Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Shujaa Magufuli hakuwa Mwanasiasa lakini mbinu na swaga zake mitaani ziliwafurahisha wengi Naona mapema Kabisa Wanasiasa wa Chadema wameanza kutumia mbinu za Shujaa Magufuli Yeye mwenyewe...
1 Reactions
8 Replies
608 Views
https://www.youtube.com/watch?v=gB61__EG4Uo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi wateule leo tarehe 13 Machi, 2024 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Joseph Selasini, Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi amesema kwamba ukiingia kwenye siasa hasa zile za upinzani jiandae kutoa zaidi kuliko kupokea, na wanasiasa wengi wamekuwa maskini kwa sababu ya kutoa.
0 Reactions
5 Replies
863 Views
Kuna chapisho langu Moja niliwahi kuhoji kwa Nini vijana wa CCM ni washari na Wana ujasiri uliopitiliza ( over confidence). Kwa sababu ya yanayoendelea chini ya kapeti naomba kushauri ngazi za...
3 Reactions
12 Replies
781 Views
Katibu wa Mambo ya Kigeni wa Chama Cha ACT Ametoa Kauli ya Chama kulaani mamlaka mjini Bujumbura kuingilia Mkutano na chama rafiki Cha bwana Agaton Rwasa Mpinzani Mkuu wa Serikali ya Burundi Ili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe. Mariam Mwinyi amekutana na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Wake wa Marais wa Afrika (Organization...
1 Reactions
1 Replies
683 Views
Shirika la habari la AFP wakiwa wanatoa mafunzo mtandaoni wamebainisha namna upotoshaji wakati wa Uchaguzi unaweza kutokea kwa Mgombea, Chama pamoja na Mfumo. Wanaeleza, Upotoshaji kwa Mgombea...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Na Mwl Udadis, DSM-CBD Kwa sisi waumini wa makanisa ya Orthodox tunaamini sana katika kweli isiyochanganywa na busara za waja japo tunaheshimu sana imani za watu wengine. Natumia falsafa ya kweli...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Precision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria === NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWA VICTORIA MJINI BUKOBA Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani...
30 Reactions
1K Replies
131K Views
Nimejiuliza maswali mengi sana juu ya kukataliwa kwako na Dr.Ulimboka ile alhamisi mchana ulipotuma maafisa wako wa ikulu wapeleke taarifa kuwa unataka kwenda kumuona na kakakukatalia.. Bila...
23 Reactions
84 Replies
15K Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) awasili Mkoani Mtwara kutatua kero ya mgogoro wa ardhi kati ya Kikosi cha Jeshi 665 Regt na Wananchi wa Mbae...
1 Reactions
2 Replies
668 Views
Rais Samia leo September akiwa mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania...
39 Reactions
343 Replies
21K Views
Jana katika mkutano mkuu wa CDM, Maalim aliwakosha wazenji kwa kusisitiza mfumo wa muungano wa serikali 3, bila uoga .
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naam ujinga wa Watanzania na hasa walio vijijini na ambao hawana fursa ya mtandao ndio mtaji mkubwa wa CCM. Watu wa vijijini wengi na baadhi ya walio mijini ambao hawana mtandao hawapati taarifa...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Salamu za Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Tax katika siku ya wanawake duniani.
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) ameshiriki pamoja na mawaziri wenzake wa Ulinzi toka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki katika mkutano wa...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amehamia rasmi Makao Makuu ya Nchi, Dodoma. Amefikia Ikulu ndogo iliyopo eneo la Kilimani. Hii ni kutekeleza azma ya serikali kuhamisha makao makuu yake kutoka...
3 Reactions
89 Replies
16K Views
Siku hizi za karibuni ni kwanini hatusikii tena nchi yetu kwenye siasa za kimataifa katika kutatua migogoro na kufanya upatanishi kama hapo awali kwa nchi majirani zenye migogoro ya kisiasa na...
1 Reactions
6 Replies
483 Views
Pamoja na kufurahi kumuona Rais wetu akisafiri katika mikutano ya kimataifa, nimefuatilia na kuona kuwa rais wetu anasafiri sana na kuhudhuria mikutano mingine ambayo ingeweza kuwakilishwa na...
0 Reactions
617 Replies
75K Views
Habari waungwana, Leo Rais Magufuli anazindua reli ya kiwango inayofuata kiwango cha kimataifa(Inakadiriwa 55% ya reli yote duniani imetumia kipimo hiki na reli zote zenye mwendokasi mkali...
32 Reactions
729 Replies
74K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…