Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imekubaliana na maombi ya rufaa ya Wakili wa kujitegemea, Peter Madeleka na kumpatia dhamana.
Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa Septemba 9,2023 na Kaimu Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Boniface Semroki kwa niaba ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Yohane Masara.
Hatua za kukamilisha taratibu za dhamana zinaendelea ambapo Madeleka anawakilishwa na jopo la mawajili watano wakiongozwa na Wakili, Boniface Mwabukusi.
Wakili Madeleka anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 40/2020, anashikiliwa katika mahabusu ya Gereza Kuu la Kisongo jijini Arusha tangu Julai 17,2023.
Akizungumza kwa niaba ya mawakili hao Wakili, Boniface Mwabukusi ameishukuru mahakama kwa kumpa haki mteja wao huku akimuomba DDP kuheshimu haki ya Madeleka.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma - Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP
Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa Septemba 9,2023 na Kaimu Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Boniface Semroki kwa niaba ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Yohane Masara.
Hatua za kukamilisha taratibu za dhamana zinaendelea ambapo Madeleka anawakilishwa na jopo la mawajili watano wakiongozwa na Wakili, Boniface Mwabukusi.
Wakili Madeleka anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 40/2020, anashikiliwa katika mahabusu ya Gereza Kuu la Kisongo jijini Arusha tangu Julai 17,2023.
Akizungumza kwa niaba ya mawakili hao Wakili, Boniface Mwabukusi ameishukuru mahakama kwa kumpa haki mteja wao huku akimuomba DDP kuheshimu haki ya Madeleka.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma - Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP