Naandika nikiwa na masikitiko kwa kiwango cha wanasiasa wetu, hata wae wanaoingia Bungeni.
Kiwango cha wledi wa kujenga hoja na kutetea ni kama hakipo.
Tulikuwa na wanasisa mahiri kama Mwalimu...
Kati ya mambo ambayo hufanya jeshi la polisi na polisi wa wetu wa Tanzania kudharaulika na kuonekana limejaza watu wasio na weledi au weledi mdogo, ni pale linapofanya mambo kinyume cha sheria, au...
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA
Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa...
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.
Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na...
Bila Chadema maisha ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (ccm) ni ya tabu mno, Ili Ccm Iwalipe fadhila ama Fedha, au cheo Vijana hawa (machawa) ni lazima wawe na Hoja za kuikejeli na kuitukana Chadema...
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imekubaliana na maombi ya rufaa ya Wakili wa kujitegemea, Peter Madeleka na kumpatia dhamana.
Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa Septemba 9,2023 na Kaimu Naibu Msajili...
Akizungumza kupitia mjadala kwenye mtandao wa kijamii, Tundu Lissu amesema CCM wamekataa maridhiano, kwasababu CHADEMA ilipeleka mapendekezo mazuri juu ya kila kitu kinachohitajika kufanyika ili...
Baada ya ufafanuzi wa Waziri wa Fedha kuhusu namna mitumba hiyo itavyokuwa inaingizwa nchini, haya ndio baadhi ya maswali ninalojiuliza na mpaka sasa sina majibu.
Je, wewe hapo uliopo, unaamini...
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa...
Umofia kwenu.
Mengi yamesemwa kuhusiana na hili sakata la upungufu wa dola nchini. Kimsingi Dola ya Marekani ndiyo inatumika kama fedha ya kununua bidhaa za kimataifa. Mojawapo ya bidhaa hizo ni...
Rais Samia kama unavyopenda kutumia mtandao wa X kuelezea mambo yanayohusu nchi na Watanzania ikiwemo kutoa taarifa mbalimbali za Serikali yako, nakushauri utumie mtandao huo kupata maoni ya...
Mabadiliko yaliyofanywa na Rais Samia kwenye baraza la Mawaziri.Ni kiini macho.
Uhalisia ni kwamba Rais Samia alikusudia na anaendelea kujisimika na kujiimarisha kwa mbinu zozote zile ili...
Leo ni mwaka wa 6 toka Tundu Lissu apigwe risasi mchana kweupe jiji dodoma.
Upelelezi wa tukio hilo bado haujulikani licha ya Tundu Lissu kurejea nchi kama jeshi la polisi lilivyosema...
Helkopta, magari jumlisha matamasha yaliyopewa majina kibao. Hiyo mwisho wa siku ni janja ya viongozi kuwafunika wanachama wao katika mfereji wa kutafuna pesa za chama.
Wanatafuta pa kujifichia...
Mbatia ametoa rai kwa Rais samia /serikali kuwa isiwekeze shiling 125 billioni kuimarisha uovu, badala yake iziweke kwenye kuendeleza maisha ya watanzania. Ametoa mfano, zikiwekezwa Muhimbili...
Professor wa Uchumi Haji Semboja amekemea tabia ya kutosema ukweli Kwa watu wa Serikali Kwa kimdanganya Rais kuhusu Haki halisi ya uhaba wa Dola na upataiknaji wa mafuta Nchini.
Swali;
Waliosema...
Huyu kumbe niwakumpuuza. Inaonekana hayupo huru kwenye kazi yake maana Habari kubwa kama za mkutano wa ngorongoro Leo wa tundu lissu huwez kuacha kuripoti. Sio yeye tu ni asilimia tisini na tisa...
George Michael Uledi.
September 5, 2023.
Miaka mitatu pekee ya kufanya active politics Nchini imetosha kumuibua mashine ya Mufindi Kusini Mhe. David Mwakiposa Kihenzile kwenye kundi la Vijana...
Wamasai ni wavamizi katika maeneo ya Eneo la crater.
Msiwatumie kisiasa ,asili yao ni Ethiopia kama walivyo waTz wengine wana asili ya uhindini na wengine uarabuni na walio wengi ni kutoka misitu...