Wamasai wa Ngorongoro: Tulikuwa kifungo baridi Ngorongoro

PendoLyimo

JF-Expert Member
Sep 30, 2014
879
956
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA

Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo

“Faida niliyopata kuja Msomera. Kwanza ni Ardhi, manake kule (Ngorongoro) tulikuwa hatumiliki Ardhi, kwa hiyo sasa hivi nina Ardhi ya kwangu mwenyewe Hekari mbili na nusu na hekari tano kule ya kulima”. Anasema Laltaika

“Sio Nyumba ndio sababu, ni Ardhi ndio kubwa kabisa na baada ya kuja hapa tumeweza kupata miundombinu mingi tu, maji, barabara, hospitali umeme. Nashukuru kwamba tulikuwa kifungo baridi sasa tumefunguliwa


View: https://youtube.com/watch?v=i4r1Us63BSY&si=iDA_WoD22mvDDNYD
 
Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo
Anafurahia kuhamishwa au kupewa vitu ambavyo yeye hakuweza kuvipata kwa uwezo wake?
Je yeye mwenyewe hakuona umuhimu wa kuhama kwa uhuru na utashi wake kabla ya hiyo sogeza?
Je alikwendaje kuishi huko Ngorongoro kama hakupenda?
 
Majangili wakubwa nyie, mmeua watu maelfu huko Ngorongoro. Pumbavu
Kadi.jpg
 
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA

Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo

“Faida niliyopata kuja Msomera. Kwanza ni Ardhi, manake kule (Ngorongoro) tulikuwa hatumiliki Ardhi, kwa hiyo sasa hivi nina Ardhi ya kwangu mwenyewe Hekari mbili na nusu na hekari tano kule ya kulima”. Anasema Laltaika

“Sio Nyumba ndio sababu, ni Ardhi ndio kubwa kabisa na baada ya kuja hapa tumeweza kupata miundombinu mingi tu, maji, barabara, hospitali umeme. Nashukuru kwamba tulikuwa kifungo baridi sasa tumefunguliwa


View: https://youtube.com/watch?v=i4r1Us63BSY&si=iDA_WoD22mvDDNYD

Hii yote ni kuonyesha tu masai hawastahili kuishi eneo ambalo ni ardhi yao maisha yao tang zaman ili tu wazee wa mzuzu washike hatam!!
 
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA

Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo

“Faida niliyopata kuja Msomera. Kwanza ni Ardhi, manake kule (Ngorongoro) tulikuwa hatumiliki Ardhi, kwa hiyo sasa hivi nina Ardhi ya kwangu mwenyewe Hekari mbili na nusu na hekari tano kule ya kulima”. Anasema Laltaika

“Sio Nyumba ndio sababu, ni Ardhi ndio kubwa kabisa na baada ya kuja hapa tumeweza kupata miundombinu mingi tu, maji, barabara, hospitali umeme. Nashukuru kwamba tulikuwa kifungo baridi sasa tumefunguliwa


View: https://youtube.com/watch?v=i4r1Us63BSY&si=iDA_WoD22mvDDNYD

Hakuna Mmasai mpumbavu kama huyu!! Huyu atakuwa mkazi wa Bumbuli
 
Unajua Sheria za hifadhi..? Au unakurupuka, mbona vijiji ambavyo havipo hifadhini anafanya mikutano yake
Wewe ni kuwadi wa waarabu! vijiji vipi ambavyo vina nafuu!? alinyimwa ruhusa kuingia wilaya ya ngorongoro. Hivi umalaya mtaacha lini kunadia raslmali za nchi?
 
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA

Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo

“Faida niliyopata kuja Msomera. Kwanza ni Ardhi, manake kule (Ngorongoro) tulikuwa hatumiliki Ardhi, kwa hiyo sasa hivi nina Ardhi ya kwangu mwenyewe Hekari mbili na nusu na hekari tano kule ya kulima”. Anasema Laltaika

“Sio Nyumba ndio sababu, ni Ardhi ndio kubwa kabisa na baada ya kuja hapa tumeweza kupata miundombinu mingi tu, maji, barabara, hospitali umeme. Nashukuru kwamba tulikuwa kifungo baridi sasa tumefunguliwa


View: https://youtube.com/watch?v=i4r1Us63BSY&si=iDA_WoD22mvDDNYD

Asante DIIPIIWEEEEE!
 
-BABA MZAZI WA JAJI WA MAHAKAMA KUU ALIYEHAMIA MSOMERA AFUNGUKA

Mzee Isaya Laltaika baba mzazi wa Jaji wa mahakama kuu DKT. Eliamani Isaya Laltaika ambaye ni pacha wa mhadhiri mwandamizi wa kitivo cha sheria chuo kikuu cha Tumaini Makumira kilichopo Arusha anaeleza anavyofurahia maisha mapya ya yeye na familia yake kuhama Kijijini Nainokanoka Ngorongoro, kuhamia Msomera ambapo amepewa Nyumba iliyopo katika eneo la hekari mbili na nusu, Shamba hekari 5 kwa ajili ya kilimo

“Faida niliyopata kuja Msomera. Kwanza ni Ardhi, manake kule (Ngorongoro) tulikuwa hatumiliki Ardhi, kwa hiyo sasa hivi nina Ardhi ya kwangu mwenyewe Hekari mbili na nusu na hekari tano kule ya kulima”. Anasema Laltaika

“Sio Nyumba ndio sababu, ni Ardhi ndio kubwa kabisa na baada ya kuja hapa tumeweza kupata miundombinu mingi tu, maji, barabara, hospitali umeme. Nashukuru kwamba tulikuwa kifungo baridi sasa tumefunguliwa


View: https://youtube.com/watch?v=i4r1Us63BSY&si=iDA_WoD22mvDDNYD

Hizi kampeni za kishamba kwelikweli.

Mzee kapelekwa jela bila ya yeye kujitambua?
Hao watoto wasomi hawana msaada wowote kwake, hata kumpa elimu tu ya kujua hujuma anayofanyiwa?
Watoto wanalinda maslahi yao, wamesahau ya mzazi wao!

Mzee
 
Propaganda hizi hamna lolote

Ngorongoro wamasai wanateseka
...tena,video hii inatokea wakati vuguvugu na hekaheka na mijadala mingi kutokea kwenye vyombo vya habari kuhusu dhuluma dhidi ya Wamasai kuanza kushika na kuteka vichwa vya habari kwa mara nyingine tena baada ya Mzee Bwana Laigwanan Tundu Ole Lissu kutokea na kuunguruma Ngorongoro..

_97406776_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili_%27we_will_fight_for_our_land_until_the_end%27.jpg

Picha:BBC
 
Back
Top Bottom