Mwigulu Nchemba "Miradi Itasimama Kama Mikataba Yote Ikiletwa Bungeni"

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,135
49,866
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.

Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

--
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema miradi ya maendeleo itasimama endapo mikataba yote inayozidi TZS bilioni 50 itajadiliwa bungeni kwanza kabla ya kusainiwa.

 
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699835506861961642?t=4zilpr82V7uVbwXxwwJddQ&s=19

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.
Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

Sijui wewe unafikiri vp, kimsingi kila mkataba unatakiwa kuletwa bungeni. Hawa watanzania wasiopenda demokrasia na uwazi kama wewe ndio maadui wakubwa wa nchi hii. Wananufaika kwa maovu na upumbavu wa viongozi wetu.
 
Sijui wewe unafikiri vp, kimsingi kila mkataba unatakiwa kuletwa bungeni. Hawa watanzania wasiopenda demokrasia na uwazi kama wewe ndio maadui wakubwa wa nchi hii. Wananufaika kwa maovu na upumbavu wa viongozi wetu.
Bunge Lina Wataalamu wa Mikataba? Nyie si ndio mnailalamikia Bunge kuhusu IGA ya DP World?

Narudia huu ni ujinga, yaani badala ya kupunguza urasimu mnaongeza shida na urasimu kwenye biashara?

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inafanya nini? Kuna Nchi ipi nyingine hapa Duniani inafanya upuuzi wa hivi?
 
... kwa hiyo mikataba isipelekwe Bungeni au? Kwamba isainiwe gizani bila kujadiliwa kwa uwazi? Wanataka kuwaficha nini wananchi? Hii nchi inaelekea kubaya completely.
Giza lipi? Juzi hapo Serikali ilisaini mikataba ya Barabara hadharani,Hilo Giza ni.lipi?
 
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699835506861961642?t=4zilpr82V7uVbwXxwwJddQ&s=19

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.

Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

So says the tumbo on the fleek
 
Bunge Lina Wataalamu wa Mikataba? Nyie si ndio mnailalamikia Bunge kuhusu IGA ya DP World?

Narudia huu ni ujinga, yaani badala ya kupunguza urasimu mnaongeza shida na urasimu kwenye biashara?

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inafanya nini? Kuna Nchi ipi nyingine hapa Duniani inafanya upuuzi wa hivi?
Maswala yote muhimu yenye maslahi ya kitaifa yanapaswa kujadiliwa na bunge, kwanini CCM mnashindwa kuelewa mambo madogo hivi?
 
Maswala yote muhimu yenye maslahi ya kitaifa yanapaswa kujadiliwa na bunge, kwanini CCM mnashindwa kuelewa mambo madogo hivi?
IGA ya DP World ilijadiliwa na nani? Wapi huko kwingine Kila mkataba unapelekwa Bungeni?
 
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699835506861961642?t=4zilpr82V7uVbwXxwwJddQ&s=19

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.

Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

Soma vizuri hapo ulipoandika mwisho.

Haya Tuliyoyaona ya DPW Hata mkataba wa billion 1 lazima uende bungeni.

Wateule wetu hawana weledi wowote
 
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699835506861961642?t=4zilpr82V7uVbwXxwwJddQ&s=19

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.

Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

Huyu mpumbavu,
 
Hata Mimi najiuliza ni nani aliyependekeza eti mikataba yote ya kuanzia thamani ya Bilioni 50 ipelekwe kujadiliwa Bungeni.

Hilo pendekezo ni ujinga mwingine,badala ya kuongeza Ufanisi na kupunguza kero tunaongeza urasimu,Hii Nchi inaingia mikataba mingapi? Bunge si litakuwa la kujadili mikataba Sasa Kila siku?

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699835506861961642?t=4zilpr82V7uVbwXxwwJddQ&s=19

My Take
Naunga mkono Msimamo wa Mwigulu na Serikali.

Cha muhimu ni kuweka sheria Kali za uwajibikaji za kuwabana watu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Chemba ya Wataalamu wa Mikataba wa Serikali in case kutagundulika blander zozote.

Ebu tujuze Miradi itasimama je,kwani mikataba imegeuka kuwa sement na zege nondo na mchanga ebu tupe elimu kidogo itasimamishwa na nini
 
Back
Top Bottom