Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MNEC HALIMA MAMUYA: NENDENI MKAHAKIKISHE CCM INASHINDA Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mlezi wa Mkoa wa #Njombe Halima Mohammed Mamuya amewataka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hili Taifa Upendo umepoa kabisa au tuseme haupo Fikiria msafara wa Makonda unapata Ujali Watu badala ya kuwatakia Pole na uponyaji wa haraka wao wanalalamika msafara ulikuwa mrefu sana Mungu wa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
P.Makonda kabla ya kukatisha ziara yako, nilikuambia ukija mkoa wa Mtwara uje na majibu ya bei ya korosho. Pia ukija Mtwara uje na uwataje madalali wa korosho au wanaoua soko la korosho Mtwara...
21 Reactions
81 Replies
6K Views
Kirefu cha ACT WAZALENDO ni neno la kiingereza. Sisi Watanzania ni waswahili ni wakati muafaka Chama chenu kiwe kama CCM (CHAMA CHA MAPINDUZI) au CHADEMA(CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO)...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kuhusiana na Msiba huo Hii ni kwamba Maombolezo ya kitaifa ya siku 5 yataisha kabla hajazikwa. ==== Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa unatarajiwa kuzikwa...
12 Reactions
71 Replies
8K Views
Ninasikitishwa sana na kinachoendelea mitandaoni na kwenye midia mbalimbali, hususani kwa jambo hilo ambalo kwa uwingi wa wana Chadema, wamekuwa wakiwaita wananchi wanaomfuata makonda kwenye...
9 Reactions
68 Replies
3K Views
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania Anna Tibaijuka, ametoa pole kwa familia ya aliekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa. "Familia Lowassa poleni. Taifa twaomboleza kifo cha Kiongozi STATESMAN...
21 Reactions
92 Replies
8K Views
"Migogoro ya ardhi na migogoro ya mipaka kati ya hifadhi na vijiji, maeno ya Kusini mwa Tanzania tumekuta malalamiko makubwa ya wakulima dhidi ya wafugaji kuvamia maeneo yao na hata kupelekea...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Barua ya wazi Kwa mkuu wa wilaya ya Ubungo, Mkurugenzi na afisa elimu. Sisi ni wazazi wa watoto wanaosoma shule ya msingi Msumi. Ndugu wakuu wetu tunahitaji Sana msaada wetu kuhusu upotevu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kutokana na uchapa kazi wa Mheshimiwa Makonda,uzalendo wake, ujasiri wake katika kufanya maamuzi na kuchukua hatua ,bidii katika kazi ,ubunifu katika kazi,kasi yake...
5 Reactions
145 Replies
6K Views
Ni vema kuyaangalia mazuri ya mtu, hayati Lowassa alikuwa Mwanasiasa wa Pekee Sana nchini Tanzania. 2015 aliwaunganisha watanzania kwenye Uchaguzi Mkuu kupitia UKAWA na kama angeshinda sasa...
4 Reactions
11 Replies
838 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amezuru kaburi la Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamin William Mkapa Kijijini kwao Lupaso Mkoani Mtwara. Mwenezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Chama cha ACT Wazalendo kinafanya kikao chake cha kikatiba cha Halmashauri Kuu ya Chama, leo Februari 12, 2024 kwenye Ukumbi wa Halmashauri Kuu wa Hakainde Hichilema uliopo katika ofisi za Makao...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Zanzibar inajiandaa kwa kitovu kipya cha biashara kwa kuzindua Mji wa Nyamanzi, mradi wenye dira unaotarajiwa kubadilisha hali ya kiuchumi ya kisiwa hicho. Rais Hussein Mwinyi alipokea mwongozo...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Makonda ulinusurika kufanywa kama Sabaya, wazee wa korido au viambaza walikulinda kwa maelekezo ya Hangaya. Wajuzi wa mambo wakaenda mbali zaidi wakasema Hangaya alikupenda japo ulitoka familia...
7 Reactions
43 Replies
3K Views
Picha ya Rais Samia sio tu itabaki kumbukumbu kwenye kuta baada ya kustaafu kwake bali itajenga taswira ya kudumu mioyoni mwa watanzania na watanzania kutumia kama kioo cha kutazamia uongozi kwa...
0 Reactions
5 Replies
826 Views
Siku zote fisadi ni kama mtu kipofu asiyeelewa wala kujua kama naye ni mtu wa kufa kama ilivyo kwa wengine Kazi kubwa kwao ni kuiba na kukusanya mali pasipo kujua uhalali wa makusanyo hayo, kwa...
8 Reactions
47 Replies
2K Views
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari...
19 Reactions
45 Replies
4K Views
Watasema nini baada ya Lowassa kurudi CCM? Monday March 11 2019 Kwa ufupi Edward Lowassa ambaye amekuwa akibadili mwelekeo wa kisiasa, ambapo Julai 28, 2015 alitoka CCM na kwenda Chadema...
17 Reactions
50 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…