Waagizaji sukari nje wanadanganya bei ya manunuzi. Serikali iwe makini

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?

Serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?

Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
 
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
Uongo na cha juu ni jadi yetu na kama unabisha kamuulize waziri mkuu.
 
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
Mkuu weka Source yako na sisi tujiridhishe maana Hoja yako ina mashiko sana.
 
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
Wooi serikali hii ya akina nape na huyu bibi kamwe. Haijawahi kuwa makin
 
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
Biashara si huria? Kwanini wewe au waagizaji wengine msiagize, muuze bei ya chini halafu Hawa wengine iwadodee?
 
Kulikuwa haja gani ya kuagiza sukari pakistan wakati mwanachama mwenzetu ambaye yuko Sadc Zambia ana sukari kibao kwa nini tusingemuungisha huyo badala ya kuagiza sukari maelfu ya kilomita na ingefika nchini kwa gharama nafuu na mlaji naye angeweza kununua kwa bei nzuri
Ndiyo ujinga wetu waafrika, Afrika inaweza kujitosheleza yenyewe lakini Akili za kizalendo ndiyo tatizo.
 
Nimefuatilia bei ya kuagiza sukari kutoka Pakistan kuja Dar es salaam ni USD 550 kwa tani mpaka bandari ya Dar es salaam.Hii ni sawa na Tshs 1,387,460.25 kwa maana kilo 1 ya sukari inafika bandari ya Dsm kwa Tshs 1,390/=...inakuwaje bei ya sukari inafika 3000?

Serikali ieleze wazi ongezeko la zaidi ya asilimia 100 inatokana na nini? Waziri wa kilimo anatumia takwimu gani kuweka bei elekezi ambayo haifanani hata kidogo na bei halisi?

Bei ya sukari huko nje sio siri zinapatikana mtandaoni huu upigaji kwanini waziri anauacha wakati wananchi wanaumia?
Sugar Price in Zambia - January 2024 Market Prices (Updated Daily)

In 2024, the approximate wholesale price range for Zambia sugar is between US$ 0.34 and US$ 0.61 per kilogram or between US$ 0.15 and US$ 0.27 per pound(lb)
 
Hii Serikali ya CCM ni hovyo hakuna wqnqchosimamia ukweli wameaacha wafanyibiashara kivyao na TRA kupiga kwenda mbele na ndiko kunachangia bei juu!

Katiba mpya ilete manufaa.
Price of sugar in Kenya

Jumia Kenya will give you a great discount as you can buy a kilogram of sugar for as low as Ksh145.
 
Wakati sukari inaagizwa na watu binafsi Bei ilikuwa chini Sana mpaka viwanda vikawa vinalalamika Ila walipogeuza utaratibu wa viwanda kuagiza hayo ndio matokeo yake. .
 
Kulikuwa haja gani ya kuagiza sukari pakistan wakati mwanachama mwenzetu ambaye yuko Sadc Zambia ana sukari kibao kwa nini tusingemuungisha huyo badala ya kuagiza sukari maelfu ya kilomita na ingefika nchini kwa gharama nafuu na mlaji naye angeweza kununua kwa bei nzuri
Mahusiano kati yetu na zambia Kwa sasa Dio mazuri hii ni kutokana na vita ya kibiashara mpaka wa tunduma - Nakonde
 
Back
Top Bottom