Kuwa na Kiongozi mzuri kama Rais Samia na kutumia jina lake kama brand ni mtaji wa kisiasa

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Apr 6, 2021
265
240
Hili ndilo linalohalalisha uwepo wa madarakani - kwani kila kitu kinasemwa kimefanywa na Rais Dr. Samia. Ikitokea mkawa na Rais asiyejali watu, anayetisha tisha watu, watu wanapotea, analinda maslahi yake na watu wake tu, haleti maendeleo kwa watu wake, hajali bei za bidhaa zinaongezeka, yaani kwa ujumla tuseme kunakuwa na uozo mwingi - hakika kutumia jina la Rais huyo kama kafanya kitu chochote chema kinachozidiwa na mabaya yanayokuwepo ujue ndiyo haitawezekana tena kubrand Serikali yake kwa jina lake.

Hili kidogo litokee awamu ya tano pamoja na mambo mazuri kutokea lakini yale mabaya pia yaliaanza kumbrand bwana yule kwa kasi sana mf mauaji, watu kupotea, kunyima demokrasia, kuzuia mishahara kupanda bila sababu zozote na kuwafanyia watu ubabe, hivi vyote vilianza kuibrand Serikali ile vibaya sana.

Mabaya yangezidi yale mazuri mf. usimamizi mzuri wa kazi za Serikali say kuhamia Dodoma na ujenzi wa miundombinu vingembomoa vibaya sana bwana yule!

Ninashauri tena sio vizuri sana kurefer kwa jina kuwa ..... kafanya hivi hata yale mambo yanayofanywa na Serikali. Mama mwenyewe kuna wakati alikataa hili lakini wapambe nuksi hawajawahi kumsikia!
 
Hili ndilo linalohalalisha uwepo wa madarakani - kwani kila kitu kinasemwa kimefanywa na Rais Dr. Samia. Ikitokea mkawa na Rais asiyejali watu, anayetisha tisha watu, watu wanapotea, analinda maslahi yake na watu wake tu, haleti maendeleo kwa watu wake, hajali bei za bidhaa zinaongezeka, yaani kwa ujumla tuseme kunakuwa na uozo mwingi - hakika kutumia jina la Rais huyo kama kafanya itu chochote chema kinachozidiwa na mabaya yanayokuwepo ujue ndiyo haitawezekana tena kubrand Serikali yake kwa jina lake. Hili kidogo litokee awamu ya tano - pamoja na mambo mazuri kutokea lakini yale mabaya pia yaliaanza kumbrand bwana yule kwa kasi sana - mf mauaji, watu kupotea, kunyima demokrasia, kuzuia mishahara kupanda bila sababu zozote na kuwafanyia watu ubabe, hivi vyote vilianza kuibrand Serikali ile vibaya sana. Mabaya yangezidi yale mazuri mf. usimamizi mzuri wa kazi za Serikali say kuhamia Dodoma na ujenzi wa miundombinu vingembomoa vibaya sana bwana yule!
Ninashauri tena sio vizuri sana kurefer kwa jina kuwa ..... kafanya hivi hata yale mambo yanayofanywa na Serikali. Mama mwenyewe kuna wakati alikataa hili lakini wapambe nuksi hawajawahi kumsikia!
Ulaaniwe na utumbo wako ulioandika
 
Hili ndilo linalohalalisha uwepo wa madarakani - kwani kila kitu kinasemwa kimefanywa na Rais Dr. Samia. Ikitokea mkawa na Rais asiyejali watu, anayetisha tisha watu, watu wanapotea, analinda maslahi yake na watu wake tu, haleti maendeleo kwa watu wake, hajali bei za bidhaa zinaongezeka, yaani kwa ujumla tuseme kunakuwa na uozo mwingi - hakika kutumia jina la Rais huyo kama kafanya itu chochote chema kinachozidiwa na mabaya yanayokuwepo ujue ndiyo haitawezekana tena kubrand Serikali yake kwa jina lake. Hili kidogo litokee awamu ya tano - pamoja na mambo mazuri kutokea lakini yale mabaya pia yaliaanza kumbrand bwana yule kwa kasi sana - mf mauaji, watu kupotea, kunyima demokrasia, kuzuia mishahara kupanda bila sababu zozote na kuwafanyia watu ubabe, hivi vyote vilianza kuibrand Serikali ile vibaya sana. Mabaya yangezidi yale mazuri mf. usimamizi mzuri wa kazi za Serikali say kuhamia Dodoma na ujenzi wa miundombinu vingembomoa vibaya sana bwana yule!
Ninashauri tena sio vizuri sana kurefer kwa jina kuwa ..... kafanya hivi hata yale mambo yanayofanywa na Serikali. Mama mwenyewe kuna wakati alikataa hili lakini wapambe nuksi hawajawahi kumsikia!
Ratiba ya mazishi ya ndugu @ole_mushi

Ibada ya kuaga mwili itafanyika kanisa la St.Peters Oysterbay leo saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7 mchana.

Baada ya hapo mwili utapelekwa airport ukisindikizwa na ndugu wa karibu pamoja na mke wake.

Mwili utawasili KIA saa moja na nusu jioni na utapokelewa na wanafamilia waliopo Moshi na baadhi ya waliotoka Dar.

Mwili utaenda kulala nyumbani kwao Uru, Kitandu karibu na shule ya msingi Chombo Uru.

Kesho tar.7 January 2024 maziko yatafanyika hapohapo nyumbani kwao Uru Kitandu. Kwa watu wote wanaotoka DSM kama unahitaji kusafiri kwenda Moshi wasiliana na ndugu Deo Mushi⁩ kwa nambari 0719 780 033.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ratiba ya mazishi ya ndugu @ole_mushi

Ibada ya kuaga mwili itafanyika kanisa la St.Peters Oysterbay leo saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7 mchana.

Baada ya hapo mwili utapelekwa airport ukisindikizwa na ndugu wa karibu pamoja na mke wake.

Mwili utawasili KIA saa moja na nusu jioni na utapokelewa na wanafamilia waliopo Moshi na baadhi ya waliotoka Dar.

Mwili utaenda kulala nyumbani kwao Uru, Kitandu karibu na shule ya msingi Chombo Uru.

Kesho tar.7 January 2024 maziko yatafanyika hapohapo nyumbani kwao Uru Kitandu. Kwa watu wote wanaotoka DSM kama unahitaji kusafiri kwenda Moshi wasiliana na ndugu Deo Mushi⁩ kwa nambari 0719 780 033.

Sent using Jamii Forums mobile app
Du!
 
Back
Top Bottom