Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,939
- 4,119
Siku zote fisadi ni kama mtu kipofu asiyeelewa wala kujua kama naye ni mtu wa kufa kama ilivyo kwa wengine
Kazi kubwa kwao ni kuiba na kukusanya mali pasipo kujua uhalali wa makusanyo hayo, kwa bahati mbaya kabisa, hata wakiwa navyo vyote, bado watataka na kingine kutoka mahali popote na kwa gharama zozote
Mtu kama huyo, aweza vipi kutaka kutawaliwa na mtu mwenye kumzuia asifanye hicho?
Mtu kama huyo, atakubaliana vipi na kiongozi mwenye huluka ya kina Magufuli ambaye hatakubali uchotwaji wa kodi za Watanzania na kujimilkisha mali pasipo uhalali?
Hata ukiniamsha usiku wa manane ukaniuliza, ni kina nani walikuwa kwenye vita kali na JPM ya ama yeye ama wao ni mafisadi including na wanufaika wa watumishi hewa, vyeti feki pia, hawa ndio walioongoza kumchukia Magufuli na mpaka leo hawana hamu na jina lake
Ni ujinga kuamishwa na watu hawa eti Magufuli alikuwa kiongozi mbaya, mtu ambaye alifanya mambo mengi na makubwa na ya kushangaza kwenye nchi hii na kwa muda mfupi? Wataendelea kuwa wale wale na bahati mbaya hawajaweza na hawataweza kuwashawishi na wengine waamini huo msimamo na uwongo wao, kwa bahati mbaya kabisa, kila mwananchi hakuambiwa tazama, waliona, na waliyaishi mazuri yake na mpaka sasa bado wanajivunia!
Mambo aliyofanya Magufuli yanafahamika vema na kila mtanzania
Mafisadi kila leo wamekuwa wakijaribu kuwaaminisha wananchi kwamba, Magufulì hakuwa lolote, wakati huo huo kwa sasa ndio wanapiga pesa na kutapika maneno yao hayo mbofu mbofu
Kama Mungu aishivyo, Bado Watanzania wenye nia njema na nchi hii, Mungu atawapatia tena kiongozi mwenye kuchukia dhuluma na kuwadhibiti majangili ya nchi hii
Kazi kubwa kwao ni kuiba na kukusanya mali pasipo kujua uhalali wa makusanyo hayo, kwa bahati mbaya kabisa, hata wakiwa navyo vyote, bado watataka na kingine kutoka mahali popote na kwa gharama zozote
Mtu kama huyo, aweza vipi kutaka kutawaliwa na mtu mwenye kumzuia asifanye hicho?
Mtu kama huyo, atakubaliana vipi na kiongozi mwenye huluka ya kina Magufuli ambaye hatakubali uchotwaji wa kodi za Watanzania na kujimilkisha mali pasipo uhalali?
Hata ukiniamsha usiku wa manane ukaniuliza, ni kina nani walikuwa kwenye vita kali na JPM ya ama yeye ama wao ni mafisadi including na wanufaika wa watumishi hewa, vyeti feki pia, hawa ndio walioongoza kumchukia Magufuli na mpaka leo hawana hamu na jina lake
Ni ujinga kuamishwa na watu hawa eti Magufuli alikuwa kiongozi mbaya, mtu ambaye alifanya mambo mengi na makubwa na ya kushangaza kwenye nchi hii na kwa muda mfupi? Wataendelea kuwa wale wale na bahati mbaya hawajaweza na hawataweza kuwashawishi na wengine waamini huo msimamo na uwongo wao, kwa bahati mbaya kabisa, kila mwananchi hakuambiwa tazama, waliona, na waliyaishi mazuri yake na mpaka sasa bado wanajivunia!
Mambo aliyofanya Magufuli yanafahamika vema na kila mtanzania
Mafisadi kila leo wamekuwa wakijaribu kuwaaminisha wananchi kwamba, Magufulì hakuwa lolote, wakati huo huo kwa sasa ndio wanapiga pesa na kutapika maneno yao hayo mbofu mbofu
Kama Mungu aishivyo, Bado Watanzania wenye nia njema na nchi hii, Mungu atawapatia tena kiongozi mwenye kuchukia dhuluma na kuwadhibiti majangili ya nchi hii