuwawajibisha watawala wanaokiuka katiba. Kwa hoyo kiongozi anapoamua kufuata katiba wakati anajua kuwa hata akikiuka hakuna wa kumhoji, tunampongeza.
 
Lakini tumewaona watawala wakikanyaga katiba na sheria kama wanavyotaka bila ya kubughudhiwa na yeyote kwa sababu wananchi hatupo tayari kuwawajibisha watawala wanaokiuka katiba. Kwa hoyo kiongozi anapoamua kufuata katiba wakati anajua kuwa hata akikiuka hakuna wa kumhoji, tunampongeza.
Nimeelewa mkuu lakini I will provide An imperfect analogy ; hivi unapigiwaga makofi na kupewa Asante ukimaliza kazi yako unayolipiwa mshahara.? No.

Hizi ni haki zetu na nnacho-argue ni kwamba ni wajibu wao kufanya hivyo,we have to learn to demand them,kuendekeza hii roho ya Kuona kama viongozi wako gracious wakiruhusu maandamano ndio inayowapa kiburi Cha kukataa siku nyingine
 
Back
Top Bottom