Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sasa kumbe mambo ya Twitter aka X sio kweli bali tunapigana fix? Hivi ni nani mtunga hizi tungo tata aliyefeli namna hii kuigiza? Apelekwe Bagamoyo akapigwe refresher course kidogo. Sent from...
1 Reactions
3 Replies
575 Views
Tanzania needs a new president from 2025 for a number of reasons, including: •To address the country's economic challenges. Tanzania's economy has grown steadily in recent years, but it still...
10 Reactions
51 Replies
4K Views
Boniface jacob anasema: CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake. Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi...
10 Reactions
107 Replies
10K Views
MSAKO ulioanzishwa na Rais John Magufuli wa kutokomeza tatizo la wafanyakazi hewa katika utumishi wa umma, umeendelea kuibua mazito, ambapo mkoani Kilimanjaro, Benki ya CRDB imejikuta ikitoa mkopo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hebu Jisomeeni wenyewe muone ilivyokuwa kama anavyosimulia Mzee Kinana
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Hili ndilo linalohalalisha uwepo wa madarakani - kwani kila kitu kinasemwa kimefanywa na Rais Dr. Samia. Ikitokea mkawa na Rais asiyejali watu, anayetisha tisha watu, watu wanapotea, analinda...
0 Reactions
4 Replies
627 Views
Zamani,wakati wa Awamu ya Kwanza vijana wa Kiislamu walimshambulia Mama Sophia Kawawa,wanamwambia ajihadhari. Mama Sophia Kawawa alikuwa amesema dini ya Kiislamu inawaonea wanawake. Wale vijana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Rukwa. Raia mwema amepigilia msumari kuhusu madai ya CDF ya wahamiaji haramu kuingia Nchini Kwa kumtuhumu Kigogo wa idara ya uhamiaji Mkoa wa Rukwa ambae amekuwa akiratibu na Kuendesha gange la...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Hivi ndivyo diplomasia ya Uchumi ya Rais Samia inavyoleta matunda. Kituo Cha uwekezaji Tanzania TIC kimesema Kwa miezi 3 ya mwisho wa mwaka yaani Octoba Hadi disemba kimesajili miradi yenye...
2 Reactions
16 Replies
897 Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024. https://www.youtube.com/live/SYTvPYLNpNk?si=ZxFlRBcsLo7LLqGU Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Angalia maziwa ,mito na vyanzo vya maji vinavyopatikana hapa nchini. Alafu kuna watanzania wanakosa maji safi salama ya kunywa. Kodi na vyanzo kibao vya mapato vipo. Angalia madini kama...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Maandamano ya Amani ya kupinga Ugumu wa Maisha (kilo ya sukari tsh 6000) pamoja na Miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Jijini Arusha , Maandalizi yake...
11 Reactions
43 Replies
3K Views
Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm
9 Reactions
45 Replies
4K Views
Kongole kwa Serikali sikivu, imetukumbuka kwenye Kutii kiu yako slogan! Na wapenguza pakubwa kweli kwa Vinywaji vyote kuanzia Wine 🍷 hadi juice 🧃. Wanajua hii nchi kipaumbele chetu ni starehe...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Mahakama yatengua makubaliano yaliyorejesha mali ya Ushirika serikalini Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imetengua hukumu ya Mahakama Kuu iliyohalalisha mkataba wa makubaliano baina ya Serikali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shirika la TANESCO limeingia mkataba wa kusimika mfumo wa kisasa wa ufanisi,wenye thamani ya dola milioni 30 za marekani na kampuni ya Mahendra kutoka India. My take: Hao wataalamu walipopewa...
47 Reactions
267 Replies
18K Views
Mwenyekiti wa zamani wa Nccr Mageuzi Mhe. James Mbatia, akiwa anafanya mahojiano na Edwin Odemba ameitaka Serikali iweke bayana msimamo wake kuhusu suala la ushoga na usagaji. Mbatia amesema...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Nilishangaa sana kumsikia anawasema wapinzani. Kwa nafasi alizoshika siku zote niliona akiwakosoa na kuwaelekeza wa chama chake. Jana kumsikia anawaongelea CHADEMA kwa kweli nimeshangaa sana sana!
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Hata kama mambo yaliyoorodheshwa katika ile thread ya mwanzo yanaweza yakawa sio sahihi kwa 100%, lakini sio ya kuyapuuzia. Ni mambo mazito sana yanayokabili taifa letu na yanapaswa kupewa uzito...
70 Reactions
305 Replies
47K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda , mapema asubuhi ya leo Jumanne tarehe 6 Februari, 2024 amefika katika ofisi za Manispaa ya...
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…