ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,742
Rukwa.
Raia mwema amepigilia msumari kuhusu madai ya CDF ya wahamiaji haramu kuingia Nchini Kwa kumtuhumu Kigogo wa idara ya uhamiaji Mkoa wa Rukwa ambae amekuwa akiratibu na Kuendesha gange la kusafirisha raia haramu Kwa kushirikiana na Vigogo wengine hasa kutoka Somalia.
Raia huyo amesema licha ya taarifa kumfikia Mkuu wa Mkoa lakini mtu huyo hachukuliwi hatua badala yake amekuwa akimnyanyasa Kwa kumuambia sio raia wa Tanznaia wakati Yuko Sumbawanga Toka enzi za Mwalimu Nyerere.
View: https://youtu.be/tp9viAB3r6k?si=3ighmzZ7K8e_laTz
My Take
CDF hakukurupuka
View: https://www.instagram.com/reel/C2-HKF2KiH2/?igsh=MXFrenJ6aTZnNnNxMg==
Raia mwema amepigilia msumari kuhusu madai ya CDF ya wahamiaji haramu kuingia Nchini Kwa kumtuhumu Kigogo wa idara ya uhamiaji Mkoa wa Rukwa ambae amekuwa akiratibu na Kuendesha gange la kusafirisha raia haramu Kwa kushirikiana na Vigogo wengine hasa kutoka Somalia.
Raia huyo amesema licha ya taarifa kumfikia Mkuu wa Mkoa lakini mtu huyo hachukuliwi hatua badala yake amekuwa akimnyanyasa Kwa kumuambia sio raia wa Tanznaia wakati Yuko Sumbawanga Toka enzi za Mwalimu Nyerere.
View: https://youtu.be/tp9viAB3r6k?si=3ighmzZ7K8e_laTz
My Take
CDF hakukurupuka
View: https://www.instagram.com/reel/C2-HKF2KiH2/?igsh=MXFrenJ6aTZnNnNxMg==