Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,376
Baada ya ufafanuzi wa Waziri wa Fedha kuhusu namna mitumba hiyo itavyokuwa inaingizwa nchini, haya ndio baadhi ya maswali ninalojiuliza na mpaka sasa sina majibu.
Je, wewe hapo uliopo, unaamini tunao wataalamu wa kukagua vifaa kama hivyo?
Je, si kweli kuna wakati itahitajika teknolojia katika ukaguzi wa vifaa na mitambo ya aina hiyo?
Je, hizo teknolojia tunazo au tutatumia za hao hao wanaoutuuzia?
Au itabidi tuingie mikataba na makampuni kutusaidia kufanya huo ukaguzi?
Risk ya kununua ndege used, inaweza kuwa justified na risk ya kununua magari used?
Na je, tumepata wapi uzoefu wa kukagua vyombo hivi mpaka tujiamini kuanza sasa?
Au kuna udharura wa kiwango hicho?
Au udharura uliopo ni muda mchache uliobaki kufika 2025?
Bongo kila siku afadhali ya jana!
Je, wewe hapo uliopo, unaamini tunao wataalamu wa kukagua vifaa kama hivyo?
Je, si kweli kuna wakati itahitajika teknolojia katika ukaguzi wa vifaa na mitambo ya aina hiyo?
Je, hizo teknolojia tunazo au tutatumia za hao hao wanaoutuuzia?
Au itabidi tuingie mikataba na makampuni kutusaidia kufanya huo ukaguzi?
Risk ya kununua ndege used, inaweza kuwa justified na risk ya kununua magari used?
Na je, tumepata wapi uzoefu wa kukagua vyombo hivi mpaka tujiamini kuanza sasa?
Au kuna udharura wa kiwango hicho?
Au udharura uliopo ni muda mchache uliobaki kufika 2025?
Bongo kila siku afadhali ya jana!